Liva ni ya kuiogopa sana hujui tu, shida yenu kondoo mnaona Arse88 ndio timu ya moto kumbe hamna kitu, nyie hata top 4 hampo, tupo hapa.Hivi ni Mimi tu naona au na nyie , Liverpool hii anayoenda kucheza ni kamari na inaweza mgharimu
Anauza fabinho na Henderson , amewaleta Mac Allister na Szoboslai ,anatafuta DM ,
Mm nilijua anabaki na fabinho ili wacheze na hao wapya ,lakin new midfield ni bonge la kamari ,
Thus why naomba Partey kwetu asiondoke labda next season au January
@Flano unatunanga hapa Arsenal akija na yule jamaa ako wa Chelsea ,unamfanyia unafiki humwambii ukweli ,Chelsea wanaenda kupambania kushuka darajaKi ukweli kabisa Mc Hamisi Masingeli amechangia kwa 80% kukihuisha hichi kijiwe cha kahawa apewe tu maua yake.
Baada ya kukosa kombe la ligi kuu katika dakika za lala salama haliyakua mliongoza ligi kwa zaidi ya siku 258 iliwavunja moyo mashabiki wengi wa Arsenyani.
Nina uhakika zisingekua hamasa zake hili jukwaa lingepoa sana, hata sisi akina Flano tumejikuta tunavutiwa kuja kuchangamsha hichi kijiwe kutwa nzima kutokana tu na hamasa na tambo za Captain hamis77
Hongera sana mkuu, hakika unaupiga mwingi.
Ila msijidanganye tu kwa huo usajili wa kuni za mbao na mchele wa pishori msimu ujao mtachukua Epl, mkijitahidi sana ni lilelile kombe lenu la mwanaFA.
#Arsenyo ni Arsenyo tu, kombe sio kipaumbele kwao muhimu ni pressing & Overloading.
Chelkenge ni title ContenderLiva ni ya kuiogopa sana hujui tu, shida yenu kondoo mnaona Arse88 ndio timu ya moto kumbe hamna kitu, nyie hata top 4 hampo, tupo hapa.
Howard Webb naye asepe tu, mtetezi wa Man U yuleHATIMAYE MIKE DEAN KASEPA
ALIKUWA ANATUUA SANA MECHI ZETU
Mike Dean leaves English football after stepping down as Var and reaches agreement with referees’ chief Howard Webb to leave after being found to be unsuited to Var duties
(@SamWallaceTel )
Arsenal ata top four hatouepo kwa mujibu wako, Mkuu vipi kuhusu Chelsea yenyewe itakuwepo?Liva ni ya kuiogopa sana hujui tu, shida yenu kondoo mnaona Arse88 ndio timu ya moto kumbe hamna kitu, nyie hata top 4 hampo, tupo hapa.
Kwa mujibu wako Arse88 anamaliza wa ngap? Nachojua chelsea inamaliza juu y Arse88Arsenal ata top four hatouepo kwa mujibu wako, Mkuu vipi kuhusu Chelsea yenyewe itakuwepo?
Me sijui mkuu Arsenal atamaliza nafasi ipi, nilikuwa nataka kujua tu unaiona wapi ChelseaKwa mujibu wako Arse88 anamaliza wa ngap? Nachojua chelsea inamaliza juu y Arse88
Nyumbu kumbe waliambia hata hiyo pesa wasipeleke𝐒𝐇𝐈𝐋𝐈𝐍𝐆𝐈 𝟔 𝐆𝐇𝐀𝐋𝐈 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐃𝐔𝐍𝐈𝐀𝐍𝐈
Ngoja niwakumbushe Kidogo.Tulianza Kuwapelekea Westham United £80M wakakataa
Tukurudi Tena na £90m Westham United akakataa Tena.Na hapa MAN CITY akaingilia kati nae Kapeleka £90m
Tukatoka na Jambia tukaweka Ubaoni £105m .Man City akaweka Mikono Juuu akakambia.Ile Wazungu wenyewe wanaita STATEMENT OF INTENT
So Mpaka hapo tukawa tumemgalagaza Bingwa wao MANCHESTER CITY.
