Huyo dogo ni hatari , nasikia Kuna yule wa dinamo Zagreb ,waliwaskauti wote wawili, sijui watamchukua yupiHuyo dogo ni hatari sana wewe, wale waliommiss Philipe Countinho watamuona hapo ..
Mwendo wa kutungua tu
Sent using Jamii Forums mobile app
watayefanikiwa tu fresh, hao ni future, misimu miwili baadaye ndo tutawategemea wao!Huyo dogo ni hatari , nasikia Kuna yule wa dinamo Zagreb ,waliwaskauti wote wawili, sijui watamchukua yupi
Msemaji wao Mc Hamis77 anawapotosha, wanajiona wana timu kumbe kikundi ch mateja.Kwa hili pira nilililoliona hapaitoshe kusema upepo wa arsenal ulikua last season and they bottled it. Leicester upepo ulimjia akafanya kweliii lakini hawa wenzangu hata pasi hawawezi kabisa maboko kama yote . Pira bovu ndani ya dk 25 MLS wamefika golini mara nyingi zaidi ya bottlers.
Niwahakikishie kabisa wanangu kina mkohoti , flano na wengine wote kuwa humu ifikapo september kijana wetu mpendwa atakua tayariii kashakimbia yupo mafichoni wala hatuhitaji kufika January or April.
Huyu viera alisajiliwa kwa bei ganihuyu hata championship tu hawezi kucheza mtaliii huyu
Timber na Rice naona wanashangaa tu hawaamini wapo phase 4 ama ni phase 1 wanaona kabisa si akili zao kuwepo hapo arteta kawapiga juju.
Puig alieachwa na barca dimba kalishikilia vile sasa huko uefa si mnaenda kuleta vifo vingine vya arsenal fans wa kenya
Ok ,Mimi napotosha , na Li supercomputer nalo linapotosha?Msemaji wao Mc Hamis77 anawapotosha, wanajiona wana timu kumbe kikundi ch mateja.
Yani mmetufunga 3kwa2 na wewe unajitapa kweli timu zilizozoea Shida tabu sana.Kumbe lengo mpigwe nyingi, aliyekuwa anawaokoa Sana hapa Kati Degea kaondoka ,Basi subirini, Mechi ya mwisho umesahau Nini kiliwakuta , katika misimu ya karibuni mmekuwa vibonde wetu
Mimi nimefurahi Degea kuondoka maana alikuwa anapunguza Sana magoli, Kuna mechi mpango ilikuwa mle goli 15
Alichomoa michomo ON TARGETS ZOTE 14 , hii ipo kwenye record za EPL
Sasa huyu Onana atawezana kweli ?
Ndio maana nasema kumbe mnataka goli nyingiYani mmetufunga 3kwa2 na wewe unajitapa kweli timu zilizozoea Shida tabu sana.
Poleni sana Wenger orphans maana kushinda 3kwa 2 ni mafanikio yenu makubwa.
Mshindwe kutupiga wakati tuna Moyes mje mtupige saizi amka kijana.Ndio maana nasema kumbe mnataka goli nyingi
Basi subirini tunaanza wikiend hii
Mshindwe kutupiga wakati tuna Moyes mje mtupige saizi amka kijana.