Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kinachonifurahisha Newcastle United ni Team ambayo inawachezaji wengi wazuri ambao hawaimbwi sana lakini wana balaa.
Mtizame Alexander Isack, Callum Wilson, Kierphan Tripper, Nick Pope, Anthony Gordon e.t.c
Dakika zote 90 hawachoki, wanapress na kuzuia vizuri sana.
Halafu hapo kwenye midfield jinsi wanavyopishana kina Bruno, Tonali na Joelinton ni balaa kweli kweli.
Hawa Newcastle siku wakikutana na team mbovu kama Arsenyau wanaweza kuwagonga hata goli 10+ vizuri tu.
 
Mkuu ukikuta source yyt imetoa takwimu mtandaon hao ni watu kama sisi naww jiongeze tumia akili yako appearance sio kipomo cha kihesabu kwa player ambae co regular ungesema minutes play.....ndo unawez pata uhalisia mzuri

ni watu kama sisi ila tofauti yao na sisi wao wameajiriwa na wanalipwa kwa kazi hiyo its mean wanafanya kila kitu kitaalamu mkuu . EPL wamewekeza muda na hela zao mpaka wanatoa takwimu kwa timu zote 20 then unataka mimi nijiongeze kweli? . Kwani hao niliowataja hapo unafikiri wote ni regular players au wachezaji wa arsenal pekee ndo huwa si regular player ila timu zingine wanacheza dakika zote.
 

Anakwambia takwimu zinatolewa na watu sasa unajiuliza anataka takwimu zitolewe na nan ndo azikubali , yeye anataka mpaka malaika wampe takwimu ndo azikubali ila watu hapana
tena na huyo malaika lazima awe upande wa Arsenal.
 

Tunawasubiri kwa hamu hawa Arsenyau maana wao ndo wanajiona wana timu bora pekee yao juzi tu na forest washaanza kushikana mashati, watachezea kuni zakutosha
. Kama ule msimu tuliwavua mbio za kombe lao muhimu(top 4) arteta akamshika shati tavares anamwambia hawezi kucheza UEFA anafoka mpaka sauti imeishaa
cha ajabu mwanao tavares ndo akawa mchezaji pekee kucheza UEFA msimu uliofuata.

Arsenal fans wanaamini wachezaji wazuri wapo kwao tu hata ukiwa mbovu ukitua kwao tu ubovu wote unaisha au ukiondoka au kugoma kwenda arsenal basi unakuwa mbovu rasmi tumeona kwa mudryk na kwa kai
yaani mudryk alibadilika ghafla akawa mbovu then kai akawa ndo mashina mzee wa Aerial duels na ku hold mipira .
 
sasa hizi takwimu ni za EPL official website au unaona kama nimejitungia mkuu, tumeamua kuwauliza wenye ligi wenyewe bado unabisha unaniletea takwimu za kwenye gahawa.
Nipe Takwimu za nketia kaanza game ngapi kati ya izo 30, na ana wastani wa kucheza dakika ngapi? Au unazani natunga tunga tu? Mbona unaleta takwimu nusu nusu maliza zote
 
Alafu huyu kenge anaejidai yy ni newcastle ni wakupuuza tu...newcastle inamashbk Tz toka lini tunamjua mzee wa msoga tu nae huwa ni mjanja mjanja tu labda uhamie mancity timu ya watoto wa 2005 hata mdogo wetu wa mwisho anaishabikia

Kwani wewe wakati una shabikia timu kigezo uliangalia Tz kuna mashabiki wangapi? Mpira ni mchezo unaonekana kwa macho nakupendeka inategemeana na macho yako yameona vipi na umefurahia vipi so unaweza kupenda timu yoyote unataka nihamie city wakati sina mapenzi nayo.

Sawa dogo lako ni 2005 lakini naona hapo dogo lako kakuzidi kila kitu tuchukue kipimo toka mwaka dogo anashabikia mpira then na mwaka wako wewe ulianza kushabikia mpira tuweke takwimu za trophies hapa tuone braza na dogo yupi ana kauli kubwa kwenye mpira
yaani dogo atakuwa anajiuliza huyu bro vipi mbona ni kituko kuwa bottlers.
 
Anakwambia takwimu zinatolewa na watu sasa unajiuliza anataka takwimu zitolewe na nan ndo azikubali , yeye anataka mpaka malaika wampe takwimu ndo azikubali ila watu hapana
tena na huyo malaika lazima awe upande wa Arsenal.
Nje ya takwimu zinazotolewa na Mc Masingeli hawa misukule hawataki kuzikubali humu, hapo hata uwape na link ya FA bado watu watakaza shingo.
Kua shabiki wa Arsenyau yataka uwe kama bendera, upepo utapovumia na wewe unaelekea hukohuko yaani uwe ni mtu wa kusifu tu, ukitaka kutoka nje ya box kwa kukosoa makosa yale yanayoonekana waziwazi kabisa kama anavyofanya sasa hivi Castr unaonekana ni msaliti.
Muda sio mrefu humu Mkuu Castr ataanza kupewa majina mabaya na kufanyiwa personal attacked.
 
hawa wazee pressing na overloading wao wenyewe wanajijua kua ni one season wonder.
Ile bahati waliyoipata msimu ulioisha na wakashindwa kuitumia labda wasubirie baada ya miaka 10 ndio ijirudie tena.
Msimu huu ni wa moto kwelikweli, ukiangalia hata Sajili tu zinazofanywa na mid table team tu unajua kabisa msimu huu ligi ni ya moto kwelikweli.
Ukicheki Fulham, Aston Villa, Brighton, Westham hizo sajili zao tu unajua kabisa ligi imeshabadilika, zile top 4 za kimazoea zinaenda kupotea sasa hivi.
 
