NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Chelsea katudhulumu ile chance angepata jinj Haaland tungeokotea nyavuni. Kai tumepigwa Mc HamisHuyo sio mount asee umechanganya mafaili
Chelsea katudhulumu ile chance angepata jinj Haaland tungeokotea nyavuni. Kai tumepigwa Mc HamisHuyo sio mount asee umechanganya mafaili
Bernado silva.remember the name.dogo mzuri ila hii ndo arsenal bhanaQuality vs quality
City ametuacha experience
City akiwa na mpira hatishi kuliko arsenal akiwa na mpira
Pale city Kuna mtu anaitwa bernado silva
Castr ni kweli inabidi aongeze finishing, Kai sio typical no.9, but mpaka Sasa amecheza vzr Sana ,kupress ,kuhold up, n.kNakuacha hapo ufikirie jibu lako.
Wapoje ,mm naangalia kwa link mech ya arsenal ,Naangalia. Sifuatilii mpira wa bongo ila naona wanacheza vizuri
Upo kama mimi pia mipira ya bongo imenishindaNaangalia. Sifuatilii mpira wa bongo ila naona wanacheza vizuri
Kazi ya Kai ni kuanzisha movement ya kupress kwa Akili ili Ortega apige pass pemben au Kati ambapo tayari saka na Nelli nao wanaanzisha press nyingineKwani nyinyi wenzangu mnaangalia mpira gani wa Arsenal ambao Kai kacheza vizuri? Ambao kapress?
Hizo pasi ambazo Ortega anapiga katikati a proper false 9 yupo pale unadhani angepiga?
False 9 anatakiwa avute beki ili wings zisqueeze space na mid ije kuvizia chances.
Kai anafanya hayo?
Wame pigwa 1Nyumbu Yao yamewashinda ,wamewekwa nasikia
Wana usajili mpya una rasta zina bleach, na usajili wa beki fulani hivi mtangazaji anataja majina sijayashika. Wapo vizuri hao wawili pamoja na KapombeWapoje ,mm naangalia kwa link mech ya arsenal ,
Hii beki wote ni ma CBs , Kikos Kama hiki ni Cha mechi zile tafu
Kwenye mechi mbili nilizomuona yuko vizuri yaani anaoffer vitu vingiTimber alitakiwa asajiliwe kwa pound M200 period!
Duh a supriseKocha kamtoa Martinelli na Timber![]()