Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Angalia vzr ni €700m ,ndio nilikadiria Kama 1.5 Trillion
Ndomana nikauliza namie, aliekwambia $1.5B ni sawa na Trillion 1.5 ni Nani?

Umesema ni sawa na utajiiri wa Mo, sasa Mo ana utajiri wa $1.5 billion, kwahiyo kwa hesabu zako hizo hela ni sawa na 1.5 Trillion?
 
Kayanak mwandishi wa Jarida la Football London, amekuwa akimuuliza maswali Arteta kwenye press yale ambayo mashabiki wamekuwa wakihoji

Moja ya swali alilomuuliza leo ni hili la kushindana magoli na city kuwa tunahitaji CF


Je, kugawana mabao kunaweza kutosha kushindana na City?


Arteta anajibu

Sijui. Tunahitaji kufunga mabao mengi iwezekanavyo na ikiwa tuna mtu ambaye amefunga mabao 25, 30, 40 bora. Gabi Jesus leo hakufunga lakini ni Gabi bora ambaye nimemwona kwa miezi. Kusambaza nguvu eneo kubwa uwanjani, . Alikuwa akitengeneza hatari nying nzuri na kuwafanya wengine kuwa bora.

Nimefurahishwa sana na hilo na mchango wa Kai. Ana ubora huo na ndiyo maana anacheza nafasi hiyo akiwa na Leo (Trossard). Tuna chaguzi nyingi mbele na watalazimika kushindana kati yao ili kunipa wakati mgumu
 
Ndomana nikauliza namie, aliekwambia $1.5B ni sawa na Trillion 1.5 ni Nani?

Umesema ni sawa na utajiiri wa Mo, sasa Mo ana utajiri wa $1.5 billion, kwahiyo kwa hesabu zako hizo hela ni sawa na 1.5 Trillion?
Kwenye makaratasi huwa wanasema hivo kuwa ana utajiri huo na kamzidi bakhesa ,but kwa makadirio nilimuweka sawa na huo maana huo wa Mo sio cash, mbappe angekubali hiyo 1.5T angeipata cash bila kujumuisha assets zozote
 
Zinny kapona sema naona hawataki kumuwaisha,sababu Kuna wengi wanachafua position yake ,like leo kacheza Timber , ataanza kucheza ,
Inamaana kocha anatudanganya ama...maana hzi statement za little muscular issue sijui mara nn zimekuwa nyng sana...tunamuhitaji hyu muhuni uwanjani mapema sana...pale Arsenal hyu ndo mchezaji anayeongoza kuwa na miakili mingi uwanjani....hahahaha
 
Yaani hamis77 jinsi unavyomkubali Kai Harvez hua najikuta nacheka tu, kama mimi ninavyomkubali Antony Masebene.
Masingeli hio Avatar ya Kai naomba usiitoe mpaka msimu uishe.
Kai nilitaman Sana aje ARSENAL kipind yupo Bayer Leverkusen , shida ikaja wakata €100m , Arsenal tukashindwa Bei na alikuwa ndie awe mrith wa Ozil

Wanaomponda Kai wanamchukulia kuanzia Chelsea sababu anaoneka haja perform inavyotakiwa
 
Kai nilitaman Sana aje ARSENAL kipind yupo Bayer Leverkusen , shida ikaja wakata €100m , Arsenal tukashindwa Bei na alikuwa ndie awe mrith wa Ozil

Wanaomponda Kai wanamchukulia kuanzia Chelsea sababu anaoneka haja perform inavyotakiwa
ndio maana nikasema kwa Kai hauna tofauti yoyote na mimi kwa Masebene.
Binafsi mpaka leo hii bado namkubali kinyama Masebe yaani huniambii kitu hata akivurunda, Wakati tunamtoa Ajax mimi niliwahakikishia watu kua Masebene ndio mrithi halali wa Ronaldo, hicho ndio nakiona pia kwako kwa huyo Chai Kiazi.
 
ndio maana nikasema kwa Kai hauna tofauti yoyote na mimi kwa Masebene.
Binafsi mpaka leo hii mimi bado namkubali kinyama Masebe yaani huniambii kitu hata akivurunda, Wakati tunamtoa Ajax mimi niliwakikishia watu kua Masebene ndio mrithi halali wa Ronaldo, hicho ndio nakiona pia kwako kwa huyo Chai Kiazi.
 
Kai nilitaman Sana aje ARSENAL kipind yupo Bayer Leverkusen , shida ikaja wakata €100m , Arsenal tukashindwa Bei na alikuwa ndie awe mrith wa Ozil

Wanaomponda Kai wanamchukulia kuanzia Chelsea sababu anaoneka haja perform inavyotakiwa
Mimi mwenyewe nataka nione Kai wa liverkusen akifeli
Kati wa kutokea ukengeni fc Mimi simtambui
 
Kai Havertz -

"When i spoke to him (Arteta) the first time, i felt the support straight away. I think this is very important to me as a player. He gives trust to me and hopefully i can give it back"

(@SkySportsPL )

skysports.com/watch/video/sp…
 
Back
Top Bottom