makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,512
Kwa balogun hatukosi €40-50m
Inter na Ac Milan zinamtaka
Kuna mdau anasema tuwauze wote Nketiah na balogun
Tukapambane kwa Victor osmhen
Liverpool alifukuzia ubingwa na kaukosa mara kibao dakika za mwisho, Liverpool alifika Hadi points 97 na hakubeba EPL,Sio uchawi ndugu ni scientifically proved. Hapo hatujaongelea factor kama mentality ya Arsenal kufukuzia ubingwa kwa siku 200+ na kuupoteza wiki za mwisho wachambuzi nguli na wataalamu wa saikolojia wanasema fighting spirit ya Arsenal itashuka na mifano hii imetokea kwa timu nyingi hapo nyuma.
Hivyo wataalamu wa saikolojia nguli hawaipi nafasi Arsenal ya kuchukua ubingwa. Ila kwa kuwa wewe ni shabiki unaona tunaponda na kuita uchawi. Muda utaongea.
#Tukutane May
#Arsenal ni ileile
Wala hujakoseaArsenal kwasasa sio tu inavutia wachezaji wenye vipaji Duniani kwasasa bali mpaka mashabiki. Kama huamini jiulize kwanini katika forum ya sports hapa JF Arsenal pekee ndo yenye uhakika wa kukaa top 24hrsView attachment 2689635
Onana mvunja kuni aje kufata Nini mkuu?️ | Romeo Lavia still Arsenal’s next top target as Mikel Arteta sees him as a huge talent, but Arsenal not willing to meet the £50m valuation.
Moises Caicedo DEFINITELY still on the list, as well as Everton’s Amadou Onana.
We have not heard anything on Frankie De Jong, but could be true, Arteta has been an admirer in the past and would clearly help elevate this Arsenal side.
1. Romeo Lavia
2. Moises Caicedo
3. Amadou Onana
Hata yeye kasema hivo hivo ,media za UK Zina mu underrate SanaHao wote kwa gabriel jesus hawafui dafu,
Jesus anachukuliwa poa ila boli limelala pale, anakupa vitu vingi,
Osimhen usishangae ndani ya misimu miwili asiimbwe tena
Sawa muda utaongea. Ila wataalamu wa saikolojia wamegusia hilo. Ila mashabiki vipofu hamtaamini hili mtarudi hapa kulia lia May. Its scientifically proven.Liverpool alifukuzia ubingwa na kaukosa mara kibao dakika za mwisho, Liverpool alifika Hadi points 97 na hakubeba EPL,
Arsenal ameshawahi kukosa ubingwa kwa point 1 , msimu unaofata akawa invincible
Wachezaji wa Arsenal Wana njaa na passion ya kushinda zaidi
Ila manjesta atakuwa title Contender na kina Sancho, magwaya, varane malacia au sio plus Anthony masebene, na mpaka Sasa hakuna CF mliyenae ,Sawa muda utaongea. Ila wataalamu wa saikolojia wamegusia hilo. Ila mashabiki vipofu hamtaamini hili mtarudi hapa kulia lia May. Its scientifically proven.
#Tukutane May
#Arsenal ni ileile
Wataalamu huwa wanaongea vtu vngi na havitokei...kwhyo hzo pumba zenu pelekeni huko kwngine...tumeanza kutoa hela kubwa kupata watu ni suala la muda kabla hatujaanza kubeba makombe....Chelkenge ndo mabingwa wa kutumia mahela mengi ndo maana wamefika hapa walipo leo....Sasa na sisi timu ishamilikiwa na mtu mmoja mazima na kocha mwenye falsafa tunaye...subirini mpira uchezwe....majibu tutayapata....mnahangaika sana kuleta vi analysis uchwara hmu ndaniSawa muda utaongea. Ila wataalamu wa saikolojia wamegusia hilo. Ila mashabiki vipofu hamtaamini hili mtarudi hapa kulia lia May. Its scientifically proven.
