Newcastle leo mmepiga mpira mwingi sana aiseeee, sijategemea Aston Villa wangepigwa goli nyingi kiasi hiki tena hapo kuna nafasi kama 3 za wazi mmepoteza.hongera kwa ushindi mkuu japo last 10 minutes ulikua unashika mbupu tu , bahati awonyi alianzia benchi.
Game saa 1 :30 angalia uone match ya kibabe sana , uzuriii game zetu 5 tunakutana na miamba haswa tumalizane nao mapema, nyie forest tu ila mnapiga kelele mpira umalizike
Ndo maana nakwambia ww hata kama ni mwehu hauwez kumwekea dhamana Kai.
Pa1 najua ww ni mwehu lkn sawa.
Uzur watu humu wanakujua jinsi gani ww ni tapeli na mlaghai unakua unawajaza wapumbav wenzio kama ww ujinga mwsh wa siku mambo yakiharibika unakimbia humu mbio nyng hauonekani.. Unabak kushinda kwny majukwaa ya vipodozi tu huko.
Wenzako wana Gunners wenye akil timamu wanajua kbs Kai ni mtu kwny game 30 anaweza cheza game 2 tu vzr zngne zote mkabak mnamtukana.
Sasa unafanya nn humu unamlalamikia Nani , mbona unaumia kule jukwaan kwenu umeona unajiongeleshaNdo maana nakwambia ww hata kama ni mwehu hauwez kumwekea dhamana Kai.
Pa1 najua ww ni mwehu lkn sawa.
Uzur watu humu wanakujua jinsi gani ww ni tapeli na mlaghai unakua unawajaza wapumbav wenzio kama ww ujinga mwsh wa siku mambo yakiharibika unakimbia humu mbio nyng hauonekani.. Unabak kushinda kwny majukwaa ya vipodozi tu huko.
Wenzako wana Gunners wenye akil timamu wanajua kbs Kai ni mtu kwny game 30 anaweza cheza game 2 tu vzr zngne zote mkabak mnamtukana.
@arsenal2004 vipi umeangalia mechi ya kiumeni?Tutaangalia mechi ya kiume kama Labyrinth anavyosema tuone boli
Badala wa furahi kama sisi tunavyofurahi manjesta kupigwa Anthony,Kama Arsenal kapigwa kwa Kai ilitakiwa mashabiki wa timu pinzani mfurahi kwamba tumeuziwa bomu Sasa Kila siku kushinda hmu ndani mnatema shombo weee...ww ambaye una Kovacic mpk Sasa kafanya nn....si ni yule mechi ya Community shield alikuwa anapinduliwa pinduliwa na Odegaard....kwhyo na nyny mmepigwa au....Kila mtu apambane na matatizo yake mkuu
Newcastle leo mmepiga mpira mwingi sana aiseeee, sijategemea Aston Villa wangepigwa goli nyingi kiasi hiki tena hapo kuna nafasi kama 3 za wazi mmepoteza.
Kwa mi counter attack mliyoipiga leo mngekua mnacheza na timu mbovu kama Arsenyau mngewagonga zaidi ya goli 8.View attachment 2715762
Mkuu uzr mwsh wa msimu utafika.Kama Arsenal kapigwa kwa Kai ilitakiwa mashabiki wa timu pinzani mfurahi kwamba tumeuziwa bomu Sasa Kila siku kushinda hmu ndani mnatema shombo weee...ww ambaye una Kovacic mpk Sasa kafanya nn....si ni yule mechi ya Community shield alikuwa anapinduliwa pinduliwa na Odegaard....kwhyo na nyny mmepigwa au....Kila mtu apambane na matatizo yake mkuu
@arsenal2004 vipi umeangalia mechi ya kiumeni?
Umemuona mnyama Tonali, unaweza kumfananisha na takataka kama Kai Harvez?
huyo ndio Mc masingeli, tunataka tumpe jimbo agombee ubunge. ana kipaji.Ndo maana nakwambia ww hata kama ni mwehu hauwez kumwekea dhamana Kai.
Pa1 najua ww ni mwehu lkn sawa.
Uzur watu humu wanakujua jinsi gani ww ni tapeli na mlaghai unakua unawajaza wapumbav wenzio kama ww ujinga mwsh wa siku mambo yakiharibika unakimbia humu mbio nyng hauonekani.. Unabak kushinda kwny majukwaa ya vipodozi tu huko.
Wenzako wana Gunners wenye akil timamu wanajua kbs Kai ni mtu kwny game 30 anaweza cheza game 2 tu vzr zngne zote mkabak mnamtukana.
Huyo Newcastle Hana timu yakuifunga Arsenal , level zake hao hao kina Astonvilla ,Newcastle leo mmepiga mpira mwingi sana aiseeee, sijategemea Aston Villa wangepigwa goli nyingi kiasi hiki tena hapo kuna nafasi kama 3 za wazi mmepoteza.
Kwa mi counter attack mliyoipiga leo mngekua mnacheza na timu mbovu kama Arsenyau mngewagonga zaidi ya goli 8.View attachment 2715762
Newcastle leo mmepiga mpira mwingi sana aiseeee, sijategemea Aston Villa wangepigwa goli nyingi kiasi hiki tena hapo kuna nafasi kama 3 za wazi mmepoteza.
Kwa mi counter attack mliyoipiga leo mngekua mnacheza na timu mbovu kama Arsenyau mngewagonga zaidi ya goli 8.View attachment 2715762
Mkuu uzr mwsh wa msimu utafika.
Ww na huyu jamaa yako mwngne ntawatag vilivyo.
Wewe malizia kusajili umtoe mazima top 4 manjestahuyo ndio Mc masingeli, tunataka tumpe jimbo agombee ubunge. ana kipaji.
Sasa mnataka tufurah wapi zaid ya hapa.Badala wa furahi kama sisi tunavyofurahi manjesta kupigwa Anthony,
Kila siku wanakuja kulalamika humu
Hao ndo level yenu Sasa....mtakaogombea nao nafasi za sita kwenda mbele huko chinichiniwe acha tu yaani nilikua naangalia gemu subs zinafanyika anayeingia ni chuma na anayetoka chuma halafu kuna kondoo humu wanakuambia wana vikosi vipana
Wewe malizia kusajili umtoe mazima top 4 manjestahuyo ndio Mc masingeli, tunataka tumpe jimbo agombee ubunge. ana kipaji.
Kovacic mtu kaz mzee.. Nyie sbr mtaomb poo.Haina shida...Kovacic jembe au tumpe mda ball carrier
Tupo mkuu...ligi imeanza tuone kandanda safi...kwhyo Kovacic hamjapigwa ...yle ball carrier mzuri sana....mkipata na Paqueta mtakuwa hatari sana😅😅😅Kovacic mtu kaz mzee.. Nyie sbr mtaomb poo.
Nasisitiza mambo yakienda kombo safar hii muwe hapa.
Mtu wa ovyo sana mwny porojo nyng za vijiweni.huyo ndio Mc masingeli, tunataka tumpe jimbo agombee ubunge. ana kipaji.
Najua unabana mbupu kw nguvu ili tusichukue vile vyuma, mana unajua tutaingia kwenye ubingwa na hii hii phace one.Wewe malizia kusajili umtoe mazima top 4 manjesta
Malalamiko humu hayatawasaidia chochote