Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Ila Arsenal ni kikundi cha wahuni.
West Ham wametoa green light kwa ofa yenu na namna ya ulipaji mmekubaliana wote ila kusaini mikataba nyie ndiyo mnachelewa tena.
View attachment 2686828


sio wanajichelewesha bali hawana pesa ya kuanza kulipia installment, wanawalazimisha waarabu wamnunue Kitchen party ili wapate pesa ya kishika uchumba kwa Westham. Unaambiwa tajiri mwembamba kawa mbogo kwelikweli tokea juzi anawafokea kina Edo na Arteta kwa kulazimisha mambo makubwa wakati uwezo wa timu ni mdogo.

