hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,406
- 26,963
Ødegaard alifika alikuwa anasemwa ni legelege na lain Sana ,alikuwa the same to KaiKati ya Martin na Kai mmoja wapo inabidi akubali kuongeza uwezo wa kudefend, so awe anajua kutrack, tackling both sliding na standing na awe na pumzi ya kupanda na kushuka.
Na kila tukiangalia hapo ambaye anaweza yote hayo atakua Martin, Kai sijawahi ona kama ana uwezo huo.
Anyway, mtandaoni kuna troll nimeiona nimnecheka
"Arsenal bought Rice and Timber but it is Man United who is cooking"
Mimi kwasasa ningependa kuona Kai akiingia taratibu kwa kikos ,au pia tukicheza 4-4-2 asimame pale mbele na Jesus ,Kama ilivyokuwaga Henry na bergkamp
Kai acheze Kama Second Striker