Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Luxury DM jorginho???
Na timu lilivyo la kipuuzi kila mwaka linapewa matapishi ya CHELSEA.

Hii timu ndio maana hata ufalme wa London imenyang'anywa na RENT BOYS wa Darajani , Sababu ya vichwa bata kama nyie.
Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Taja

Mimi kwangu Jorginho ni 3rd choice

Sasa wewe taja DM wako anayemzidi 3rd choice kwetu
 
Arsenal hakuumia Saliba pekee ,

Msimu huu tuna luxury na bado tupo sokon

Kesho tunaongeza GK no.2 kwa £40m

Livakuku anashindwa kusajili Lavia kwa £50m

Mabeki wote wazee
Nani mwingine aliumia?? Usiniambie Jesus maana still mliendelea kuscore ila mlikuwa mnaruhusu zaidi.

Sasa vuta Picha akaumia Saliba na Gabriel(kichwa cha bata).

Huwezi chukua EPL na beki ya GABRIEL(kichwa cha bata) na kiungo ya partey( miguu ya biskuti).
 
Luxury DM jorginho???
Na timu lilivyo la kipuuzi kila mwaka linapewa matapishi ya CHELSEA.

Hii timu ndio maana hata ufalme wa London imenyang'anywa na RENT BOYS wa Darajani , Sababu ya vichwa bata kama nyie.
Nina Rice ,Partey , Jorginho

Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Tukisema mnaenda kugombea kushiriki Europa mnakasirika ,
 
Arsenal hakuumia Saliba pekee ,

Msimu huu tuna luxury na bado tupo sokon

Kesho tunaongeza GK no.2 kwa £40m

Livakuku anashindwa kusajili Lavia kwa £50m

Mabeki wote wazee
Luxury ya akina Nketiah na Lokonga??
 
Sasa kama Jesus aliumia na timu ikaendelea kufunga itakuwa hvyohvyo msimu huu....Saliba amekuja Timber na Ben White atecheza eneo lake pia....mbele viungo ndo wapo wa kutosha....Partey akikaa nje...Rice anacheza...Jorginho anacheza
 
Nikisema unaropoka unakataa ,Kafatilie waliumia mabeki wangapi ,

Nitajie DM wako ambaye anaweza kuanza kikos Cha Arsenal ,

Hata huyo Salah anayewapa kiburi sitashangaa msimu ujao akipoteana Zaid , maana tulishamuona last season, huu ndio muda mumuuze saudia



Squad yangu hii hapa

Leta yako tuone

 
Sasa kama Jesus aliumia na timu ikaendelea kufunga itakuwa hvyohvyo msimu huu....Saliba amekuja Timber na Ben White atecheza eneo lake pia....mbele viungo ndo wapo wa kutosha....Partey akikaa nje...Rice anacheza...Jorginho anacheza
Martineli aliumia Trossard anacheza....Saka upande wake ndo bdo kuna simntofahamu...Odegaard...kuna Kai kuna Rice bdo anaweza cheza kuna ESR bdo ...Sasa tutajie ww kikosi chako akiumia nani ana kava nafasi
 
Taja DM wako wacha manenomaneno...
Utawaona msimu ukianza punguza wenge .
Kai mtoto mdebwedo
Gabriel(Duck head)
White(kichwa cha mwenda wazimu)

Jiandaeni kukimbia jukwaa
 
Huyo huyo


Haya Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Taja

Mimi kwangu Jorginho ni 3rd choice

Sasa wewe taja DM wako anayemzidi 3rd choice kwetu
Ataje hapa mbadala wa VVD ni nani ..mbadala wa Konate ni nani.... Robertson ni nani...TAA ni nani...Salah akiumia mbadala ni nani....Luis Diaz akiumia nani anacheza
 
Luxury ya akina Nketiah na Lokonga??
nimekutajia DM wetu

Rice

Partey

Jorginho

Taja wakwako anayemzidi uwezo 3rd choice wetu Jorginho,

Hapo ndio utajua huu ujinga mnaodanganyana mnagombea top 4 ni wakutupiliwa mbali

Hata winger zako Sion yakuingia Arsenal

Hao viungo wenu ni wakawaida
 
Utawaona msimu ukianza punguza wenge .

Kai mtoto mdebwedo
Gabriel(Duck head)
White(kichwa cha mwenda wazimu)

Jiandaeni kukimbia jukwaa
Basi na nyie ndo mtulie Sasa ligi ianze sio kuja kutujazia vi comment vyenu hmu na wakati hata wachezaji wenu hamsemi wanao cover nafasi zao wakiumia
 
Utawaona msimu ukianza punguza wenge .

Kai mtoto mdebwedo
Gabriel(Duck head)
White(kichwa cha mwenda wazimu)

Jiandaeni kukimbia jukwaa
Nitajie DM wako anayemzidi Jorginho

Taja

Mimi kwangu Jorginho ni 3rd choice

Sasa wewe taja DM wako anayemzidi 3rd choice kwetu
 
Ataje hapa mbadala wa VVD ni nani ..mbadala wa Konate ni nani.... Robertson ni nani...TAA ni nani...Salah akiumia mbadala ni nani....Luis Diaz akiumia nani anacheza
Kiburi chote kipo kwa Salah ,halafu hajui Salah ni 30+ ,anamchukulia Kama Saka 21yrs

Muda huu ndio wangemuuza Salah saudia kabla hajawachujia

Ukitoa salah ile timu haina tofauti na Fulham ,

Ila kelele anazopiga humu ,Bora manjesta asee Wana squad inaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…