Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nakuacha hapo ufikirie jibu lako.
Castr ni kweli inabidi aongeze finishing, Kai sio typical no.9, but mpaka Sasa amecheza vzr Sana ,kupress ,kuhold up, n.k

Sikutegemea atacheza hivi
 
Kwani nyinyi wenzangu mnaangalia mpira gani wa Arsenal ambao Kai kacheza vizuri? Ambao kapress?

Hizo pasi ambazo Ortega anapiga katikati a proper false 9 yupo pale unadhani angepiga?

False 9 anatakiwa avute beki ili wings zisqueeze space na mid ije kuvizia chances.

Kai anafanya hayo?
 
Naangalia. Sifuatilii mpira wa bongo ila naona wanacheza vizuri
Wapoje ,mm naangalia kwa link mech ya arsenal ,

Hii beki wote ni ma CBs , Kikos Kama hiki ni Cha mechi zile tafu
 
Kwani nyinyi wenzangu mnaangalia mpira gani wa Arsenal ambao Kai kacheza vizuri? Ambao kapress?

Hizo pasi ambazo Ortega anapiga katikati a proper false 9 yupo pale unadhani angepiga?

False 9 anatakiwa avute beki ili wings zisqueeze space na mid ije kuvizia chances.

Kai anafanya hayo?
Kazi ya Kai ni kuanzisha movement ya kupress kwa Akili ili Ortega apige pass pemben au Kati ambapo tayari saka na Nelli nao wanaanzisha press nyingine

Kai anapo press anaanza peke yake anakuwa 1vs3 ,sio rahis aupate mpira ,ila pressing tunaangalia timing na unavyoenda kupress ,
 
Kwa maoni yangu mimi Kai awe anacheza mbele ya viungo wawili nyuma yake hawa wawili wawe Partey na Rice yeye anakua mbele yao kama AM

Kuna chance kakosa kisha kawekewa mwili na beki na yeye akaridhika
 
Kula chuma hicho nyumbu 😂🤣
FB_IMG_16913381734495907.jpg
 
Wapoje ,mm naangalia kwa link mech ya arsenal ,

Hii beki wote ni ma CBs , Kikos Kama hiki ni Cha mechi zile tafu
Wana usajili mpya una rasta zina bleach, na usajili wa beki fulani hivi mtangazaji anataja majina sijayashika. Wapo vizuri hao wawili pamoja na Kapombe

Wanapress, wanabuild up vizuri isipokua huyu rasta za bleach uelewa wake wa mpira upo mbele ya wenzake. Mfano anaweza initiate 1,2 mwenzake akashindwa kumpelekea au akawa kaifanya false run na ikatiki akajikuta peke yake
 
Back
Top Bottom