Green Koryo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2022
- 616
- 1,143
Arsenal katafutiwa goli na refa aiseee muda ushaisha zamani
Kwahiyo hukuona muda uliotumika katika matibabu?Arsenal katafutiwa goli na refa aiseee muda ushaisha zamani
Huko hamis77 kabana kende vibaya mno maana alijitapa Sana haweka wapi sura yake.View attachment 2710279


Arsenal hii had usikie firimbi ya mwisho ndio useme umeshindaTeta ball burudani kwa wote, unapigwa msako wa utatoa hutoi mixer pressing na overloading lazima uteme ndoano.
Arsenyo wakabidhiwe kabisa kombe lao la Uefa.
Safi sana haiishi mpaka iishe hiyo.Arsenal hii had usikie firimbi ya mwisho ndio useme umeshinda