Kai atatamba sana akiwa arsenal msimu huu.watu wanasema tusajili cf wa nini ? mpira wa siku hizi hautegemei mtu afanye kazi moja tu uwanjani,akitaitiwa akashindwa kufunga anakuwa mzigo kwenye mechi,angalia juzi halland kwenye mechi yetu baada ya kubawa na mabeki akakosa cha kufanya ikabid wamtoe.ila unapokuwa na mtu kama kai au G.Jesus,Hawa mechi ikiwa ngumu wanarud nyuma wanaenda kukaba,wanachukua mpira wanapiga changa adui then wanatengeneza space kwa kina ode,saka na martinell kuscore,huu ndio mpira wa kisasa,ni kitu cha ajabu kusema arsenal anahitaji cf,wakati msimu uliopita wamemaliza na goli 88,hata wakati kina henry wapo hawakuwahi kufikisha hizo goli.
Mimi nakubaliana na wewe , lakin pia hatuna tatizo kubwa la kuhitaji a CF ,tulishakuwa na lacazette ,Hakuna alichofanya
Kuna swali Ambangile aliwauliza Mashabiki wa Arsenal Kweye space siku moja wanaolalamika tusajili CF , Aliuliza huyo CF atakuwa kila mpira anapigiwa yeye tu ili afunge
Wengi wanaona Halland anafunga Sana ni sababu City Wana xG kubwa ya kutengeneza nafasi lakin pia KDB ndiye anamjulia Sana kuliko wenzie ,
Halland yule angeenda manjesta huenda angekuwa Kama Weghost tu, tumeona mechi ambazo mabeki wanamuweka mfukoni ,kurudi chini hawez ,kwenda pemben hawezi ,
Mimi naamini tutasajili CF lakin ni cariber ya Ole watikins,au Ivan Toney ,
Arsenal tuna create nafasi nyingi Sana, Juz vs city bado tulitengeneza nafasi nyingi kuliko city ,
Mfano mzuri ni Chelsea ya Tuchel Iliyotoka kubeba UCL zilipigwa kelele asajiliwe CF wapiganie EPL , akaletwa CF kwa £97m , ikafika muda akawa anagusa mpira Mara 8,na timu ikazidi kupotea