Man United waliambiwa hata hela msilete.So walikataliwa hata kabla hawajasema ofa yao.
Chelsea? Frank Lampard alisema alitaka Kumsajili Nahodha wa Chelsea kwa Miaka 10 Ijayo.Walivyoulizia? Wakaambiwa mpo Karibu zaidi na BURNLEY Kuliko Manchester United hivyo msijisumbue..
Bayern Munich? Waliambiwa siwezi Kutoka London nije Kijijini huko
Umetazama namna ambavyo DECLAN UBWABWA anatambulishwa kwa wachezaji wenzake pale LONDON COLNEY? Ile clip Mimi mpaka sasa nimeitazama mara Mia 489.
DECLAN UBWABWA Anasema Utakuwa ni mtu mjinga zaidi Duniani Arsenal hii ya MIKEL ARTETA inakutaka halafu ukatae.
BACK WHERE WE BELONG.THE FAMOUS ARSENAL .KENGE NYIEEEEEE
Mzee wa jambia View attachment 2689199
Hiyo picha wapo wakiwa@Flano unatunanga hapa Arsenal akija na yule jamaa ako wa Chelsea ,unamfanyia unafiki humwambii ukweli ,Chelsea wanaenda kupambania kushuka daraja
Una roho mbaya aisee , yaani unajua kabisa Chelsea ile sio timu nikikundi Cha mdundiko
Cha ajabu unamdanganya ni title ContenderView attachment 2689251
@Flano unatunanga hapa Arsenal akija na yule jamaa ako wa Chelsea ,unamfanyia unafiki humwambii ukweli ,Chelsea wanaenda kupambania kushuka daraja
Una roho mbaya aisee , yaani unajua kabisa Chelsea ile sio timu nikikundi Cha mdundiko
Cha ajabu unamdanganya ni title ContenderView attachment 2689251
Akikujibu uni tag mkuuMe sijui mkuu Arsenal atamaliza nafasi ipi, nilikuwa nataka kujua tu unaiona wapi Chelsea
HATIMAYE MIKE DEAN KASEPA
ALIKUWA ANATUUA SANA MECHI ZETU
Mike Dean leaves English football after stepping down as Var and reaches agreement with referees’ chief Howard Webb to leave after being found to be unsuited to Var duties
(@SamWallaceTel )
Endelea kuwadanganya kondoo wenzako kuwa Arse88 ana uwezo wa kuchukua ubingwa, mwisho wa siku uwakimbieChelkenge ni title Contender
Huo umoto wa Liverpool umeuona wapi ikiwa Wana midfield mpya kabisa Mac Allister na Szoboslai na bado hawana DM had Sasa wanamuuza fabinho na Henderson, hapo hapo Wana tatizo la CB na RB
Last season tuliposema Liverpool hayupo kwenye mbio za ubingwa sababu amejaza wazee mlibisha
Safari chelkenge had Sasa ile sio timu ni kikundi Cha mdundikoView attachment 2689253
Watachukua kina madueke na mudrkyEndelea kuwadanganya kondoo wenzako kuwa Arse88 ana uwezo wa kuchukua ubingwa, mwisho wa siku uwakimbie
Umesaahau na fezi fo😂😂😂....Ki ukweli kabisa Mc Hamisi Masingeli amechangia kwa 80% kukihuisha hichi kijiwe cha kahawa apewe tu maua yake.
Baada ya kukosa kombe la ligi kuu katika dakika za lala salama haliyakua mliongoza ligi kwa zaidi ya siku 258 iliwavunja moyo mashabiki wengi wa Arsenyani.
Nina uhakika zisingekua hamasa zake hili jukwaa lingepoa sana, hata sisi akina Flano tumejikuta tunavutiwa kuja kuchangamsha hichi kijiwe kutokana tu na hamasa na tambo za Captain hamis77
Hongera sana mkuu, hakika unaupiga mwingi.
Ila msijidanganye tu kwa huo usajili wa kuni za mbao na mchele wa pishori msimu ujao mtachukua Epl, mkijitahidi sana ni lilelile kombe lenu la mwanaFA.
#Arsenyo ni Arsenyo tu, kombe sio kipaumbele kwao muhimu ni pressing & Overloading.