Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama sporting CP waliwapasua kwenye Europa basi UEFA muandike maumivu😂😂😂
Hamuna kikosi cha kucheza UEFA, hamuna kikosi cha kucheza EPL 😂😂 bado kuna FA, Carabao, hahaha hii timu itachoka mapema sana aise
 
Kama sporting CP waliwapasua kwenye Europa basi UEFA muandike maumivu😂😂😂
Hamuna kikosi cha kucheza UEFA, hamuna kikosi cha kucheza EPL 😂😂 bado kuna FA, Carabao, hahaha hii timu itachoka mapema sana aise
Ni kwli mkuu tulitolewa Europa...tunasubiri tuanze hyo michuano tupasuke😅😅😅....sisi na nyny lini kwani maana kuna mtu hmu alitutishia Mudryk kwamba atatupasua tukikutana😅😅😅
 
Ni kwli mkuu tulitolewa Europa...tunasubiri tuanze hyo michuano tupasuke😅😅😅....sisi na nyny lini kwani maana kuna mtu hmu alitutishia Mudryk kwamba atatupasua tukikutana😅😅😅
Mkuu ni suala la muda tu.. Mudryk kuwapasua kupo pale pale ..kwa sasa tuna kocha siyo yule Lampard na yule kiazi potter ..subiri tukutane ndio mutajua hamujui😂😂😂
 
Mkuu ni suala la muda tu.. Mudryk kuwapasua kupo pale pale ..kwa sasa tuna kocha siyo yule Lampard na yule kiazi potter ..subiri tukutane ndio mutajua hamujui😂😂😂
Kipindi alivyokuwa Spurs hakuwa kocha sio😅😅😅...nilikuwa naomba sana kipindi mnatafuta kocha msimpate yule Luis Enrique alikuwa kocha wa Barca kuna kipindi au mlivyoanza kuhusishwa na Zidane maana hao ndo makocha haswa....ila hyu Tapeli wa ki Argentina..tupo hapa....
 

Mapenzi au kuabudu Arteta?
 
Tofautisha Spurs na Chelsea ..kumbuka Spurs ya Pochettinho ilikuwa nzuri tu tatizo hawakuwa na ile hali ya kutaka kubeba makombe. Kiufupi haikuwa tofauti na hii arsenal yenu ya sasa..yani kikosi ni kizuri lakini siyo cha kubeba makombe. Ila hii Chelsea tulivyo smart sisi siyo kama Spurs au arse8 ..sisi tuna DNA ya makombe. Wewe ngoja uone jinsi Pochettinho atakavyobeba makombe makombe mbele yenu 😂😂
 
Sawa mkuu tunasubiri😅😅😅...tunasubiri leo muanze kuweka statement kwny ligi kwa kumbamiza Liverkuku
 
Vijana wanatumia maneno mazito sana...hawana breki katika wanayoongea...anayeabudiwa ni Mungu tu....mtu anakuja anakuambia unamuabudu binadamu mwenzako kwli???
....hii si kufuru hii
Hizi tabia ni za mashabiki hasa wa manjesta ndio wanapenda Sana kutafuta spacegoat kwenye timu , kushambulia personality badala ya hoja ,
 
Mikel Arteta akizungunzia mechi ya Forest


"Kwa hakika, itakuwa vigumu sana kutawala michezo kwa dakika 100. kwa sababu hawakutengeneza chochote isipokuwa kwa hatua hiyo mchezo(wanapopata goli) unabadilika."

Arteta alisisitiza zaidi hitaji la timu yake kuhakikisha wanalinda mchezo ipasavyo

“Kasi inabadilika mara baada ya goli , huo sio wakati wa kuibadilisha, huwezi kuibadilisha, sasa unatakiwa kuwa mzuri sana katika kukabiliana na hali hiyo, kukimbia sana kwenda chini na kupata pointi, timu imefanya vizuri sana.

lakini itabidi tuwe watu wasio na huruma zaidi na kujikosoa zaidi ili kuwa wakatili zaidi na kuua mchezo."

Alihitimisha kwa kufahamu majukumu yake kama meneja, akisema:

"Hiyo ni kazi yangu - kuleta matatizo makubwa kwa mpinzani kuliko yale wanayotutengenezea na kucheza njia bora zaidi ya kupata haki ya kushinda mchezo na kuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kushinda mchezo."

"Ili kufanya hivyo tunapaswa kuchagua wachezaji wanaofaa kushinda mchezo kila wiki - sio tu kuanza lakini pia kumaliza.

Wachezaji walioingia katika sehemu ya mwisho ya mchezo walitusaidia sana pia kushinda mchezo huo.
 
Arteta on Rice and Havertz -

“They were really good.

“I think the whole team in the end was really good. I saw a lot of fluidity, a lot of good connections, really physical as well.

“Really, really strong counters, the eagerness to bring in that ball straightaway was magnificent.

“For example with Deccy [Rice], he had two big chances that he probably could have scored, but I’m really happy with him.”

(@talkSPORT exclusive)

talksport.com/football/15310…
 
Hakika nimeupenda huu uchambuzi, umekaa POA sana
 
Mikel Arteta on Declan Rice’s leadership:

“It’s very natural. You’ve seen him today, I don’t know if it was after two minutes or after 10, but the way he’s moving, the way he’s coaching and integrating in that dressing room I think he’s enjoying the position.”

“He should have scored probably two goals today. So more of the same. He’s not thinking, he’s just acting and I’m really pleased with what he’s done.”(football London via HITC)
 
Jana tulicheza vizuri, tunachotakiwa kuboresha ni kuwa katili mbele ya goli. Kama first half tungewapiga goli nyinginyingi kivyovyote wasingekuwa na mawazo ya kwamba tunaweza kuambulia hata sare hapa.

Kai Bado ana vitu vya kuboresha, amecheza kawaida sana. second half kidogo kaonekana, Binafsi nataka nimwone awe sharp na awe unpredictable akiamua kutoa pass au kudribble. Bado Nina matumaini naye ya kwamba atabadirika huko mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…