#Tukutane May
#Arsenal ni ileile
Hata wakipata forward bdo tabu ipo palepale....haya ni kuyadunda msimu huu nje ndaniIla manjesta atakuwa title Contender na kina Sancho, magwaya, varane malacia au sio plus Anthony masebene, na mpaka Sasa hakuna CF mliyenae ,
Mech alizokuwa anawaokoa Degea ,hata top 6 siwaweki kabisa
Msimu Jana yule refa aliyabeba pale kwao , clear Goal la Gab et likakataliwa ,Hata wakipata forward bdo tabu ipo palepale....haya ni kuyadunda msimu huu nje ndani
Kwangu ni striker bora.. anaweza kushambulia kutokea popote pale.. ukiwa nae uwanjani ni faida nyingi kuliko hao wote.. anakaa na boli, anapunguza mabeki, anashuka chini, anakabia juu, anatokea pembeni, anakupa assist tamu, sijui sifa hizi unazipata kwa nani.. ni kina de lima tu na kina th14 kichogo walikuw na sifa hizo.Hata yeye kasema hivo hivo ,media za UK Zina mu underrate Sana
Jamaa ana 11 goals EPL, still alikosa miezi mitatu kwa injury, alicheza muda mrefu na tatizo la goti, Kuna muda alipitia ukame
Upo sahihi mkuu, nakubaliana na wewe , jamaa ndio anawafanya kina Saka martineli wapige goli nyingiKwangu ni striker bora.. anaweza kushambulia kutokea popote pale.. ukiwa nae uwanjani ni faida nyingi kuliko hao wote.. anakaa na boli, anapunguza mabeki, anashuka chini, anakabia juu, anatokea pembeni, anakupa assist tamu, sijui sifa hizi unazipata kwa nani.. ni kina de lima tu na kina th14 kichogo walikuw na sifa hizo.
Huyo dogo hatari sana.Balogun to Inter
Ishu za saikolojia ni two way traffic.Sio uchawi ndugu ni scientifically proved. Hapo hatujaongelea factor kama mentality ya Arsenal kufukuzia ubingwa kwa siku 200+ na kuupoteza wiki za mwisho wachambuzi nguli na wataalamu wa saikolojia wanasema fighting spirit ya Arsenal itashuka na mifano hii imetokea kwa timu nyingi hapo nyuma.
Hivyo wataalamu wa saikolojia nguli hawaipi nafasi Arsenal ya kuchukua ubingwa. Ila kwa kuwa wewe ni shabiki unaona tunaponda na kuita uchawi. Muda utaongea.
#Tukutane May
#Arsenal ni ileile
Isipokua kupunguza mabeki na vision ya pasi ila Balogun anapanda, anashuka anakua involved kwenye game vizuri kuliko Nketiah.Kwangu ni striker bora.. anaweza kushambulia kutokea popote pale.. ukiwa nae uwanjani ni faida nyingi kuliko hao wote.. anakaa na boli, anapunguza mabeki, anashuka chini, anakabia juu, anatokea pembeni, anakupa assist tamu, sijui sifa hizi unazipata kwa nani.. ni kina de lima tu na kina th14 kichogo walikuw na sifa hizo.
Balogun anaenda ku fanya vizuri Sana halafu inter watamuuza kwa €100m , balogun nimemuangalia Tena mech ya juzi movement zake za haraka kusaka goli , ni vile mashabiki tunaangalia end product SanaHuyo dogo hatari sana.
Ila timu anayoenda imeuza watu wa msingi wengi wengine wameenda Saudi na wengine wamebaki Ulaya.
Inasemekana Lautaro pia anataka kuondoka.
Lukaku anasakwa na Juve ila ndo Juve hadi iuze Vlahovic.
Ataenda kwenye timu ambayo inataka kujitafuta, kama mashabiki hawana uvumilivu wakatarajia instant results watampa presha sana.
Inter matapeli wale , ngoja watoe £40-45m uone msimu ujao watamuuza Bei gani,Isipokua kupunguza mabeki na vision ya pasi ila Balogun anapanda, anashuka anakua involved kwenye game vizuri kuliko Nketiah.
Yaani ST hafungi ila wote mnaridhika akicheza