Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mchezaji mpya wa Arsenal Kai Havertz anasema anafurahia nafasi yake mpya kama kiungo wa kati wa upande wa kushoto.(LCM)

Havertz:

“Ninapata mpira zaidi, ninahusika zaidi kwenye mchezo. Nadhani nina nafasi nyingi ya kuboresha - bado ninajirekebisha. [Lakini] hadi sasa ninafanya kazi vizuri.”
20230726_145508.jpg
 
Cedric
Nketiah

Fabio, marqunhos waende mkopo
Fabio hawawez mtoa mkopo , bench la ufundi linaamin alikosa game time na sababu ya injury ila ni potential nzuri ,

Cedric
Pepe
Balogun
Trusty
Holding

Hawa uhakika hatupo nao msimu ujao

Marquinho loan
Nketiah 50/50 inategemea na ofa ikija
 
Fabio hawawez mtoa mkopo , bench la ufundi linaamin alikosa game time na sababu ya injury ila ni potential nzuri ,

Cedric
Pepe
Balogun
Trusty
Holding

Hawa uhakika hatupo nao msimu ujao

Marquinho loan
Nketiah 50/50 inategemea na ofa ikija
Trusty hajapewa nafasi
 
| Kai Havertz: “I think everyone has to earn their position in the team. You play when you train well and play well in the games.

“I think I have to also give everything in every session, in every game. That is how I get into the team. Not only me but every player.

“Always in a big club like this there is competition. I am going to give 100% to play.” [@ESPNUK] #afc
 
Two goals in three games in the US for Kai Havertz, and both of them at the back post. Part-midfielder, part-forward: his role at #AFC is already becoming clear.

‌“I really enjoy this position. I am more on the ball, I am more integrated in the game.”
 
MANENO YA KAI NI KANA KWAMBA ALIKUWA KIFUNGONI


️ Kai Havertz:

“‌The team is amazing and it definitely feels like home already. They have made it very easy for me to integrate. This is exactly what I wanted. I am very happy to be here.”

@SamJDean
20230728_141650.jpg
 
#Arsenal don’t have another profile like Emile Smith Rowe.

Players like him don’t come along often, and if he can stay fit this season, he could force his way into making a huge impact.


He finally looks fit and ready, and we know the talent is there.
20230728_132258.jpg
 
Arsenal wanajiandaa kuzindua sanamu ya Arsene Wenger nje ya Uwanja wa Emirates.

Itazinduliwa Alhamisi, Agosti 3.


Wenger amepangwa kuhudhuria sherehe hiyo, ambayo itafanyika na familia, marafiki wa karibu na wachezaji wa Invincibles .
20230728_144955.jpg
 
Usibadilishe narrative.

Niliquote statement hii

"Hatutoi pesa nyingi kwa mchezaji ambaye ameonyesha mafanikio msimu mmoja"

Wewe unahamisha magoli
Mbona nyie mnenunua flop Havertz kw 65, sasa yupi bora? Aliyenunua mchezaji aliyeperfom kwnye timu aliyetoka au aliyenunua flop kwnye timu aliyetoka?
 
Mbona nyie mnenunua flop Havertz kw 65, sasa yupi bora? Aliyenunua mchezaji aliyeperfom kwnye timu aliyetoka au aliyenunua flop kwnye timu aliyetoka?
Kai kashaanza kutupia Arsenal na atatupia zaidi

Mudrky si kweli alikuwa Bora Shaktah donesk , alikuwa ni potential ambaye tukimuhitaji aje apikwe ,sawa sawa na tulivyomnunua Øde au Sasa hivi tulivyomnunua Kai ,tunaamini katika Talent wise , then anapikwa


Sasa nyie kurupukurupu mka hijack deal matokeo yake amekuwa flop , Sterling flop, Cucubela mka hijack deal nae kawa Kama Yahya mbegu ,
 
Arsenal Want £50m atleast

Arsenal are said to have rejected a bid from Inter Milan for Folarin Balogun. Report from @FcInterNewsit claims the offer was worth £35m (bonuses included).

