Arsenal (The Gunners) | Special Thread

timu nzima imecheza ovyo kipindi cha kwanza.. makosa mawili ya ramsdale na GM6 ndio yameipa mabao ya kuongoza man utd.
 
Tunaambiwa Rice ni kiongozi uwanjani. Labda uongozi wa kuongoza vikao vya Zincheko vya kufundisha pressing, kuinvert RB LB, na kuoverload
View attachment 2696560

Hivi vikao tulishavikataaa
yaani vikao haviishi hasa sijuiii huwa zincheko anawaambia nini embu fikiri game na Brighton zile 3 vikao vilikua jumla 4, kabla ya gemu na hivyo vya magoli 3
 
Kushtukiza wapi bhn. Sijui matokeo ya mwisho yatakuwaje ila first half man u wamecontrol mechi.
Give credit where it is due. Shida yako ni kwamba hutaki ku acknowledged hatua ambazo Man u imepiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…