Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mashabiki wa chelkenge lini mlikuwa na akili , yaan mnapambana kila mechi kuangalia wapi anakosea mje humu kusema tumepigwa

Ifike muda mkubali sio mchezaji wenu,
Ni sawa mkuu lakini tumepigwa pale kwa Kai
 
Hpn mkuu mm nilikua shabik wa Barca tu.. Lkn 2009 ndo mahaba yng na City yalianza onekana wazi.

Na ndo tulikua tunaingia pia kwny project ya mwarabu.. Na kiukwl tunafurahia kupata Oil money project yetu imeBooom.
Wewe ni nyumbu bila shaka
 
Watu walalamishi hata kwa maisha hawafanikiwi timu ishinde yanalalamika ikifungwa ndio yanalalamika zaidi fatilien kwa maisha yakawaida yanayolalamika ndio Yana stress we timu gan hutaki ishambuliwe
 
Glory hunter huyo, nenda jukwaa la psg utamuona
 
Mkuu mi nimeanza kushabikia Arsenal enzi forward yetu ni Anelka pale Highbury...zama hzo..mpk tunakuja kizazi cha kina Nwanko Kanu na Henry..Van Persie...podolski...mpk kina Chamakh...Giroud..mpk Sasa tupo hapa...Kila aina ya dhoruba tumepitia...mafanikio hayajengwi kwa siku moja ....tumeanza kuwa na kikosi cha ushindani na tutaanza kubeba makombe hvyo sina wasiwasi....ndo maana nikakuukiza lile swali umeanza lini kushabikia City maana najua walivyoanza kuja kina Tevez ndo hype zikawa juu na mengine yalofata ni history
 
Wewe ni Plastic fan, a.k.a glory hunter
 
Sipangani na ww mkuu.

Lkn jua kwamb ntakusurubu vilivyo kama kawaida.
 
Mfumo aliojaribu arteta leo ni majanga mnoo kwa timu inayopiga counter, yenye kumtumia winga kiberenge.

Kina saliba chini pale walikuwa wanakaa na mpira, anaweza kusimama na mpira mpaka sekunde kadhaa hampasii mwenzie,sijajua ni kwaninj, kuna haja ya kuchangamka.

Kai anaruka ruka, rice anaonesha kitu kadri siku zinavyokwenda.
Hata kama ozil ni lazy huyu kai sijui tumpe sifa gani🤣, leo kuuficha mpira tu tabu kwake🤣.

Nketiah timu si wa kutegemea.

Possession, na chance tulizotengeneza, na magoli tuliyofunga ni vitu viwili tofauti, kwa possession ya 80+% unategemea kuwe na chance created za kutosha, goli za kutosha.
 
Wewe ni Plastic fan, a.k.a glory hunterView attachment 2715832
Unachoshindwa Kujua ni kwmb Alipo Messi, Me nipo ni shabik lia lia wa Messi.

Kwa mfano saiv yuko Miami mm ni shabik pia Wa Inter Miami na Game za alfajir kama sina ratba na Stream vile vile.

Messi ndo mpr wnyw.

Kama ulikua unatafuta kunipiga mawe ulikua hujui tu kua ushabik wangu wa La Pulga ni next level mkuu.
 
Hpn mkuu mm nilikua shabik wa Barca tu.. Lkn 2009 ndo mahaba yng na City yalianza onekana wazi.

Na ndo tulikua tunaingia pia kwny project ya mwarabu.. Na kiukwl tunafurahia kupata Oil money project yetu imeBooom.
Mwaka 2021 ulikua shabiki lialia wa timu Gani??
 
Nilkua shabik lia lia wa Psg kwa sbb ya Messi.. Alipo Messi me nipo.

Hata leo hii wakicheza Inter Miami na Man City.. Ntakua upande wa Messi ashinde.

Nadhan nimekujib swali lako vyema kbs.
Had pale siku Messi anastafu ndo ntabak na Team zng Mbili Barcelona na Man City.

Lkn kwa ss pia ni shabik lia lia wakutupwa wa mda mref sana Wa Inter Miami.
 
Kwahiyo Mess alivyoenda PSG, ukaacha kuishabikia Man City kwa muda?
 
Nilkua shabik lia lia wa Psg kwa sbb ya Messi.. Alipo Messi me nipo.

Hata leo hii wakicheza Inter Miami na Man City.. Ntakua upande wa Messi ashinde.

Nadhan nimekujib swali lako vyema kbs.
Kwahiyo wewe ni plastic fan (WA man city), sio kama wale wa kuitwa die hard fan??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…