hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,657
Arsenal wameanza mazungumzo na Gremio kuhusu kumnunua kiungo Bitello.Inaaminika Gremio wako tayari kukubali dili la thamani ya £8.5m, ikijumuisha faida inayoweza kupatikana kutokana na mauzo yoyote yajayo.
Mazungumzo yanaendelea lakini vyanzo vinaamini kuwa makubaliano yanaweza kufikiwa wiki hii.
[@GraemeBailey]

