Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tofaut kati ya newcastle na arsenal ni hii castle anakuvizia anapokonya anapiga counter ya harak kulingn na silaha zake arsenal sisi tunajitahd kuukamata mchezo mzima sasa wewe kama ubongo wako unafikir vzr utaamua yupi mwenye uwezo mkubwa wa kushinda mechi wakikutana na mechi nyingi zaidi
 
Tukiwaambia wenzako humu hawatak kusikia hoja mbadala.. Wao wanataka kusikia maneno matamu tu kuhusu kila kitu khs Gunners yao.. Huyu dg tutawacheka sana khs yy kwa sbb Chelsea wamewatapeli na ndo maana walimuuza hrk hrk walivo sikia 65 zipo tyr
 
Newcastle, Astonvilla hawana mpira wakushindana na Arsenal
 
Kitu naona arteta anakifanya kwa kai kwanza ni mchezaji wake lazm amtaftie way amchezeshe ili atleast atuprove wrong kias fln,kingine positive kidogo kai anajitahidi kwenye kubugudhi/kupress wapinzani wasikae na mali kuanzia golini kwao odegaard,kai na jesus ni wazuri kwa kazi hii ila ukweli siku zote haukawii kujulikana Arteta atarudi sokoni kutafuta mchezaji mwingine mwenye uwezo wa kucheza kam striker au second striker mwenye energy ya kutosha zaid ya kai harvets hatoshi kuingia nae vitani huo ni mtazamo wangu sabb hana uwezo wa kujibeba pale panapohitajika ajitwishe bomu kwaajili ya timu kupata matokeo,binafsi ni usajili wa 50/50.
 
Huu mfumo ni mpya?

Patey amekuwa beki duh🥸🥸

View attachment 2715942
Kwenye makaratasi anakuwa Beki ,ndani anakuwa Kiungo

3-diamond-3

Tumeucheza hata vs Mancity 2nd half

Tutaucheza Sana msimu huu


Thomas Partey is inverting from RB in possession.
But it’s not a 3-2-2-3, but Arteta’s new 3-diamond-3 that we have already seen at the Community Shield a week ago.
 
Narudia Tena tuache ujuaji, Arteta hampangi mtu kwa kujuana ,majukumu uliyotataja kwa Kai ndiyo yanaamua apangwe au asipangwe


Hata Nketiah amemuelezea Jana ,dogo amefanya mazoezi kwa nguvu sana kapambana Sana mazoezini

Akamwambia Arteta na deserve kuanza


Mikel Arteta on Nketiah scoring:


“Delighted for him. He was so disappointed with the absence of Gabby & not to play a final [Community Shield]. The way he trained this week, he was telling me, ‘Gaffer, if I don’t play, you are blind’.” [@HaytersTV]
 
We just kicked off the season, watu wanaanza kuwa so critical na timu. Ni mapema mno kufanya hivyo.

Congratulations to the gunners!!
Hao hao ndio wakwanza kusema kocha Hana plan B

Timu zinazokaa nyuma kina manjesta,forest ,n.k walishatujulia kwenye 4-3-3

Forest walikuwa wanapaki Basi na watu 5 tukicheza 4-3-3 tunashindwa kuwafungua

Jana Kocha katumia 3-diamond-3 yenye attackers 6

MTU anakwambia huo mfumo mbaya sababu tulipigwa kaunta moja

Ni mfumo gani ambao haujawahi kupigwa kaunta
 
Hauwez kuwa na wachezaji wote nguvu nyingi akili chache

Haya malalamiko ndio amelalamikiwa Øde,Vieira , na Sasa Kai

Arteta ameshaulizwa Sana kuhusu kusema Kai sio physical

Akasema physical ina Maana nyingi kwake akasema ni physical sababu ana press anawin Duels , n.k

Kai vs city kacheza CF ,Jana kacheza no.10 , atacheza LCM no.8

Kote huko mwalimu anaangalia faida zake ni zipi atakazo offer kwenye mfumo

Kai vs city Ndiye alikuwa key players kuharibu buildup Yao

Jana vs Forest kwenye attackers 6 , unakuwa na no.10/8 watatu Rice Kai Øde
Kai Havertz had a good Arsenal debut vs Nottingham Forest

2 Chances Created
100% tackles won
1 clearance
1 headed clearance
1 recoveries
5/9 ground duels won
3/7 aerial duels won

But because he didn’t get GA ppl will call him shit
 
Mikel Arteta:


"Wachezaji wengi huja na kusema, 'Ah, kwa nini sichezi?', lazima ujaribu na kuelezea. Wachezaji wengine wanakuambia sababu kwa nini wanastahili kucheza, hivi ndivyo Eddie hufanya. Kisha anaingia kwenye uwanja na anafanya. Ni mfano mzuri sana kwa kila mtu."
 
Mikel Arteta kuhusu Nketiah kufunga goli na wachezaji wengine kupata nafasi


"Nimefurahishwa naye. Alisikitishwa sana na kutokuwepo kwa Gabby Jesus na kutocheza fainali [Ngao ya Jamii]. Jinsi alivyofanya mazoezi wiki hii, alikuwa akiniambia, ‘Gaffer, ikiwa sitacheza, wewe ni kipofu’.”
 
Champions League group stage draw will be made on Thursday, 31 August at 18:00 CET.

At the moment we have 26 confirmed teams in the group stage, while remaining six will be confirmed in the week of a draw.

Do you already have a 'group of death' that you would like to be drawn?
 
Na hapo ndo mnapokosea ndugu zetu😅😅....mwaka jana Fulham walikuja Emirates tukawafunga goli 2-1...ila ilikuwa mechi tulomaliza kibishi sana maana ilikuwa tia maji tia maji....tulipoenda kwao nn kiliwakuta....3 bila tukawakanyaga na assist 3 za strossard...uki project matokeo ya timu kwa kuangalia matokeo ya siku flani unakosea sana..project matokeo kwa kuangalia consistency ya timu kwa muda Fulani...Newcastle walikuja Emirates wakapata draw walionekana wagumu kwlikwli...mechi ya pili kwao nn kiliwakuta....Aston villa kaangalie mechi mbili za nyuma....Brighton tuligawana mbao mwaka jana....bdo nasimama na Arteta....be as unpredictable as you can this year....that's the only way you can survive....baada ya Kila mechi huwa kuna analysis inafanyika kuona wapi tulipatia na wapi tulikosea....hvyo ndugu zangu arsenal tuwe watulivu...tutakuwa na msimu mzuri....kikubwa majeruhi yasiwe mengi na ya muda mrefu....we will be a force to reckon with
 
Mashabiki wengi wa arse8 ni watoto wa 2008 apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…