Hii inaitwa IMANInketiah nahisi ana kitu ambacho arteta anakiona zaidi kwake..
FACT!Upo sahihi Pepe sio mbaya hata namba zake zinaongea kingine anasema mwenyewe Pepe , uchezaji wake ni wakaunta tofaut na Arteta anavyotaka timu icheze
Binafsi sijawahi kuamin Pepe ni mbaya ila ni profile tofaut kabisa na Mikel anavyotaka timu icheze
Msimu wa mwisho alikuwa na namba nzuri ila uchezaji wake ulionekana sio Arsenal style
Kina Saka martineli hawa ni wadogo imekuwa rahis kwao kufundishika
Kwa hiyo mchezaji akifunga goli tu kwenu ndio mchezaji mzuri. akili za Arse88 bhana.Huyu anataka kulazimisha ionekane Kai alishindwa pale Chelsea...Sasa chukua stats tu za mwaka jana pale Darajani almost Kila kitu Kai alikuwa wa 1 ila hataki kukubali ukweli timu ilifeli yte kwa ujumla na hakukua na namna ya kumbebesha lawama mtu mmoja...kama Kai ni mbovu Pre season tyri ana goli mbili kafunga huo ubovu wanaouongela unatokea wapi...mchezaji ku flop au kung'aa pia inategemea na performance ya timu kiujumla ndo maana huwa tunatolea mifano ya Salah na De Bruyne hapa
Best player chelsea last season nani alikwambia ni huyo kilaza? Ndio unavyoidanganya hii mikondoo? Kwamba chelsea wamewauzia best player wao aisee we masingeli kuna siku tutakuitia police tukuweke ndani kwa kucheza na akili za hawa Makondoo.Unakazania tumepigwa bila hoja ,sababu kafeli kwenu ,hizi akili matope
Huyu unayesema tumepigwa kila siku nakwambia ndiye BEST PLAYER WENU LAST SEASON
Unakazania tumepigwa ,pre season kacheza mechi 3 , 2 goals Bado unakaza shingo Tumepigwa ,weka hoja tumepigwa wapi na kwanini unahisi tumepigwa ,sio kukomaa tu ,
Eleza technically kwann Kai tumepigwa ,
Mlimuandama sana hii pre season ili afeli ,mechi 3 ,2 goals na Bado hajazoea kabisa uchezaji , Cha ajabu mkaingia mitini
Leo mnasema tumepigwa , sababu za msingi hakuna
Rice anahitaji apigwe msasa wa maanaNiliwahi sema Rice atakua na kazi ya kuadopt na ndiyo kinachotokea hapa.
Huwezi muachia dimba ili usiwe mtupu kwenye kiungo so inabidi acheze na Partey.
Yeye acheze LCM, of coz timu itaperform. Je ilitoka 100M kwaajili ya mtu kuja kukaa LCM? Yule Zubimendi angetua hapo mngefurahi.
Zubi angeingia direct bila kusubiri kuadaptRice anaandaliwa kumrith Partey
Zubimend yule si holding MD nae , huenda nae angehitaji kuzoea ,hata Partey nadhan ilimchukua karibu miezi 6 ndio akaanza kucheza lone 6, nakumbuka tulianza kucheza lone 6 round ya 2 msimu wa juzi
ni kweli.. mi naona mara kumi ata bora asimame trossard kwa wachezaji waliopo.Hii inaitwa IMANI
KwaniniZubi angeingia direct bila kusubiri kuadapt
Hata Partey alipigwa msasa ,au tumesahau sababu tunamuona anacheza hiviRice anahitaji apigwe msasa wa maana
Dogo kacheza vzr leonketiah nahisi ana kitu ambacho arteta anakiona zaidi kwake..
Duh mapacha ya mapema sana haya.Gabriel Jesus is not in the Arsenal squad to face Monaco tonight
Precaution by Arsenal, not going to risk him in a pre-season game
Understand the injury is not thought to be serious, but may rule him out for a short period of time![]()
Link up yake na Martinelli ilikua poa, ngoja tuone Arteta ataweka vipi kikosi chakeHata Partey alipigwa msasa ,au tumesahau sababu tunamuona anacheza hivi
Umemuonaje leo LCM?
Wameivana Sana na MartinelliLink up yake na Martinelli ilikua poa, ngoja tuone Arteta ataweka vipi kikosi chake
Leo kacheza RW , hawez kucheza Kama Saka au NelsonFabio Vieira atatuchelewesha kufika nchi ya ahadi
Kai ni swala la muda tuKai to be me is best signing