hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,302
- 26,698
CF ambao ukigusa Bei lazima ulie
Olie watikns
Astonvilla ameanza jipambanua Kama kambale , ananunua mchezaji had wa €60m ,anamnunua CB Kama Pau Torres,
Unapoenda kumtaka Watkins jiandae kwa €100m+ ,nakumbuka Arteta alimtaka Sana watikns kipind anafika Arsenal, aligomewa Sana lakin hakukaza kipind kile
Ivan Toney
Amefungiwa lakini ndio muda sahihi huu wakumnunua kwa Bei nzuri na kusubiri kifungo chake kiishe , but hatujui atakuwa kwenye kiwango gani, mpaka January timu zitapigana vikumbo kumnunua , kocha wa Brentford alisema mwez wa 4 kabla Toney hajafingiwa kuwa Bei yake ni £100m.
Olie watikns Astonvilla ameanza jipambanua Kama kambale , ananunua mchezaji had wa €60m ,anamnunua CB Kama Pau Torres,
Unapoenda kumtaka Watkins jiandae kwa €100m+ ,nakumbuka Arteta alimtaka Sana watikns kipind anafika Arsenal, aligomewa Sana lakin hakukaza kipind kile
Ivan Toney Amefungiwa lakini ndio muda sahihi huu wakumnunua kwa Bei nzuri na kusubiri kifungo chake kiishe , but hatujui atakuwa kwenye kiwango gani, mpaka January timu zitapigana vikumbo kumnunua , kocha wa Brentford alisema mwez wa 4 kabla Toney hajafingiwa kuwa Bei yake ni £100m.



to Roma
[ @Gazzetta_it ]