#AFC holding out for £50m.
IMG_20230717_143852_068.jpg
 
@mkohoti ameniangusha Sana
Yan kabisa atusumbue akili huyo mudryk

Tulimtaka Martinez bucha wa unyumbuni aje Kama backup kwa saliba na gab
Nyumbu wakatuzidi kete, tukaja kumsajiri zinchenko instantly
Je Martinez anatunyima usingizi?

Case ya mudryk ndio Kama hiyo juu, yani tunaekuja kupata ni hatari zaidi ya hiyo backup tonayoikosa


Sasa kwa arsenal hii mudryk anamuweka Nani bench? Saka? Martinel?
Sasa mchezaji wa kutokea sub unanunua 100 wewe una akili timamu kweli?
Mlisema hivyo hivyo kwa Havertz na Jog wakat wapo chelsea kua hakuna mchazaji pale chelsea w kuingia Arsenal kikos ch kwanza, lakin sahv wale tulowaona hawafai nyie ndio wachezaji muhimu.
 
Mlisema hivyo hivyo kwa Havertz na Jog wakat wapo chelsea kua hakuna mchazaji pale chelsea w kuingia Arsenal kikos ch kwanza, lakin sahv wale tulowaona hawafai nyie ndio wachezaji muhimu.
Unawalisha watu maneno hakuna aliyesema hivo ,

Kuna wachezaji wengi walikuwa wanaingia kikos Cha Arsenal ile ,sio hii,

Usilishe watu maneno , Ubora wa Jorginho unajulikana ,Talent wise ya Kai inajukikana ,

Thiago Silva ,James , hata Sasa Enzo ana quality , Chillwell , hao wanacheza timu yoyote ya top 6

Ila Wachezaji wabovu Kama Cinderella,Sterling, mudiriki, madueke, n.k hata sub hawaingii
 
Naomba hili dili likamilike

£34m(€40m) for Nketiah
£45m(€50m) for balogun

€90m- €100m , unampata CF gani sokoni wa maana?



|| Crystal Palace are reportedly planning a £34m bid for Eddie Nketiah


[Via - @Football_LDN].
 
Naomba hili dili likamilike

£34m(€40m) for Nketiah
£45m(€50m) for balogun

€90m- €100m , unampata CF gani sokoni wa maana?



|| Crystal Palace are reportedly planning a £34m bid for Eddie Nketiah


[Via - @Football_LDN].
Zikikamilika hapo tushushe striker la maana pale mbele pawe mchakamchaka
 
Zikikamilika hapo tushushe striker la maana pale mbele pawe mchakamchaka
Ndio najiuliza CF gani wamaana yupo sokon

Victor osimhen? Huyu bila €120m+ humpati na nilisikia anakaribia kusaini mkataba mpya

Kane ? Arsenal na Spurs ni chui na paka hawez kuuziana mchezaji na Dany Levy alisema timu ya EPL ikimtaka Kane wajiandae €150m, Leo alikuwa na kikao na Bayern anawauzia kwa €100m na kipengere Cha buy back

Sioni tena profile ya kueleweka sokoni

Sishangai Manjesta na Psg wanagombea CF wa Atalanta Hojlund mwenye goli 9 tu na anauzwa €70m
 
Ndio najiuliza CF gani wamaana yupo sokon

Victor osimhen? Huyu bila €120m+ humpati na nilisikia anakaribia kusaini mkataba mpya

Kane ? Arsenal na Spurs ni chui na paka hawez kuuziana mchezaji na Dany Levy alisema timu ya EPL ikimtaka Kane wajiandae €150m, Leo alikuwa na kikao na Bayern anawauzia kwa €100m na kipengere Cha buy back

Sioni tena profile ya kueleweka sokoni

Sishangai Manjesta na Psg wanagombea CF wa Atalanta Hojlund mwenye goli 9 tu na anauzwa €70m
Duuh kweli yaan sokon dunia nzima Kuna striker wa maana wawili labda twende huko brazili
 
Back
Top Bottom