Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta on if playing with Ødegaard will help Havertz:


“Hopefully it will. Every player is keen to help him & he’s settled well. He’s a really good character, really humble. He wants to play for us & win with us & we are delighted to have him.” #afc
 
Declan Rice is back in the UK to finalize his move to Arsenal. Jurriën Timber is also due to be finalized as both deals are expected to be completed before the team flies to the USA tour.



Reports, @sr_collings.
 
Hawa kama kawaida yao lazima wapigwe 10 na bayern
Wanaenda kuidhalilisha tu Epl kwenye Uefa.
Kila nikifikiria makipa wao RasMadale na yule Heroin nabaki na huzunika tu kwa kile kinaenda kuwakuta kwenye makundi.
Na jinsi Uefa management walivyo na roho mbaya kwenye group lao wanaweza muweka Buyern Munich makusudi kabisa ili warudi kwenye Futuhi yao.
Screenshot_20230419_121151.jpg
 
Huyu Mpoland Mgumu mnoo , halafu Fundi vile vile .Kwani UEFA champions league lini? JAKOB KIWIOR remember the name

Leo ameanza kama Sehemu ya Midfield pembeni ya Thomas Partey Arsenal ikianza ujenzi wa Shambulizi

Nyuma yake Kuna Gabriel Magalhaes,Willy Saliba na Ben White.Kila lenye Kheri ndugu zangu Kwenye kuupita huu Ukuta.Siwatishi Wala nini nawaombea Mema tu.Muongeze the most Expensive RICE hapo na Jurrien Timber.Eeeh Mungu nyiee

Ooh Mikel Arteta kamuiga PEP GUARDIOLA kwenye Kutumia Ma center back 4.Nenda Kaangalie Mechi ya Arsenal vs Liverpool Emirates msimu uliopita.Halafu uje hapa tusemezane.

Kuna Wakati nilikuwa naona pia anshuka katikati ya Willy Saliba na Ben White.Halafu Gabriel Magalhaes anaenda Pembeni Kushoto

Halafu Fabi Viera anashuka Pembeni ya Thomas Partey kwaajili ya Progression ya Boli.

Sasa Kwa hii TITRATION hapa nyuma kama ulikuwa unapiga Chabo umeambulia kitu Kweli? Utafeli KENGE WEWE

Leandro Trossard na King KAI HAVERTZ wote wametumika kwenye Ile role ya Granit Xhaka

Msioogope sana Jamani mechi yenyewe pia IMEISHIA 1-1.Kama Ile tu dhidi ya Watford

Note; Nlitaka Kusahau bao la Arsenal limefungwa na Winga ghali zaidi Duniani Kwa Sasa.

Mzee wa jambia View attachment 2687376
Huyu jamaa alikua na debut mbovu mno. Ila alivyopindua performance next games ilikua si mchezo
 
Huyu jamaa alikua na debut mbovu mno. Ila alivyopindua performance next games ilikua si mchezo
Hakuwa na match fitness , Jana kacheza role ya zinchenko ,kaicheza vzr halafu yeye anajua kukaba

Hii inamaanisha Kieran Tierny hawez kubaki ,maana upande wake wanaocheza wamekuwa wengi , Zinchenko,Tomiyasu na. Kiwior ,
 
More on the potential departure of Thomas Party, Al-Hilal will push hard soon

Understand Moises Caicedo, FDJ and Camavinga are top targets to replace if Arsenal sanction a Partey move

Arsenal will only sell Partey for the right fee, so they can secure a top replacement
 
Hakuwa na match fitness , Jana kacheza role ya zinchenko ,kaicheza vzr halafu yeye anajua kukaba

Hii inamaanisha Kieran Tierny hawez kubaki ,maana upande wake wanaocheza wamekuwa wengi , Zinchenko,Tomiyasu na. Kiwior ,
Tierney asiuzwe Zinny asogee LCM
Hichi ndicho kitu arteta anakosea so far
 
Declan Rice WILL sign his contract for Arsenal TODAY. After today Declan Rice will be an Arsenal player. He should link up with the squad for the USA tour…
20230714_151808.jpg
 
Tierney asiuzwe Zinny asogee LCM
Hichi ndicho kitu arteta anakosea so far
Zinchenko amekuwa mtu wa kuumia umia sana so he is not that reliable...ila nakubaliana na ww... Tierney asiuzwe...kuna mechi za kubaki sana nyuma zitamfaa...na msimu ni mrefu huwezi jua kama Kiwior naye hataumia kwhyo better Kila nafasi iwe na wachezaji 3 wazuri
 
Zinchenko amekuwa mtu wa kuumia umia sana so he is not that reliable...ila nakubaliana na ww... Tierney asiuzwe...kuna mechi za kubaki sana nyuma zitamfaa...na msimu ni mrefu huwezi jua kama Kiwior naye hataumia kwhyo better Kila nafasi iwe na wachezaji 3 wazuri
ila mwanangu Kai bado nina wasiwasi nae sana
yuko soft sana
sijui lakini Kocha atamtumiaje
 
ila mwanangu Kai bado nina wasiwasi nae sana
yuko soft sana
sijui lakini Kocha atamtumiaje
Unakumbuka alivyokuja Øde ,Bora hata Kai

Arteta amesema muda utaongea , namuona Kai akisubiri kwanza kabla hajaingia kwenye mfumo ,wanasema hakuna roles ngumu kuzimasta Kama LCM na RCM

Ndio maana ni Arsenal na mancity tu ndio wanacheza 4-3-3 ya double 8

Rudi nyuma kamuangalie ødegaard ilimchukua muda gani , watu walimbeza wakisema lege lege Sana ,n.k

“Time will tell!”

Mikel Arteta says he hasn’t decided on Kai Havertz’s best position yet following his first appearance in an Arsenal shirt

youtu.be/GDfwdgcEZGc
 
Hivi Caicedo na Chelsea hawamalizani tu, nilisafiri hadi nmerudi bado tu aiseee
Dah sijakuona kweli rafiki

Wana mwez na nusu Sasa ,nasikia Brighton wanataka £100m

Na Sasa hawana haraka wanamsubiri Liverpool aliunge
 
Back
Top Bottom