Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kukumbusha sio dhambi, hili sinia mnalokabidhiwa leo hua halihesabiki kua ni kombe ingawa ni dalili njema kwa timu na inaongeza hamasa zaidi kwenye mechi zitazofata za ligi.
Hiyo ni supercup ,ile Carabao ndio kombe?
 
Of course we really need a CF who's more clinical than the ones we have at the moment.Arteta and Edu should consider this very seriously.
 
Maoni yangu kuhusu hii mechi.

Ili kumfunga man city mpelekee mpira kwenye goli lake hata kama ni kwa kuushika just send it.

Arsenal hii ni bora ila inahitaji msaada sana wa kisaikolojia katika kuhandle presha za big match na decisive maches

Aliyetaka partey auzwe atafutwe na ashtakiwe kwa uhujumu.kiukweli kuna muda huwa najiuliza what if partey angekuwa city na akazungukwa na ile quality?

Odegard ajitazame kama captain, kwenye baadhi ya big match humuoni akikupa msaada unaohitaji.

We need a striker,a natural striker hata kama hawapo sokoni lakini tunamhitaji.option ya vilahovic ilikuwepo ila.... bila mshambuliaji wa kueleweka tunaweza kufika tumechoka au tukafia njiani.

G.maghaless anazingua na kocha inabidi amtazame au ampe bench kidogo.

Transitional football against city kwangu mimi naona ni suruhisho.cheza directly kuelekea golini.ukipoteza mpira fanya pressing .liverpool wanalijua hili na ndo maana city anachapikaga.

Kama tunataka kuendelea na hii possession football basi tunahitaji kiungo driver anayeweza kubeba mpira toka phase hii ya uwanja mpaka phase ile.hatuna proper ball carrier ambaye ni driver.kidogo trossard.Ila mwangalie bernaldo ndo utajua kwanini barca na psg wameleta hela na wakaambiwa hauzwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…