Wape vidonge vyaoMalalamiko pekekeni polisiView attachment 2711120
Safi sana hilo ni picha moja la kibabe sana, yaani ni picha la kutisha, hizi sasa ndio sajili za kuchukua mpaka Uefa msimu huu chini ya The Masterclass wenyewe Tactician Mikel ArtetaMalalamiko pekekeni polisiView attachment 2711120
EwaaaaSafi sana hilo ni picha moja la kibabe sana, yaani ni picha la kutisha, hizi sasa ndio sajili za kuchukua mpaka Uefa msimu huu chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass.
Hongereni sana Gunners, msimu huu Chelkenge, Nyumbu, Liverpunda na mliMancity watateseka sana na Teta ball pira biriani burudani kwa wote
Kama vipi tupewe kombe letu kabisa kabla ligi haijaanza, maana msimu huu haina kupoa ni barafu mwanzo mwisho mpaka tunamaliza ligi.
Yap , Raya soon anatinga Uzi
Kwasasa hata Carabao ambalo manjesta analitolea macho tunaweka full squad ,dharau zimezidi sana
Katika kombora tatu za mbali, moja ni goalN
Ndo maana nikasema Kwa sasa tutaanza mazoezi ya kupiga magoli ya mbali
Nilichogundua flano, unaikubali Sana the Gunner chama la WanaKama vipi tupewe kombe letu kabisa kabla ligi haijaanza, maana msimu huu haina kupoa ni barafu mwanzo mwisho mpaka tunamaliza ligi. View attachment 2711132
Nilichogundua flano, unaikubali Sana the Gunner chama la Wana
unyumbuni utaaga vipi?, ndio swali linakuumiza
Sasa eti Omama akutane na vitu vya design hii from 30 yards out. si tutamuua Kwa pressure yule dogo?Perfection
View attachment 2711137
Timu sio kabila njoo huku kwenye teta ball, burudani inatandazwa soka safiGunners ni wanangu sana tu, nakumbuka kipindi nipo O'level nilikua nakaa dawati moja na gunner halafu alikua ni mwanangu kinyama halafu kipindi hicho sasa Arsenyo alikua ni kama mchepuko wetu yaani simu moja tu tayari kashatangulia magetoni unamkuta kasaula mpaka nguo.
Mwanangu sisi mpira tunaujua na tunaujua tena. Tunaweza na tukauweza tena. Ingawa tunazinguaga kijinga sana pumbavu zetu ila asili yetu kama arsenal ni kujua boli Mzee. Yaani tunajua boli mnooosema hawa wanangu wenyewe wazee wa teta ball burudani kwa wote, chini ya Tactician Mikel Arteta the Masterclass hua nawakubali kinyama jinsi wanavyokuwaga na maconfidence wakati ligi inavyoanza.
Mrembo tu yule alibana akaachia. Kwenye penati mweupe kama cocaine tukajibebea sinia letu la pilau kiulainiiiHuyo shoga yenu mnayeachaga timu zenu mnaanza kumshangilia
Ilifika muda akawekewa 1-3-6 ,ukaanza kupigwa wimbo wa UTATOA HUTOIView attachment 2711123
Mwanangu sisi mpira tunaujua na tunaujua tena. Tunaweza na tukauweza tena. Ingawa tunazinguaga kijinga sana pumbavu zetu ila asili yetu kama arsenal ni kujua boli Mzee. Yaani tunajua boli mnooo
Nyumbu ni wakupiga Hadi wasememkuu acha kuwatisha nyumbuz
Tatizo letu ni kuwa soon team itajaa vyuma kiasi kwamba huwezi kusema ipi full squad na ipi siyo. Wapinzani wataona tunawaonea tunawapangia masquad magumu kumbe ndiyo hivyo tu hatuna wachezaji wabovu, we can't help it.Yap , Raya soon anatinga Uzi
Kwasasa hata Carabao ambalo manjesta analitolea macho tunaweka full squad ,dharau zimezidi sana