😃eti winger.nimekutajia DM wetu
Rice
Partey
Jorginho
Taja wakwako anayemzidi uwezo 3rd choice wetu Jorginho,
Hapo ndio utajua huu ujinga mnaodanganyana mnagombea top 4 ni wakutupiliwa mbali
Hata winger zako Sion yakuingia Arsenal
Hao viungo wenu ni wakawaida
Jipapatue ila leo ndio Mateso yanaanza kwenuKiburi chote kipo kwa Salah ,halafu hajui Salah ni 30+ ,anamchukulia Kama Saka 21yrs
Muda huu ndio wangemuuza Salah saudia kabla hajawachujia
Ukitoa salah ile timu haina tofauti na Fulham ,
Ila kelele anazopiga humu ,Bora manjesta asee Wana squad inaonekana
Hawez kutaja ,timu yao spana mkononi ,Basi na nyie ndo mtulie Sasa ligi ianze sio kuja kutujazia vi comment vyenu hmu na wakati hata wachezaji wenu hamsemi wanao cover nafasi zao wakiumia
Hatuna mkuu ila nyny mnao ndo maana mnaenda kucheza mechi za Alhamisi usiku😃eti winger.
Una winger wa kucheza kikosi cha LFC wewe??
Hili swali gumu kwako?eti winger.
Una winger wa kucheza kikosi cha LFC wewe??
Wewe umecheza alhamis usiku toka 2016 mpka 2023.Hatuna mkuu ila nyny mnao ndo maana mnaenda kucheza mechi za Alhamisi usiku
Yule Diaz ni like kuku aliyekatwa kichwa , mchezaji wakawaida tuHatuna mkuu ila nyny mnao ndo maana mnaenda kucheza mechi za Alhamisi usiku
Dah mkuu unajua kuwakera hadi rahaMost valuable squad in the world inacheza leo
Chukua kina manjesta,namungo, Kitayosye, Gwambina , Chelsea ,Mancity, Barcelona ,n.k
Ambaye squad yake ina gharama anacheza Leo pale Wembley
Kabla hamjamuuza coutinho mkapata bajeti ya usajili ,simlikuwa mnacheza alhamis kila mwakaWewe umecheza alhamis usiku toka 2016 mpka 2023.
Mbona kawaida hiyo.
Na umecheza EUROPA toka 2016 ajabu faunali umecheza moja tu, na hata kombe pia hukuchukua miaka yote hiyo.
UEFA utaiweza.??
Ninyi yenu ina hatari 7 years consecative.Kabla hamjamuuza coutinho mkapata bajeti ya usajili ,simlikuwa mnacheza alhamis kila mwaka
Sasa hivi uzen mchezaji mpate bajeti ,lasivyo mtakuwa watu wa alhamis
Wewe mnashindwa kununua Lavia kwa 50 , Jude mngemuweza
Kabla hamjamuuza coutinho mkapata bajeti ya usajili ,simlikuwa mnacheza alhamis kila mwaka
Sasa hivi uzen mchezaji mpate bajeti ,lasivyo mtakuwa watu wa alhamis
Wewe mnashindwa kununua Lavia kwa 50 , Jude mngemuweza
Haya nitajie Sasa DM katika timu yako ni NaniNinyi yenu ina hatari 7 years consecative.
Yaani non stop tena hata hiyo EUROPA hamjawahi kuichukua. ARSENAL ni midtable team bro.
Miaka Saba unacheza EUROPA hujawai kulichukua???. NYUMBU alikuwa mbovu ila alichukua EUROPA, CHELSEA alikuwa mbovu ila Alichukua EUROPA.
Tukiwaambia Arsenal ni Midtable team msiwe mnanuna.
Na nyie ndo mmeanza rasmi mwaka huu....mzoee tu kucheza Alhamisi usiku maana hamna wa kumtoa pale juu uingie top 4....hamnaNinyi yenu ina hatari 7 years consecative.
Yaani non stop tena hata hiyo EUROPA hamjawahi kuichukua. ARSENAL ni midtable team bro.
Miaka Saba unacheza EUROPA hujawai kulichukua???. NYUMBU alikuwa mbovu ila alichukua EUROPA, CHELSEA alikuwa mbovu ila Alichukua EUROPA.
Yy
Tukiwaambia Arsenal ni Midtable team msiwe mnanuna.
Naona umehamishia makao mkuuJorginho huyu mpiga miback pass
Anakwambia subiri ligi ianze utawaona....wanamfukuzia Tchouameni wampate😀😀😀Haya nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani
Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu
Wewe hata ungetaja maDM gani ,Haya nitajie Sasa DM katika timu yako ni Nani
Arsenal tuna Partey ,Rice , Jorginho Kama 3rd choice na anaubonda vzr tu
YahNaona umehamishia makao mkuu
Kwa hio hii ndio bahati mbaya yenyewe unayoizungumzia ya Arsenyo kufungwa na mliMancity?Nimechukua FA 2019 nimempiga huyo bwana wenu City ,
Nyie subirieni Ligi ianze mumshabikie ,maana sioni manjesta akienda mbali kwa sajili hizi za mchongo za kina mount ,hojuland mliyetapeliwa
Huyu anadhan timu yao hatuijui ,Hlafu ni wepesi kutupa taulo mapema...Klopp kaanza kuongea na Jude mwaka mmoja nyuma anabembeleza dogo ikaonekana kakubaki...mwshoni wanakuja watu wanajibebea kilaini tu....sasahv wanaanza kujidanganya kwa Tchouameni na Mbappe....yaani kuna vitu ukivisikia unabaki kucheka tu
Karibu mkuu😅😅😅Kwa hio hii ndio bahati mbaya yenyewe unayoizungumzia ya Arsenyo kufungwa na mliMancity? View attachment 2709854