Anazuga akisikia kuna timu inaenda angeongeza dau.Tajiri miluzi mwez na nusu Sasa hataki kutoa £100m
Newcastle ikibadili kocha inakua City mpyasijahamia city wapi nimetanganaza ni city fan, nimekua arsenal fan muda mrefu so kuchangia ni lazima mnivumilie tu. Nipo zangu huku Newcastle united najitafuta mdogo mdogo
Sijui mm nikoje au na mahaba Sana na Zinchenko, yaani bila huyo huwa naona Arsenal inacheza Kama manjesta tuTutest mitambo kidogo kulingana na wachezaji bora tulionao natabiri 3 2 2 3...wachezaji watakaostruggle san kupata namba ni zinchenko jorginho , ,nketia,tomiyasu,tierney,kiwior ila trossard atampa mwalimu arteta maswali mengi sana kwenye attacking zone kuwa kati yake na kai au martinnell nani aanze....anyway mimi naona kikosi chetu Bora kitakuwa hivi
............................Ramsdale.......................
Timber.........saliba..........Gabriel
..................partey..............Rice...............
...............Cp.Odegaaard........harvets..........
Saka...........jesus............martinell
#COYG
Mm nimemfatilia kwenye pass , mchezaji anayepiga pass kwa usahihi nampenda Sana maana atafanya tumiliki Sana mpirahamis77 endelea kupiga spana nyumbu na Kenge Hadi zipotee humu
Rice ana sifa hizi mbili za ziada ambazo wengi hamjazijua bado
1. MKATILI
2. MAFIA
Mkipata muda wa kumcheki huko u-tube, usi-base kwenye ubora wake
Ila pia angalia actions zake, anapokonya mipira kikatili Sana
Anazama uvunguni kimafia Sana
#ArsenalNDOO
Jamaa tatizo lake kukaba, nataman abadilishe namba acheze naneSijui mm nikoje au na mahaba Sana na Zinchenko, yaani bila huyo huwa naona Arsenal inacheza Kama manjesta tu
Huyo jamaa huwa akifatwa na wachezaj hata watatu anauwezo wakupiga pass moja tu ikawaacha hapo hapo
Ilifika kipind nisipomuona kwa lineup sihangaiki kuangalia hiyo mechi
Jamaa ni technically Gifted ,Press resistant, wachezaj wa Newcastle walisema walikuwaa wanashangaa jinsi anavyopiga pass mbele yao
Kuna mech Kama zile za Liverpool unamuweka Tomiyasu au KiwiorJamaa tatizo lake kukaba, nataman abadilishe namba acheze nane
Ukipata muda ukimchek u-tube angalia pia action zakeMm nimemfatilia kwenye pass , mchezaji anayepiga pass kwa usahihi nampenda Sana maana atafanya tumiliki Sana mpira
Timber, zinchenko,Rice ,saliba , Magalhaes , Øde, Hawa wote Wana piga pass kwa usahihi 90% zinafika
Yote hayo nimeyaona , ila mm mlevi Sana wa wachezaj wanaopiga pass kwa usahihi , halafu Rice nimeona anacheza 8 vzr kabisa ,Ukipata muda ukimchek u-tube angalia pia action zake
Yupo smart Sana anavyofanya Mambo yake
No wonder man city alienda kujaribu bahati yake Kama angempata
City ingeua ndoo mapema sana
As of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boyaManu anamaliza juu ya Arsenal time will tell