Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

“Gabi didn’t score but it was the best Gabi I’ve seen for months. The energy, belief - He was creating a lot of chaos and good moments. He was making everyone better.”

Mikel Arteta on Gabriel Jesus against Barcelona. View attachment 2700546
Gabi ni mnyama, kwangu huyu ni bora kuwa nae, nashangaa watu wanapiga kelele osimhen😂
 
Brighton wamewakazia Chelsea wanataka £100m , Hawa jamaa wagumu Sana kufanya nao biashara

No real breakthrough or development on Moises Caicedo for Chelsea; to my understanding, Chelsea have had THREE bids turned down by Brighton worth £60, £65, and then £70 million.

Chelsea are knocking, but Brighton won't open the door.

#CFC

(@David_Ornstein via @FIVEUK)
 
Brighton wamewakazia Chelsea wanataka £100m , Hawa jamaa wagumu Sana kufanya nao biashara

No real breakthrough or development on Moises Caicedo for Chelsea; to my understanding, Chelsea have had THREE bids turned down by Brighton worth £60, £65, and then £70 million.

Chelsea are knocking, but Brighton won't open the door.

#CFC

(@David_Ornstein via @FIVEUK)
Mwsho wa siku watafika bei tu...kama wanamtaka kweli watoboke tu...kwni hasara ngapi huko nyuma wamekula mpk hapa wajivutevute sana
 
Mwsho wa siku watafika bei tu...kama wanamtaka kweli watoboke tu...kwni hasara ngapi huko nyuma wamekula mpk hapa wajivutevute sana
Hiyo hela ni nyingi sana kwa Caicedo mchezaji aliyeonekana msimu 1 tu huwezi kulipa hiyo hela
 
Hiyo hela ni nyingi sana kwa Caicedo mchezaji aliyeonekana msimu 1 tu huwezi kulipa hiyo hela
Waangalie alternative nyngne Sasa...third bid mnakataliwa...kwnn msikae chini mkaongea nao na nyie mseme msimamo wenu wa mwsho kabla ya kupeleka Bid...maana hyo inakuwa biashara kichaa Sasa...timu zinazojifanya kukaza sana wkti mwingine mnawaachia mchezaji wao mnaenda kwngine maana naamini wapo wengine wazuri kuliko Caicedo
 
Waangalie alternative nyngne Sasa...third bid mnakataliwa...kwnn msikae chini mkaongea nao na nyie mseme msimamo wenu wa mwsho kabla ya kupeleka Bid...maana hyo inakuwa biashara kichaa Sasa...timu zinazojifanya kukaza sana wkti mwingine mnawaachia mchezaji wao mnaenda kwngine maana naamini wapo wengine wazuri kuliko Caicedo
Hapo ni kutafuta option nyingine ya kiungo maana Brighton hawataki mazungumzo chini ya £100m tofauti na hapo wanataka hilo dili awepo Levi Colwill na hela juu
 
Chelsea can't seal the Caicedo deal for months
City have yet to seal Gvardiol for months
United still can't seal Højlund for months

But it's Arsenal who get criticised over Rice. Absolutely pathetic
 
Chelsea can't seal the Caicedo deal for months
City have yet to seal Gvardiol for months
United still can't seal Højlund for months

But it's Arsenal who get criticised over Rice. Absolutely pathetic
Na UTD nasikia PSG wamepeleka ofa ya kwanza leo kumtaka hyo hojlund...wasipokazana atabebwa hlfu wamrudishe tena Werghost mzee wa mikimbio mizuri
 
HUu mzimu, unawatesa. Hamtokaa mkamsahau
Ana impact gan kwenye timu yenu?

Tulimkosa mudryk tunae trossad, ukiambiwa Kati ya hao wawili chagua mmoja unamchagua nani?
Achana na stats zao

Tulimtakq mudryk aje kuwa Kama backup ya saka/martinel
Tumempata trossad ambae ni first eleven material

Haya tuambie tusimsahau kwa lipi alilo nalo?
 
Ana impact gan kwenye timu yenu?

Tulimkosa mudryk tunae trossad, ukiambiwa Kati ya hao wawili chagua mmoja unamchagua nani?
Achana na stats zao

Tulimtakq mudryk aje kuwa Kama backup ya saka/martinel
Tumempata trossad ambae ni first eleven material

Haya tuambie tusimsahau kwa lipi alilo nalo?
Kama ni hivyo mbona mnateseka? Demu akikutosa una move on, sio kuanza kuponda sijui demu gani hana makalio kwanza mbaya, unaanza kutamba una demu mkali kuliko yeye. ya nn yote hayo? kama sio maumivu y kutoswa

Ni kuulize mudryk unahis chelsea wamepgwa?
 
Kama ni hivyo mbona mnateseka? Demu akikutosa una move on, sio kuanza kuponda sijui demu gani hana makalio kwanza mbaya, unaanza kutamba una demu mkali kuliko yeye. ya nn yote hayo? kama sio maumivu y kutoswa

Ni kuulize mudryk unahis chelsea wamepgwa?
Sio nahisi mkuu, pale MMEPIGWA

one season wonder, mbaya zaidi farmer ligi ya huko mabondeni unatoa 100, una akili timamu?

Sasa Kati ya mudryk na caicedo Nani anastahili price ya 100?
Mbona Hadi Leo bado mna-bargain?

Mydryk ni updated version ya Anthony masebene, one style type of player
 
Kama ni hivyo mbona mnateseka? Demu akikutosa una move on, sio kuanza kuponda sijui demu gani hana makalio kwanza mbaya, unaanza kutamba una demu mkali kuliko yeye. ya nn yote hayo? kama sio maumivu y kutoswa

Ni kuulize mudryk unahis chelsea wamepgwa?
Mudrky Hana tofauti kubwa na Anthony masebene,labda mbio tu ndio anachomzidi

Msimu huu asipovuka goli 5 ,mwakan tunamchukua kwa £20m tuje tumtengeneze
 
Ana impact gan kwenye timu yenu?

Tulimkosa mudryk tunae trossad, ukiambiwa Kati ya hao wawili chagua mmoja unamchagua nani?
Achana na stats zao

Tulimtakq mudryk aje kuwa Kama backup ya saka/martinel
Tumempata trossad ambae ni first eleven material

Haya tuambie tusimsahau kwa lipi alilo nalo?
Eti tunamkumbuka

Mtu ana goli moja la pre season
 
Kuna muda unawaza hivi ingekuwaje huu moto wa SALIBA angecheza na laurent koscienly.nadhani ingekuwa hatari sana.baba ubaya shughuli ya kazi chafu alikuwa anaiweza sana
 
Back
Top Bottom