RW ni £40m tu haitazidi hapo ,Arsenal wameamua kuspend ,wigo wa kuspend ni mkubwa ,Kwa hyo fee Sasa wakifanikiwa kumchukua naanza kuona RW back up ya Bukayo Saka itakuwa ngumu kupatikana maana sidhani kama kutakuwa kuna spend ya almost
Kama tunasajili RW na GK tu itakaribia ,£milioni 300 in one transfer window ni ngumu kutokea
Come May tutakuja kuulizana hapa...Chelsea na Hawa Tottenham ni mechi nyepesi kwa arsenal kuliko dhidi ya Brentford....Newcastle top 4 mloingia ni uzembe wa Tottenham na Liverpool...ninyi bdo Sanaa...mko karai moja na kina Chelsea na Aston villa huko....narudia tena na tena....mlichokipata mwaka jana hakitakuja kutokea tena karibuni...msahauSpurs na Chelsea hizo derby ni upepo tu wa mwaka jana umekufanya uchukue points 6 kwao misimu mingine yote ulikuwa unaacha points na ndo maana nakuambia last season ulikuwa upepo wenu ni vile tu mli bottle the title as usual.
Villa na Newcastle both games mmeshinda kwa upepo tu last season, A. Villa ni anapigania top 4 this season amini usiamini na nina uhakika hamchukui point zaidi ya 3 kwake .
Eddie Howe unamchukuliaje? Ni vile tu amekuwa coach kwenye timu ambazo hazina back up ya maana, kuna kipindi alikua anahusishwa kama mrithi wa wenger pale kwenu . Now ana back up kutoka kwa waarabu tena ya kutosha amechukua timu kwa bruce ikiwa nafasi ya 17 now ipo top 4 ndani ya full season yake ya kwanza tu, makocha wangapi wamejaribu lakini wameshindwa tena wamechukua team zipo top 7 na bado wakachoma. Kama unafikiri Newcastle pale top 4 amekuja kuzurura subiri ligi keshokutwa hapo .
Hapo kwenye port 2 nadhani tunakubaliana any team last 10 games, inawezakana hata luton, Sheffield na yoyote ile.
Labda options za kina Olise au Eze ila yule Kudus lazima Ajax watataka hela zaidi...ngoja tuoneKama tunasajili RW na GK tu itakaribia ,
Come May tutakuja kuulizana hapa...Chelsea na Hawa Tottenham ni mechi nyepesi kwa arsenal kuliko dhidi ya Brentford....Newcastle top 4 mloingia ni uzembe wa Tottenham na Liverpool...ninyi bdo Sanaa...mko karai moja na kina Chelsea na Aston villa huko....narudia tena na tena....mlichokipata mwaka jana hakitakuja kutokea tena karibuni...msahau
Sasa kaka kwenye kapu la big games ambazo ni game kweli kweli
Port 1 kuna Man city,Arsenal,Liver na Newcastle,,
Port 2 kuna Aston villa, Nyumbu, Brighton,.tott ,
Hao wengine ndo kuna Chelsea Timu inasajili kila siku toka dirisha dogo wanasajili tu na kwenye wachezaji 20 ni mchezaji mmja tu kaonyesha anakitu na usajili wao ni avarage kabisa aiseee.
Mganga njaa,,et shabiki la newcastle.Nahifadhi hii kitu then nitakua nakukumbusha game after game. Game 19 mtakuwa mshapoteza game hazipungui 3 game ya 4, 8 mnapoteza
Kama unazungumzia game za Man U na Newcastle maana sijaangalia fixtures za msimu ujao...still bdo sina wasiwasi...tupoteze tusipoteze ila narudia palepale msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi...mazoea ya kwmba eti ilikuwa fluke msahaumsahauNahifadhi hii kitu then nitakua nakukumbusha game after game. Game 19 mtakuwa mshapoteza game hazipungui 3 game ya 4, 8 mnapoteza
Ila eti Newcastle kuwa big match au sijui title contenders msahau hata kuwa top 4 contenders msahau...bdo mna safari ndefu kimabadiliko sana...come May mtayakumbuka haya manenoKama unazungumzia game za Man U na Newcastle maana sijaangalia fixtures za msimu ujao...still bdo sina wasiwasi...tupoteze tusipoteze ila narudia palepale msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi...mazoea ya kwmba eti ilikuwa fluke msahaumsahau
Kwahiyo united wanavyosema waliua na msimu bora kuliko liva, chelsea au Arsenal ni wanajifurahisha?Hilo kwangu ni kama sio kombe mkuu , sioni umuhimu wake bora hata FA cup winner hata kama haupo top 6 unaenda Europa. Na carabao lilivyokaa huwa naona kabisa halina mzuka as fan kulifurahia
It can also mean Arsenal had a better defense.
Upo sahihi hata hii pre season wanaunyaunya tuCome May tutakuja kuulizana hapa...Chelsea na Hawa Tottenham ni mechi nyepesi kwa arsenal kuliko dhidi ya Brentford....Newcastle top 4 mloingia ni uzembe wa Tottenham na Liverpool...ninyi bdo Sanaa...mko karai moja na kina Chelsea na Aston villa huko....narudia tena na tena....mlichokipata mwaka jana hakitakuja kutokea tena karibuni...msahau
Hawa Brentford nadhani wanatakiwa waturahisishie tumpate huyu maana Hawa si community project yetu Hawa? Kila season tunacheza nao preseason friendly Kwa miaka kibao Ili wapate mapato na kuwapa matactics.Arsenal will bid soon for Raya
(@FabrizioRomano )
Sio mkongwe saaana umu ndani ila toka nijiunge umu sijawahi kukimbia kisa matokeo, kwan kuna timu isiyopoteza duniani?Mashabiki wa Arsenal wanao onekana kipindi cha mapumziko tu ila mechi zikianza wanapotea mazima. Wewe ndiyo wa kuibeza Chelsea ok sawa tupo hapa usije kimbia kama msimu ulioisha
Pepe...Cedric... Tavares...yaani Hawa inakera mpk sasahv wapo sijui wanafanya nnSheffield United and Arsenal have agreed a £5m deal for Auston Trusty. Personal terms are still to be agreed but shouldn’t be a problem.
[@DarrenSmithTWIF]
Tavares si mbaya sana na ni kinda.Pepe...Cedric... Tavares...yaani Hawa inakera mpk sasahv wapo sijui wanafanya nn
Hana nafasi kwny kikosi....too error prone...premier league is too big for him...unless atolewe mkopo kwny timu ya EPL hapohapo apate nafasi ya kucheza atu prove wrong...Ligi ya ufaransa intensity yake ipo chini sana compared na ligi zote kubwa za UlayaTavares si mbaya sana na ni kinda.
Kuwa patient hao wanaondoka ,Pepe...Cedric... Tavares...yaani Hawa inakera mpk sasahv wapo sijui wanafanya nn