hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,683
Basi acha kupiga mboyoyo tusubiri ligi ianzeKutoa uchambuzi kwenu ni kupoteza muda sababu kihisia mmeshajipatia kombe tayari. Ila kiuhalisia mna kikosi cha kawaida kama cha Manu tu mtu pekee atakaenisumbua ni Liver na Mwaciry
Pia tarehe 23 wiki ijayo Kuna mech hapo ya. arsenal vs manjesta

