Tatizo lenu hua hampendi kabisa kusikia ukweli, mtapindishapindisha maneno ili mradi tu mjipee false hopes.Liverpool alijaza wazee kikos kizima ,ni wajinga tu waliokuwa wanaamini Liverpool angepigania ubingwa na Midfielders ina jumla ya umri miaka 130
Kwa mara ya kwanza msimu huu Ramsdale atafunga goli kutoka golini kwake na inaeleweka ni nani atamfunga🤣🤣Last season tulikuwa tunaingia kwenye box lenu maana yule kima DeGea ana mashaolin mengi lazima umfuate karibu sana ndo umfunge.
Ila huyu Omama daah. Hata kwa goal kicks za Ramsdale tu tutakuwa tunamfunga. Nimeshaanza kuwahurumia nyie manyumbu
Alimtegea Nan ,mtu anashangilia hivi ,Tatizo lenu hua hampendi kabisa kusikia ukweli, mtapindishapindisha maneno ili mradi tu mjipee false hopes.
Haya nitajie timu yoyote ndani ya misimu 10 iliyopita ya ligi alibeba hilo ngao la hisani halafu akafanikiwa kuchukua kombe la ligi?
Mancity jana walikua wanawategea muingie cha kike na nyie mlivyo na akili nyingi mkaingia kweli
Arteta kasema.baada ile mech na manjesta wamekuwa na mazoezi ya penalties pia Ramsdale wamekuwa wakimfanyisha mazoezi, maana kwenye penalty alikuwa shati sanaJambo jingine ambalo Arsenal players nimeliona kwao ni wanajua kupiga penalties!nahisi hilo wadau hamjaliona kwa jicho la 3 and even Ramsdale kaanza kudaka at least penalties!
Kumfunga nyumbu ni rahisi ukiwa na maprofessional sniper, je nyinyi mnao wataalamu wa kutungua maembe kwa mawe?Last season tulikuwa tunaingia kwenye box lenu maana yule kima DeGea ana mashaolin mengi lazima umfuate karibu sana ndo umfunge.
Ila huyu Omama daah. Hata kwa goal kicks za Ramsdale tu tutakuwa tunamfunga. Nimeshaanza kuwahurumia nyie manyumbu
Umesahau enhe ,mlivyopaki bas ndan ya dk 20 mnapumulia mirijaKumfunga nyumbu ni rahisi ukiwa na maprofessional sniper, je nyinyi mnao wataalamu wa kutungua maembe kwa mawe?
Safi sana...hii nzuri sana...David Raya next...Matt Turner to Nottingham Forest is 10m pounds including add-ons
(@RyanTaylorSport )
Tulimnunua kwa £5.5m
Arteta pia kasema haoni shida ya kuongeza quality hata panapoonekana Pana quality na kuondosha wachezaji wasiotikiza malengo. Amesema hiyo ndiyo nature ya kazi na yeye mwenyewe ni wa kwanza kuwajibisha au kutimuliwa asipofikia malengo ya team.Arteta kasema.baada ile mech na manjesta wamekuwa na mazoezi ya penalties pia Ramsdale wamekuwa wakimfanyisha mazoezi, maana kwenye penalty alikuwa shati sana
Yap , Raya soon anatinga UziSafi sana...hii nzuri sana...David Raya next...
Inawezekana dogo kuna wakubwa wanemwambia tunakujia tusubiri hvyo ana buy time au kwny mikataba anataka kiwekwe kipengele cha release clause yasimkute ya Caicedo...Brighton wahuni sana wale jamaaKudus to Brighton in doubt as player and club cant agree on a deal so far. Ajax want clarity on the matter in 48 hours
(@VI_nl )
Ndo maana nikasema Kwa sasa tutaanza mazoezi ya kupiga magoli ya mbaliKumfunga nyumbu ni rahisi ukiwa na maprofessional sniper, je nyinyi mnao wataalamu wa kutungua maembe kwa mawe?
Wwe shabiki wa liver kweny uzi wa arsenal umefuata nn humuHabari njema sana kwetu, ila Liverpool sidhani kama wataikubali hiyo ofa.
Dogo ni dhahiri ana buy time,Kuna harufu wakubwa wamemwambia asubiriInawezekana dogo kuna wakubwa wanemwambia tunakujia tusubiri hvyo ana buy time au kwny mikataba anataka kiwekwe kipengele cha release clause yasimkute ya Caicedo...Brighton wahuni sana wale jamaa
Onana atasaidia sana kuimprove goal difference za timu za EPLKwa mara ya kwanza msimu huu Ramsdale atafunga goli kutoka golini kwake na inaeleweka ni nani atamfunga🤣🤣
Nyie mnaforce mpaka muingie kwenye 18 ndio mfunge, Onana ili umfunge unatakiwa walau upige shuti katikati ya uwanja, je nyinyi mnao wachezaje hao?Umesahau enhe ,mlivyopaki bas ndan ya dk 20 mnapumulia mirija
Narudia tena...ww level zenu ni hao kina Aston villa na level zenu ni nafasi ya 6 kushuka chini....huna ubavu hata wa kwenda jino kwa jino na Tottenham tu...uje kutusumbua sisi...chezeni miaka kama 3 mzoeane hasa ndo mje kuanza kushindana na sisi ila kwa sasahv bado sana....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...na msimu huu mna points 6 zetu Sio 4 kama mwaka jana
Huyo pazia wewe subiri, umeona kipa wa city alikuwa anacheza Kama onana ,Nyie mnaforce mpaka muingie kwenye 18 ndio mfunge, Onana ili umfunge unatakiwa walau upige shuti katikati ya uwanja, je nyinyi mnao wachezaje hao?