Bei gan? na mkoa gan?Anayetaka jezi Kama hii anione DM tufanye biasharaView attachment 2698578View attachment 2698579View attachment 2698580View attachment 2698582
Ule mkataba aliosaini niliona kabisa anaenda kujipiga pini mwenyewe.Wachezaji wenye rangi nyeus tuna shida Sana
Aliandika had barua na kulalamika kwenye media kuhusu maisha Yao ,akaomba aachiwe aje ARSENAL, akabaniwa , means dirisha hili wangemuuza kwa Bei ya kawaida angesepa ,akasaini miaka mitano kwa watu waliokubania usiondoke
Mwenzie Mac Allister alisain akaweka release clause ya £35-50m nadhani ,
Kwenye hili swala nimegundua mchezaji ndio hajielewi
Barca tumchape ata goals mbili Kama salamu za kuanza ligiZinchenko moja ya wachezaji mafundi niliowaona
Arsenal ili iflow vizuri ,mashambulizi mengi angle zote ,Basi lazima kuwe na vyanzo viwili ,
Thomas Partey na Zinchenko
Ndani ya dakika 5 watapiga pass za mbele 20 , kwanini wale watoto kule mbele wasikudhuru ?
Kayle Walker aliwahi ulizwa ni mchezaji gani technical akasema wapo wengi lakini Zinny ni habari nyingine
Zinny ndiye ana unlock our midfield kwa kupata mipira mingi ,
Weakness yake ya defense ni ndogo ukilinganisha na faida zake nyingi ,
Lineup itakapokuwa na Partey x Zinny , LCM akicheza Rice au Kai , tutaona ile sex football, mwalimu bado anatafuta balance ya Rice Kai na Øde ,na ndio midfield ya Ndoto yake .
Kama Arteta ningetaman aichezeshe Tena vs Barcelona walau dk 45 tu wazidi kuzoeana ,
Kwasasa First eleven ya kuingia nayo EPL ni hii View attachment 2698548
Mikono mirefu ambazo hazina Kora zipo?Anayetaka jezi Kama hii anione DM tufanye biasharaView attachment 2698578View attachment 2698579View attachment 2698580View attachment 2698582
Kwamba kumaliza unbitten Ni rahisi kuliko kupiga points 100 we jamaa famasiala kabisaKitu pekee mnajivunia Arsenal ni golden Epl ambayo mlimaliza na madroo kibao.
Unpopular opinion:Manchester City iliyomaliza na pointi 100 ni kali kuliko Arsenal ya invisible
Hizi adimu Sana ,ngoja had jion nitakupa jibu ,namba yako ninayoMikono mirefu ambazo hazina Kora zipo?
Jpili Kenge anakufa 4
J3 Naingia nayo kazini
Hizi adimu Sana ,ngoja had jion nitakupa jibu ,namba yako ninayo
I wish tujaribu hizi midfield mbili ya kuanzia ligiBarca tumchape ata goals mbili Kama salamu za kuanza ligi
Ikitokea tunarudiana na nyumbu, nitaombea tufungwe Tena.
Sijui unanielewa? jinsi gani tucheze na akili za mjinga ili ajione yupo vizuri
Barca sio wahuni Kama unyumbuni Kule, display ya mpira itakua nzuri na ya kuvutiaI wish tujaribu hizi midfield mbili ya kuanzia ligi
Rice Partey Ødegaard
Ya kuendelea kutafuta wazoeane
Kai rice Øde
Dawa ya nyumbu ipo karibu ,wanakuja Emirates mechi ya 4 tu ,
Yeah, 20+ years plus enough kwa kutembeza FIMBO ulaya
Yah manjesta walisema kabisa mech sio ya kirafikiBarca sio wahuni Kama unyumbuni Kule, display ya mpira itakua nzuri na ya kuvutia
Naiman Kuna kitu tutakiona hasa attacking force yetu na dynamic flows
Ni kipimo kizuri kuangalia technical analysis ukicheza na Barca, Madrid au city
kuliko kwa nyumbuzi, kikundi Cha wahuni walioamua kubutua butua mpira
Nimeona sehemu alipondoka Wenger ,Walitaka wampe timu pale pale Arteta , wakahofia experience , nahisi hata move ya kwenda kwa Pep ni ujasusiYeah, 20+ years plus enough kwa kutembeza FIMBO ulaya