Kbisa....jamaa alikuwa ana mapenzi ya dhati na Liverpool...akawaomba wamboreshee mkataba kwa kumuongezea mshahara na haikuwa hela nyingi sana kama alokuwa analipwa Bayern Munchen lakini wapi wakaona hafai Bora waachane naye....Sasa ile inaweza kutumika kama reference kwa vilabu vingine vitakavyokuwa vinagombea mchezaji na jamaa....wakiambiwa pale Anfield kuna ubaguzi ni rahisi sana kwa mchezaji kushawishika na ndo haya yanayotokea
Kbisa....jamaa alikuwa ana mapenzi ya dhati na Liverpool...akawaomba wamboreshee mkataba kwa kumuongezea mshahara na haikuwa hela nyingi sana kama alokuwa analipwa Bayern Munchen lakini wapi wakaona hafai Bora waachane naye....Sasa ile inaweza kutumika kama reference kwa vilabu vingine vitakavyokuwa vinagombea mchezaji na jamaa....wakiambiwa pale Anfield kuna ubaguzi ni rahisi sana kwa mchezaji kushawishika na ndo haya yanayotokea
Huyo hapo msikilizeKbisa....jamaa alikuwa ana mapenzi ya dhati na Liverpool...akawaomba wamboreshee mkataba kwa kumuongezea mshahara na haikuwa hela nyingi sana kama alokuwa analipwa Bayern Munchen lakini wapi wakaona hafai Bora waachane naye....Sasa ile inaweza kutumika kama reference kwa vilabu vingine vitakavyokuwa vinagombea mchezaji na jamaa....wakiambiwa pale Anfield kuna ubaguzi ni rahisi sana kwa mchezaji kushawishika na ndo haya yanayotokea
Hamkumpa kibunda anachotaka mkuu...ize tu...kwa heshima ya klabu na mashabiki inabidi awe cool baada ya huduma ya mda mrefu....Bayern walimpa mara tatu ya mlichokuwa mnampa nyny na kwa umri wake kwann asiende kuchukua hela za kumalizia mpira.... Liverpool ni timu kubwa sana mkuu...rekebisheni mishahara...zama zimebadilikaHizi habari mnapataga wapi watu wa arsenal???
Mane aliombwa abaki kwa mdomo wake akasema anataka akatafute challenge nyingine
matakataka nyie 😂😂😂😂Laana ya arsenal inamtafuna, si unajua mashabiki wa arsenal watu wa Mungu
90% ya kikosi Cha city kimetumika non stopTatizo hamnisikilizagi
Nilisema narudia Tena mwaka huu sajilini vizuri mbio za ubingwa zipo open
Mancity anaondokewa na Gundo, Mahrez, Bernado na Kuna tatizo la fitness ya KDB
Gundo KASEPA
Mahrez KASEPA
KDB fitness ndio hiyo mwakan anaenda Saudia
Karata ya mwisho ya Pep ni Bernado anampigia magoti asain mkataba mpya
So kind manjesta endeleeni kuokoteza sajili za mchongo ,Arsenal akikaa pale juu muanze kutuombea maombi mabaya
Kaka upo?! mara ya mwisho nilikusoma unawasagia kunguni masela wa tamaduni music, sijui walikukosea nini?!😅matakataka nyie 😂😂😂😂
Mimi sishukuru kwa kubebwa bali nashukuru kwa ile mechi kupangiwa kucheza na Wolves, hebu vuta picha ile mechi ndio tungekua tunacheza na Newcastle hii ya kina Sandro Tonali hali ingekuaje?Mshukuru mlibebwa Jana
Tunaposema kina sisi kuwa 7hag Hana Talent ID, mnatuita masingeli ,labda wakongwe wenu mtawaamini
Wakongwe wa manjesta waonya Sajili za kitapeli za kitapeli za 7+3hag
"It’s like Fellaini, it’s like buying Fellaini again..." 🫣
Rio Ferdinand has warned Erik ten Hag against signing Man Utd target Amadou Onana
mirror.co.uk/sport/football…
Lucas Paqueta yuko njiani kutua Etihad, Huyu Pep kuendelea kuwepo kwenye Epl basi shida itabaki palepale tu, wala hata tusijifariji kuumia kwa KDB na kuondoka kwa Mahrez na Gundo.Tatizo hamnisikilizagi
Nilisema narudia Tena mwaka huu sajilini vizuri mbio za ubingwa zipo open
Mancity anaondokewa na Gundo, Mahrez, Bernado na Kuna tatizo la fitness ya KDB
Gundo KASEPA
Mahrez KASEPA
KDB fitness ndio hiyo mwakan anaenda Saudia
Karata ya mwisho ya Pep ni Bernado anampigia magoti asain mkataba mpya
So kind manjesta endeleeni kuokoteza sajili za mchongo ,Arsenal akikaa pale juu muanze kutuombea maombi mabaya
Huyu jamaa Labyrinth 84 ni kichomi humu ni kiboko ya MC hamis77 ndio maana Mc Masingeli hadi alimkataza asimquote jamaa anatupia na maevidence tu😀Jamaa we ni noma, unapgaga kwenye mshono ukiambatanisha na evidence😂😂
Mkuu unafahamu chochote kuhusu Professional? Na unajua kwa nini wanaitwa Professional Footballer?
Muda wake nae umekwisha sasHii habari imenihuzunisha sana aisee KDB ni mtu na nusu kwenye Epl.
AstakafilullahiPep ndio mwenye sifa stahili ya kuitwa The tactician & Masterclass sio huyo Michelle LaVaughn Robinson Arteta.
Ulitaka tushinde ngapi mkuu..hao key players ni kina nani waloumia...Timber amecheza mechi ngapi msimu huu wa ligi mpk aitwe key player....Jesus mwaka jana hakuumia kwni...baada ya kuumia timu iliendeleaje kwni...yyte anayekuja tutacheza naye kwa namna inavyotakiwa kucheza naye....tuna watu wa kutoshaNawashangaa mashabiki wa Arsenal. Mechi dhidi ya Nottingham mmeshinda 2-1 na key players wawili wameshaumia wakati ndo kwanza mechi moka. Msinene mkamala mambo.mabaya yanakuja
Mashabiki wa manjesta bhana akili zaoUlitaka tushinde ngapi mkuu..hao key players ni kina nani waloumia...Timber amecheza mechi ngapi msimu huu wa ligi mpk aitwe key player....Jesus mwaka jana hakuumia kwni...baada ya kuumia timu iliendeleaje kwni...yyte anayekuja tutacheza naye kwa namna inavyotakiwa kucheza naye....tuna watu wa kutosha
Kama wazungu wanapiga ndumba, Basi KT kuna jambo kafanya asee. Get well soon Jembe Letu, come back stronger 💪It is understood Timber is now expected to undergo surgery to repair the injury and is likely to miss a minimum six months of the season, although Arsenal are reluctant to put a specific timescale on his recovery.
(@SamiMokbel81_DM )
Habari mbaya sana hii aiseeIt is understood Timber is now expected to undergo surgery to repair the injury and is likely to miss a minimum six months of the season, although Arsenal are reluctant to put a specific timescale on his recovery.
(@SamiMokbel81_DM )
Wale masela kitaa wanajikuta ni ma icon wa Hip-hop apa bongo kumbe ni wanna wanapenda kazi zao halafu hawazinunui😂😂😂Kaka upo?! mara ya mwisho nilikusoma unawasagia kunguni masela wa tamaduni music, sijui walikukosea nini?!😅