Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ødegaard alifika alikuwa anasemwa ni legelege na lain Sana ,alikuwa the same to Kai

Mimi kwasasa ningependa kuona Kai akiingia taratibu kwa kikos ,au pia tukicheza 4-4-2 asimame pale mbele na Jesus ,Kama ilivyokuwaga Henry na bergkamp

Kai acheze Kama Second Striker
 
Kuna mtu anampinga Jesus humu? Atakua haangalii mechi anasubiri aangalie matokeo Fotmob
Jesus amekuwa underrated Sana

Midfield ya Arsenal huwa naamini inakuwa hatari akiwepo Partey na Zinchenko hapo kina Øde,saka , Martinelli wanakuwa Wanapata mipira kila wakati

Kocha Sasa anataka awe ana invert both sides kwa timber na Zinny
 
Arsenal wanafanya mazungumzo na Kudus

Thus why I think Chelsea wamehamia kwa Olise

This window ,Edu is undefeated
 
Wewe unadhani hiyo ni sport extra ya Dauda ? hata hivyo picha hauoni ?

Watu wamechoka False hopes huyo aliyepigwa atakuwa kama wewe sasa wenzake wamechoka kufanywa makondoo akaamua ampe kipondo..
 
Wewe unadhani hiyo ni sport extra ya Dauda ? hata hivyo picha hauoni ?

Watu wamechoka False hopes huyo aliyepigwa atakuwa kama wewe sasa wenzake wamechoka kufanywa makondoo akaamua ampe kipondo..View attachment 2697473
Yaan umekaa unaleta udaku ,

Hii itaisaidia manjesta kutwaa ubingwa ?

Aliyewaita nyumbu hakukosea , ndio maana Graza wanacheza na akili zenu Sasa hivi wata buy time mkidanganyika mna timu Bora
 
Mikel Arteta asks the #Arsenal fans to have patience with our new signings:

"When they play 55 times together, it will be better, it will flow better, they will understand each other better and we will be more dominant. But things take time to glide and we have to respect that."
 
Mnataka muwe mnapigwa nyie wenyewe kila siku? kupigwa kwa zamu mkuu
Sisi hiki kitu atutaki kwa msimu huu ndo maana tunaogopa kusajili kwa pesa kubwa hadi sasa tumesajili wachezaji sio kwa pesa kubwa na tupo kwenye mazungumzo na Brighton kutupunguzia bei ya Caicedo
 
Sisi hiki kitu atutaki kwa msimu huu ndo maana tunaogopa kusajili kwa pesa kubwa hadi sasa tumesajili wachezaji sio kwa pesa kubwa na tupo kwenye mazungumzo na Brighton kutupunguzia bei ya Caicedo
Hamtaki au hamna hela?

Kwahiyo Mudryk mlinunua kwa bei poa eeh...


Nyie hamna transfer policy mkuu
, hamna vision! hata hamjui nafasi gan hamna mchezaji.

Mkisikia tetesi Arsenal inataka kusajili ndo mnaanza kujiuliza , hee mbona huyu mchezaji mzuri afu bei poa? si atatufaa basi mnaingia jumla, hata hamjui mtamtumiaje.

Kocha ana yake, tajiri ana yake, yaani vurumai tu
 
Mkuu ushasahau kwamba Chelsea ndio team iliyoingiza pesa nyingi hadi sasa kuliko team yoyote pale epl kwa kuuza wachezaji wengi tumepata more than 300M paund tumeuza kai,Mount,kovacic,Pulisic,Kante,koulibaly,Ruben Loftus cheek, edourd Mendy na Auba na bado tuna mpango wakuwauza Lukaku,Ziyech,odoi so tutapata tena hela nyingi so kwenye pesa hatuna shida mkuu
 
Hapa kwenye jukwaa letu la Arsenyau ni mwendo wa kusifu na kuabudu tu, Jukwaa linaendeshwa kidikteta hili sijapata kuona, humu hamna uhuru wa kukosoa.
Ukimkosoa Arteta, mchezaji au Masingeli utaonekana ni mamluki au Mhaini, utashambuliwa na kupewa kila aina ya majina mabaya.
Atachosema Masingeli humu ndio alfa na Omega, ukimkosoa unapigwa marufuku hadi kumquote




#Poor Arsenyo
 
Mpaka wewe unauzwa mkuu 🫣🫣
 
Nyumbu hamjawahi kuwa na akili ,tutawapiga spana mpaka muwelewe

Mamluki wote Kaz mnayo ,

Hakuna anayezuiwa kukosoa ,ila wanafiki lazima wale spana , halafu siku hiz spana nimeacha ,

Yaan unawasapot wanafiki unasema wanazuiwa kukosoa ,mtu kasema kahama Arsenal kahamia PSG mwingine Newcastle,

Timu ikishinda huwaoni wakitoa positive , walisema arsenal hautaingia top 6

Tukifungwa ndio wanaonekana

Why wanafiki Kama Hawa wasipingwe


Ngoja nianze kuwa napiga spana ,niliacha ila Sasa nataka kupambana na wanafiki
 
Shida mnayo.

Chukua hela mlizotumia usajili uliopita kisha toa na hizi mlizolipwa msimu huu halafu ona una deni la sh ngapi.

Kisha katika hizi 300 angalia ushatumia sh ngapi simu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…