Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Newcastle leo mmepiga mpira mwingi sana aiseeee, sijategemea Aston Villa wangepigwa goli nyingi kiasi hiki tena hapo kuna nafasi kama 3 za wazi mmepoteza.
Kwa mi counter attack mliyoipiga leo mngekua mnacheza na timu mbovu kama Arsenyau mngewagonga zaidi ya goli 8.
 
Kama Arsenal kapigwa kwa Kai ilitakiwa mashabiki wa timu pinzani mfurahi kwamba tumeuziwa bomu Sasa Kila siku kushinda hmu ndani mnatema shombo weee...ww ambaye una Kovacic mpk Sasa kafanya nn....si ni yule mechi ya Community shield alikuwa anapinduliwa pinduliwa na Odegaard....kwhyo na nyny mmepigwa au 😅😅😅....Kila mtu apambane na matatizo yake mkuu
 
Sasa unafanya nn humu unamlalamikia Nani , mbona unaumia kule jukwaan kwenu umeona unajiongelesha

Walikuja kina ødegaard n.k wote waliambiwa hivo ,na mwisho midomo ilifungwa ,
 
Badala wa furahi kama sisi tunavyofurahi manjesta kupigwa Anthony,

Kila siku wanakuja kulalamika humu
 
Tukikutana nao hao hzo Counter zao watazipigia usingizini...wanyime kukaa na mpira wabaki kukimbiakimbia....hao wanaweza kukufungeni nyie Manyumbu kama mwaka jana walivyokutungueni pale kwao ila sio sisi....huo mpira wa papatu hawawezi kucheza mbele yetu....tupo hapa😅😅
 
Mkuu uzr mwsh wa msimu utafika.

Ww na huyu jamaa yako mwngne ntawatag vilivyo.
 
huyo ndio Mc masingeli, tunataka tumpe jimbo agombee ubunge. ana kipaji.
 
Huyo Newcastle Hana timu yakuifunga Arsenal , level zake hao hao kina Astonvilla ,

Nyie manjesta ambao hata kupiga pass 10 hamuwez ndio mtafungwa na kina Astonvilla
 

we acha tu yaani nilikua naangalia gemu subs zinafanyika anayeingia ni chuma na anayetoka chuma halafu kuna kondoo humu wanakuambia wana vikosi vipana
 
we acha tu yaani nilikua naangalia gemu subs zinafanyika anayeingia ni chuma na anayetoka chuma halafu kuna kondoo humu wanakuambia wana vikosi vipana
Hao ndo level yenu Sasa....mtakaogombea nao nafasi za sita kwenda mbele huko chinichini
 
Kovacic mtu kaz mzee.. Nyie sbr mtaomb poo.

Nasisitiza mambo yakienda kombo safar hii muwe hapa.
Tupo mkuu...ligi imeanza tuone kandanda safi...kwhyo Kovacic hamjapigwa ...yle ball carrier mzuri sana....mkipata na Paqueta mtakuwa hatari sana😅😅😅
 
Wewe malizia kusajili umtoe mazima top 4 manjesta

Malalamiko humu hayatawasaidia chochote
Najua unabana mbupu kw nguvu ili tusichukue vile vyuma, mana unajua tutaingia kwenye ubingwa na hii hii phace one.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…