Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inapigwa projectile motion moja matata Sana yeye martinel kazi yake ni kuukimbiza na kumalizia ku-shoot

Wakitaka pass fupi fupi pia watashughulikiwa

Wakija kwa namna yoyote ile maji wataita mma
 
Kenge kama Kenge
 
Atuchukulie Mason greenwood pale unyumbuni halafu mwakani atuuzie
Kutoka 20:17 BHN

“Usiitamani nyumba ya jirani yako, wala mke wake, wala mtumwa wake wa kiume au wa kike, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala chochote kilicho mali ya jirani yako.”
 
Na pia luiz can play as a RW ila sajili za arteta mostly haangalii position yeye anasajili mchezaji anaeyona ata fit na mfumo wake usishangaa pia akawa kaja chukua nafasi ya martineli ambaye kwakwel mm naona sio perfect sana kama watu wanamvyomuona.
luiz wa aston villa sijawai muona popote akicheza kama RW..
 
Manchester City are exploring a deal to sign Lucas Paqueta from West Ham. No formal offer yet but interest firm + 25yo Brazil international an option #MCFC are looking at to strengthen midfield. #WHUFC do not want to sell. W/ @mjcritchley @TheAthleticFC


Kuna jamaa umu nmemsahau jina alikua ana muhusudu sana huyu jamaa hata kabla hajaenda West ham, na alikua anamuona zaid kwenye LCM kwenye mfumo wa 433 kipindi ichooooo....
 
@Castr nadhani

Binafsi namkubali Sana Bruno Guimares huyu ndio anaweza kukaribia akili na ubongo wa Ikay ,
 
Kima tena mkuu
...kuuza au kununua wachezaji ni suala la kawaida tu kwny mpira
Ukisikia shabiki yoyote wa Arsenyo anaitwa kwa nickname ya Kondoo, Kima au Nyani usishtuke mkuu.

*Kondoo inatokana na ile Hashtag yenu ya Arseno ndoo Haaland kiatu so baada ya kuikosa ndoo ndio Hashtag ikabadilika rasmi na kua Arsenyo Kondoo.

*Nyani na Kima ni kitu kimoja inatokana na nickname ya Arsenyani.

Timu 4 kubwa za Epl tumuamua kuzipea majina ya wanyama ili kuleta ufanisi katika yale yanayosadifu matendo yao.

Man Utd a.k.a yake ni Nyumbu
Chelsea a.k.a yake ni Kenge
Liverpool a.k.a yake ni Punda (Liverpunda)
Arsenyo a.k.a yake ni Kondoo au Kima/Nyani.
 
The relationship between Arteta and Thomas Partey is just that of Xhaka and Arteta, not surprised he said he was part of his plans after several rumours of him leaving the club.


Trust the process 🥹
 
@Castr nadhani

Binafsi namkubali Sana Bruno Guimares huyu ndio anaweza kukaribia akili na ubongo wa Ikay ,
Bruno G ndio ubongo wa Newcastle, waarabu wa Newcastle ndio wanamtegemea sana katika process ya kuijenga timu, hivyo hata ukienda na £300m zako utapewa jibu tu kua hauzwi.
Newcastle ni vile tu sheria za FFP zinawabana la sivyo dirisha hili la usajili wangefanya kufuru kubwa kama vile wanavyofanya huko kwao Saudia.
 
Yule jamaa anajua Sana , soon ataenda Madrid ,wanamtaka Sana, Newcastle apambanie Europa safari hii, last season kidogo apelekwe Europa na Liverpool


Halafu yule kocha wa Brazil alivyokuwa mwehu, alikuwa anampiga bench Bruno anamchezesha Paqueta au Fred

Kuna makocha wanavuta bangi
 
HABARI NDIO HIYO

David Raya and Aaron Ramsdale will compete for the No 1 jersey at Arsenal and there will be no automatic first choice

(@MelissaReddy_ / @SkySportsPL )-Tier 1
 
Bruno sidhani kama ataondoka Newcastle kiurahisi Mkuu, Newcastle wenyewe wana mpango wa kumfanya kua Icone wa timu yao kama ilivyokua kwa Alan Shearer na Michael Owen.
 
EXCLUSIVE

Arteta amewaambia wachezaji wa Arsenal anataka washindane kwa kiwango cha juu kati yao katika kila nafasi ikiwa wanatarajia kushinda mara kwa mara mataji makubwa.

Inafahamika kuwa Ramsdale atakaribisha changamoto ya kuchuana na Raya na klabu inaamini itawasukuma makipa wote wawili kuinua viwango vyao.

Source : (@MelissaReddy_ )

skysports.com

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…