Arsenal (The Gunners) | Special Thread

subiri Aug 31 ndio tutajua, bado tunaweza kusajili wachezaji 2 au 3, zipo £90 millioni Wenger kazikumbatia

Wenger sawa na Mkinga, ana cash kwa mfuko lakn ana lala chini...ana kula one day a meal na kibaya haoni shida kushinda njaa kisa UBAHILI....nyie ela zenu si za kuweka bank shareholders wagawane? (dividends). mtajiju.
 
Uk napo kuna kangara nini???? This Arsh...vin then sijui kalewa nini??? Anajitahidi katika kukaba lakini he is a big burden to this team......Flip of the match so far......
 
Salama kaka?, n mm mdogo wako Manda wa Carrington, nimepita tu kuwasaliu, naona unanipotezea, ila mm nakupenda tu.

Ha ha ha mkuu salama tu hapa.

Tatizo lako unaingia wakati wa game imeanza attention yote inakuwa kwenye game na si unajua niko busy kwenye mambo ya usajili bado.

Issue vipi?
 
half time 0-0 sio mbaya sana, inaonekana tunadifendi poa ila huku mbele nafasi tunazipoteza, mimi wasiwasi wangu yule Suarez naona bado yuko benchi.
 
Duuh yellow kwa Frimpong , dogo hawezi kumaliza game hii bila kadi kwa jinsi ninavyo mjua.

hahaha hata hivo dogo anajiweza kimtindo.. mzuri more than i was expecting him 2be...

hapa ni kumtoa Rosicky ... mambo yatakuwa fresh...
 
Hivi Wenger alimnunua Maruane Chamakh wa nini?
 
Ha ha ha mkuu salama tu hapa.Tatizo lako unaingia wakati wa game imeanza attention yote inakuwa kwenye game na si unajua niko busy kwenye mambo ya usajili bado.
Issue vipi?


Hahaha! ishu popa mkuu...niko vacation kjjn kwetu huku Sitimbi, so i had to drove 50Km to taoo kuja iwai game game yenu, nkafika late....
Ila aiseee awa ndugu zangu wanajua mpira kuliko AW, kuna kina Thomas Mulambo apa wanachambua mpira mm sina mbavu....hahaha! et AW anatumia Masab@&ri kusajili.
 
Ivi Michelle yu wap jaman?, nyie Arsenols fans...nimemiss dada angu yule.
 
Watani naona kama mpo uwanja wa jirani ................vp mbona kati umeme umekatika...........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…