Narudia tena😅😅😅....nyny level zenu ni kina Aston villa na Brentford huko...hamuwezi kupishana na sisi hata siku moja....narudia hamuwezi....siku tukikutana tutaona hyo Isack atapitia wapi 😅😅😅....sijui Miguel Almiron sijui nani....mwaka jana tumecheza mlipitia wapi...si mlikuwa mnakimbia hvhv😅😅😅....huo mpira wenu wa papatu mtawasumbua Manyumbu sio sisi😅😅😅....safari hii inabidi tuwadunde kwlikwli tusiache hata point moja kwny ndo heshima itakuwepo😅😅😅
 
Ww mdanganye mwenzako....leo pasheni viungo....match week 4 mje tucheze tuone hyo Hojlund anachezaje😅😅😅😅....mnadanganyana wanakimbia sana sijui nn so what....timu za kuisumbua arsenal ni Liver kwa ile pressing Yao na Man shitty kwa kuficha mpira na ununda wao wakishambuliwa😅😅😅...sio Newcastle wazee wakupoteza mda wakipelekewa moto....mtasumbuana nao nyny sio sisi hao watoto wadogo sana bdo😅😅😅
 
Kama yule jamaa kwenu hamumtaki kisa anachawa kuhusu sajili za mchongo za 7hag
 

Daaaah, this is too low for you.
Majority ya hii makala kaandika mzee wa jambia.
Badala ya kutoa hata credit, umeamua uifanye kama vile ya kwako.
Sawa unataka kutuonyesha Arsenal ilivyo bora ila hiki ulichokifanya ni plagiarism!! Vitu kama hivi vinafanywa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria. Watu ambao wanategemea wenzao wafikirie kwa niaba yao.
Unless wewe ndo mzee wa Jambia, toa credit kwa kutumia andiko la mtu
 
Kwa Arsenyau Man Utd hata tukiamshwa usiku wa manane tukaambiwa tuingie uwanjani kucheza na nyie wala hatuna wasiwasi.
Ila mzee baba msimu huu mtateseka sana aiseeee ile ngekewa ya msimu uliyoisha haiwezi kujirudia tena msimu huu, mkijitajidi sana ni Ueropa ila mna dalili zote za kwenda conference.
 
Subiri uone City atakavyo chapika wiki ijayo ndio atajua mwana mfalme Mohammad bin Salman hajanunua timu ili ishiriki tu kwenye ligi.
Naitabiria Newcastle itakuchukua makombe makubwa ya Epl na Uefa kabla ya Arsenyau.
 
Wewe kweli maisha magumu, hujui mm ndiye mzee wa jambia
 
ile xyz nahisi kabisa ni akaunti yako masingeli maana sio kwa kutusumbua kule Aiseeee.
Yule mwamba ni manjesta kitambo kabla hata wewe hujaijua Jf ,yupo toka Enzi za Ferguson humu Jf

Anachosema kuhusu 7hag yupo sahihi
 
Subiri uone City atakavyo chapika wiki ijayo ndio atajua mwana mfalme Mohammad bin Salman hajanunua timu ili ishiriki tu kwenye ligi.
Naitabiria Newcastle itakuchukua makombe makubwa ya Epl na Uefa kabla ya Arsenyau.
Huyo Newcastle atawafunga timu mbovu Kama manjesta

Kwa Arsenal hii mwaka huu Hakuna kupoteza muda marefa wanaongeza had dakika 10

Muulize shoga enu mama city
 
Yule mwamba ni manjesta kitambo kabla hata wewe hujaijua Jf ,yupo toka Enzi za Ferguson humu Jf

Anachosema kuhusu 7hag yupo sahihi
lazima umuone sahihi.
Kama vipi ngoja nikamshawishi ahamie huku kwa Masterclass Mikel Arteta the tactician, aje afurahie Teta ball burudani kwa wote, aache kuteseka huko unyumbuni.
 
lazima umuone sahihi.
Kama vipi ngoja nikamshawishi ahamie huku kwa Masterclass Mikel Arteta the tactician, aje afurahie Teta ball burudani kwa wote, aache kuteseka huko unyumbuni.
Yule jamaa hawez kufurahia mpira wa kijinga wa Erik 7 hag a Dutch David Moyes

Kama wewe unavyowaona wapo sahihi mamluki humu na yule jamaa tunamuona yupo sahihi

Leo nitakuja kumpa sapoti Kama wewe unavyowapa sapoti UKAWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…