Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Upo sahihi Pepe sio mbaya hata namba zake zinaongea kingine anasema mwenyewe Pepe , uchezaji wake ni wakaunta tofaut na Arteta anavyotaka timu icheze

Binafsi sijawahi kuamin Pepe ni mbaya ila ni profile tofaut kabisa na Mikel anavyotaka timu icheze


Msimu wa mwisho alikuwa na namba nzuri ila uchezaji wake ulionekana sio Arsenal style

Kina Saka martineli hawa ni wadogo imekuwa rahis kwao kufundishika
FACT!
 
Huyu anataka kulazimisha ionekane Kai alishindwa pale Chelsea...Sasa chukua stats tu za mwaka jana pale Darajani almost Kila kitu Kai alikuwa wa 1 ila hataki kukubali ukweli timu ilifeli yte kwa ujumla na hakukua na namna ya kumbebesha lawama mtu mmoja...kama Kai ni mbovu Pre season tyri ana goli mbili kafunga huo ubovu wanaouongela unatokea wapi...mchezaji ku flop au kung'aa pia inategemea na performance ya timu kiujumla ndo maana huwa tunatolea mifano ya Salah na De Bruyne hapa
Kwa hiyo mchezaji akifunga goli tu kwenu ndio mchezaji mzuri. akili za Arse88 bhana.
Unakazania tumepigwa bila hoja ,sababu kafeli kwenu ,hizi akili matope

Huyu unayesema tumepigwa kila siku nakwambia ndiye BEST PLAYER WENU LAST SEASON

Unakazania tumepigwa ,pre season kacheza mechi 3 , 2 goals Bado unakaza shingo Tumepigwa ,weka hoja tumepigwa wapi na kwanini unahisi tumepigwa ,sio kukomaa tu ,

Eleza technically kwann Kai tumepigwa ,

Mlimuandama sana hii pre season ili afeli ,mechi 3 ,2 goals na Bado hajazoea kabisa uchezaji , Cha ajabu mkaingia mitini

Leo mnasema tumepigwa , sababu za msingi hakuna
Best player chelsea last season nani alikwambia ni huyo kilaza? Ndio unavyoidanganya hii mikondoo? Kwamba chelsea wamewauzia best player wao aisee we masingeli kuna siku tutakuitia police tukuweke ndani kwa kucheza na akili za hawa Makondoo.

Huyo ni kilaza ndio mana akauzwa, Pamoja na kupewa lundo la game tym bado alikua failure. Mkaja kichwa kichwa tukawapga.
 
Niliwahi sema Rice atakua na kazi ya kuadopt na ndiyo kinachotokea hapa.

Huwezi muachia dimba ili usiwe mtupu kwenye kiungo so inabidi acheze na Partey.

Yeye acheze LCM, of coz timu itaperform. Je ilitoka 100M kwaajili ya mtu kuja kukaa LCM? Yule Zubimendi angetua hapo mngefurahi.
Rice anahitaji apigwe msasa wa maana
 
Rice anaandaliwa kumrith Partey

Zubimend yule si holding MD nae , huenda nae angehitaji kuzoea ,hata Partey nadhan ilimchukua karibu miezi 6 ndio akaanza kucheza lone 6, nakumbuka tulianza kucheza lone 6 round ya 2 msimu wa juzi
Zubi angeingia direct bila kusubiri kuadapt
 
At LCM

Declan Rice made 24 passes in the first half against AS Monaco with a 100% success rate.
 
Gabriel Jesus is not in the Arsenal squad to face Monaco tonight

Precaution by Arsenal, not going to risk him in a pre-season game

Understand the injury is not thought to be serious, but may rule him out for a short period of time
Duh mapacha ya mapema sana haya.
 
Back
Top Bottom