Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Washika mitutu naombeni app nzuri ya kuchek online ,nilikuwa natumia "AFRICAN YETU" sas imezidi matangazo mpaka game huoni vizuri nimeifuta.
 
Washika mitutu naombeni app nzuri ya kuchek online ,nilikuwa natumia "AFRICAN YETU" sas imezidi matangazo mpaka game huoni vizuri nimeifuta.
Mimi nitakupa link hutajutia ,hakikisha upo angalau sehemu nzuri kiasi
 
The Arsenal XI:

Aaron Ramsdale (GK), William Saliba, Ben White, Thomas Partey, Bukayo Saka, Martin Odegaard, Gabriel Martinelli, Eddie Nketiah, Takehiro Tomiyasu, Kai Havertz, Declan Rice

#CRYARS

[@Olly_A_informer]
Kama tulivyosema 3-diamond -3
 
Lineup
20230821_211332.jpg
 
Hii habari Kama ina ukweli hivi

Huenda Kama anauzwa Basi Diomande anaingia

Al-Ittihad president Anmar Al-Haili met with Arsenal defender Gabriel Magalhães in London today to continue negotiations, which are said to be positive, to sign the player.

[@ahmad2man] #afc
 
Hii habari Kama ina ukweli hivi

Huenda Kama anauzwa Basi Diomande anaingia

Al-Ittihad president Anmar Al-Haili met with Arsenal defender Gabriel Magalhães in London today to continue negotiations, which are said to be positive, to sign the player.

[@ahmad2man] #afc
Mi nimeiona kwakwli imenihuzunisha...inamaana pesa ndo Kila kitu sasahv...anatupa umri wake wa kucheza soka la ushindani kwa ajili ya hela....na kama anaondoka anauzwa kwa bei gani??....na hyo Diamonde si tutapigwa hela nyng maana itaonekana tuna shida kwlikwli na muda sio rafiki kwetu kabisa...just one week na visiku kadhaa kabla ya dirisha kufungwa
 
Mikel Arteta on where he sees Rice playing in midfield:



“Both positions [#6 & #8], to be fair. Having that alternative & that versatility is really helpful, I think it will depend on the relationship that we build & the opponent.”


[Sky] #afc
 
Hii habari Kama ina ukweli hivi

Huenda Kama anauzwa Basi Diomande anaingia

Al-Ittihad president Anmar Al-Haili met with Arsenal defender Gabriel Magalhães in London today to continue negotiations, which are said to be positive, to sign the player.

[@ahmad2man] #afc
nahisi ndio mana arteta hajamuanzisha kwenye izi game mbili zilizopita..
 
Mi nimeiona kwakwli imenihuzunisha...inamaana pesa ndo Kila kitu sasahv...anatupa umri wake wa kucheza soka la ushindani kwa ajili ya hela....na kama anaondoka anauzwa kwa bei gani??....na hyo Diamonde si tutapigwa hela nyng maana itaonekana tuna shida kwlikwli na muda sio rafiki kwetu kabisa...just one week na visiku kadhaa kabla ya dirisha kufungwa
Wabrazil wanaangalia Sana pesa mbele , tulimnunua nadhani kwa €26m hivi , Kama anavutiwa kwenda kula pesa saudia ,Arsenal hawawez muachia kwa chini ya €50m+
 
Back
Top Bottom