Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila Arsenal ni kikundi cha wahuni.

West Ham wametoa green light kwa ofa yenu na namna ya ulipaji mmekubaliana wote ila kusaini mikataba nyie ndiyo mnachelewa tena.
View attachment 2686828
sio wanajichelewesha bali hawana pesa ya kuanza kulipia installment, wanawalazimisha waarabu wamnunue Kitchen party ili wapate pesa ya kishika uchumba kwa Westham.
Unaambiwa tajiri mwembamba kawa mbogo kwelikweli tokea juzi anawafokea kina Edo na Arteta kwa kulazimisha mambo makubwa wakati uwezo wa timu ni mdogo.
 
Mimi furaha yangu ni kuona Arsenal ikikosa wachezaji wazuri tu. Sisi hatuna hiyo pesa kwa sasa.
Sasa kama una Hali hyo Kila siku utakuwa unahuzunika tu mkuu...maana haitakuja kutokea...Sasa hvi tukitaka mtu tunabeba..ize tu...West Ham wasubiri tupitie herufi moja baada ya nyingine tukishajiridhisha ndo tuendelee...vinginevyo wanaweza wakabaki na mchezaji wao kama Wana haraka sana paka wale...kwanza wametupiga pesa ndefu sana...Sasa wawe wapole...au kama vp Man UTD pelekeni ofa mumchukue
 
Ila Arsenal ni kikundi cha wahuni.

West Ham wametoa green light kwa ofa yenu na namna ya ulipaji mmekubaliana wote ila kusaini mikataba nyie ndiyo mnachelewa tena.
View attachment 2686828
Huu uzushi kawadanganye mashabiki wenzako wa unyumbuni


Hao Sky sport ndio waliosema Rice anaelekea mancity kupitia mwandishi wao Di marzio , mkafurahia Sana


Sasa hao Sky sport Jana wamewadanganyeni ,leo wamewageukeni Tena


Naweka ushahidi hapa chini taarifa ya Jana na ya leo


Zaman Sky sport walikuwa chanzo Cha kuaminika siku hizi Sky sport ni Kama TBC View attachment 2686840
20230713_173252.jpg
 
Huyo Rice mbona hatambulishwi
Pesa ya kishika uchumba ndio changamoto kwa Arsenyo.
Westham washamind huko unaambiwa.
Arsenyo wakiambiwa waweke maokoto bank wanapiga danadana, Haya mkataba upo tayari wanaambiwa waje kusaini wanaleta uswahili.
Westham wamemwambia wakala wa Rice akafanye mazungumzo na Mancity maana Arsenyau wanaonesha dalili zote za utapeli.
 
Mna

Mnahaha sana ndugu zetu....basi pelekeni Magwaya west Ham mbadilishane nao wakupeni nyie hyo rice....hakuna timu inayolipa ,£100 million cash upfront kwa england....hapo...hela italipwa kwa installments kama makubaliano yalivyo....kama wao walivyotuhenyesha kukubali masharti Yao Sasa na sisi zamu yetu wasubiri tupitie mkataba taratibu hata kama itakuwa mwezi mzima....kama wanategemea hela ya Rice ndo wasajilie itakula kwao....jeuri ya kumrudisha hawana....maana Manyumbu hamuwezi ku afford bei yke....nyie pambaneni kununua kipa na hela zenu za ngama watani
Shida ni kishika uchumba Arsenal ndio hawana.
Westham wameshawakubali hio £105m mtalipia kwa Installment ya miaka 3, mnaambiwa muweke bank maokoto ya awamu ya kwanza mnapiga chenga, haya mkataba upo tayari njooni muweke saini mnaanza kupiga danadana.
Shakhtar walishtukia mapema sana utapeli wa Dr. Shika ndio maana wakaamua kumalizana mapema na tajiri miluzi.
 
Shida ni kishika uchumba Arsenal ndio hawana.
Westham wameshawakubali hio £105m mtalipia kwa Installment ya miaka 3, mnaambiwa muweke bank maokoto ya awamu ya kwanza mnapiga chenga, haya mkataba upo tayari njooni muweke saini mnaanza kupiga danadana.
Shakhtar walishtukia mapema sana utapeli wa Dr. Shika ndio maana wakaamua kumalizana mapema na tajiri miruzi.
Sawa Di Marzio
 
4-3-3


Trosaard anacheza LCM , Odegaard RCM

Double 8 hiyo


Atatoka Trosaard ataingia kai


Arsenal XI vs. Nürnberg: Ramsdale; White, Saliba, Gabriel, Kiwior; Partey, Trossard, Ødegaard; Saka, Nelson, Nketiah.

Arsenal subs: Hein, Cedric, Tierney, Trusty, Walters, Jorginho, Vieira, Havertz, Nwaneri, Lewis-Skelly, Jesus, Balogun. #afc
 
sio miaka miwili ni mitatu, halafu kuna tetesi zimeanza kuzagaa Westham wameshtukia Arsenyau hizo pesa za kuanza kulipia Installment kumbe hawana, wanawapiga kalenda tu kila wakiambiwa wapeleke mzigo bank.
Kama ubabaishaji wa malipo ukiendelea kuna uwezekano Rice akauzwa timu nyingine au akabaki Westham.

Hawana jeuri hiyo. Hakuna timu inayoweza kuweka mzigo mzito kama wa Gunners. Watasubiri tu tumalize ishu zetu zingine tuwarejee tutakapokuwa tayari. Wao Hammers Kwa sasa wanachofanya ni kufunga na kuomba tusipate mbadala au kukutwa na jambo lolote like litakaloharibu hili dili
 
Nelson as LW napenda Sana kumuona huu upande

Trosaard as LCM, hii namba ina wengi watauana KAI HAVERTZ,FABIO VIEIRA,SMITH ROWE,DECLAN RICE

Kama Partey anacheza DM basi tunaweza kumuona Rice as LCM


20230713_185403.jpg
 
Shida ni kishika uchumba Arsenal ndio hawana.
Westham wameshawakubali hio £105m mtalipia kwa Installment ya miaka 3, mnaambiwa muweke bank maokoto ya awamu ya kwanza mnapiga chenga, haya mkataba upo tayari njooni muweke saini mnaanza kupiga danadana.
Shakhtar walishtukia mapema sana utapeli wa Dr. Shika ndio maana wakaamua kumalizana mapema na tajiri miruzi.

Jamaa umeiandama sana hii deal. Ikikamilika sijui utakuja na nini kipya
 
Players like Martinelli, Zinchenko, Tomiyasu are over with the squad and training, but are clearly just being eased back in after their injuries. That's why it's good to see Saliba starting, there must be a lot of confidence that he is now fully recovered from that back issue.
 
Back
Top Bottom