Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gabri Veiga reportedly favours a move to Arsenal over Chelsea or Tottenham...

Smart guy

#Veiga #PL #Arsenal #AFC
20230712_184911.jpg
 
Nyie tumewagonga 3-1 mnajitetea kitchen partey hakuwepo, ila sisi mlivyotubahatisha 3-2 tukijitetea kutokuwepo kwa Casemiro hamtaki.
Ila msimu huu tutawagonga nje ndani halafu mbaya zaidi yuleyule mbaya wenu mnaembeza kila siku Fundi Antony Matheus dos Santos ndie atakaewashona, na kama kawaida yake ushangiliaji wake baada ya kuwafunga Arsenyau hua ni hivi. View attachment 2685784


Maneno mengi sana kwenye hayo majina, sijui Antony dos sijui Nini ...rahisisha maisha. huku bongo huyo jamaa anafahamika kama Antony Masebene
 
halafu hio suti yake inaonyesha kabisa ni Mc, ndio maana ana porojo nyingi sana humu.
Ila mwanangu hamis77 wewe una kipaji kikubwa sana aiseeee, yaani hii Arsenyo unavyoipamba utafikiri wale wazee wa fursa wanaohamasisha kilimo cha matikiti maji, yaani unavyowapea mchangunuo kima wa humu wanajiona tayari kabisa wameshachukua ubingwa kabla hata ligi haijaanza.

Ndo maana maneno mengi mpaka muda mwingine hata arsenal fan unashangaa kama game ya city maneno kibao ila ukiangalia kabisa unajua kwa city hatutoki ila haya maneno yanatoka wapi kumbe hamis ni mc
 
Hii asipoelewa atakuwa chizi tu , siku man city anachukua uefa nilifikiri sana hili jambo mpaka nikakumbuka 2006 final pekee ya arsenal nikaona nifanye japo ki analysis kidogo.

Tuseme au tutoe upendeleo kwa arsenal fan yeyote kuwa ameanza kushabikia arsenal pale arsene wenger alivyotua pale highbury 1996 arsenal kawa bingwa wa EPL 3 , UEFA 0 na UEFA finals 1

Man city toka 1996 kachukua EPL 7 , UEFA 1 na UEFA finals 2.

Chelsea toka 1996 kachukua EPL 5 , UEFA 2 na UEFA finals 3.

Man utd toka 1996 kachukua EPL 11 , UEFA 2 na UEFA finals 4. Hawa mabwege wanabebwa sana na hizi stats japo nao ni washakua mandezi hawana cha maana tena.

Liverpool toka 1996 kachukua EPL 1 , UEFA 2 na UEFA finals 5.

Sifikiri kama kuna mashabiki wengi walioanza kushabikia mpira before 1996 , wengi na kwa upendeleo ni kuanzia 96 kwenda mbele kwa stats mtu ambae ameanza kuwa football fans 96 ina maana kuna uwezekano akawa alizaliwa kuanzia 1987 hivi coz miaka 9 na miaka 10 wengi ndo tumeanza kuupenda mpira and not below that age. Tukirudi dogo aliyezaliwa 2000 or 1999 ukiplus miaka 9 or 10 ivi moja kwa moja inaangukia kwa 2009 mpaka 2011 ivi ambapo timu zilizokuwa zinafanya vizuri ni man utd , chelsea na man city ndo inaanza kuwa tishio under mancini so mtu kuwa man city fan ambae amezaliwa 2000 na kwenda juu huwezi kumwita plastic fan, ameanza kushabikia city at the right time ukiangalia na age yake.

Na city fans ambao wengi ni 2000 born japo hata kuna watu wazima ni city fans mpira sio kama kabila kwamba huwezi kuhama, watu wanahama dini sembuse mpira bana . City fans wa 2000 wakianza kuhesabu makombe toka wazaliwe timu iliowaacha makombe ni man utd pekee ambalo ni epl 1 na uefa 1 tu.

KIGEZO CHA PLASTIC FAN HAKINA MAANA TENA, TIMU KONGWE HIZI ZINAPASWA KUBEBA NDOO TU HASA MAN UTD & ARSENAL MAANA ZIMEPOTEANA FOR A LONG PERIOD
Huu uchambuz wako hata kama mtu ni mwehu lzm atakuelewa mkuu.
 
Katika combo za midfielders yenu odegard ni masterpiece

Huyo odegard ni hatari sana kwenye penetration passes ambayo ndio key factor ku-unlock defense ya timu pinzani

Kai na odegard
Hawa watashirikiana kupiga hizo penetration passes na mikimbio kitu ambacho msimu uliopita alikua anafanya odegard peke yake, xhaka hakuwa vizuri kwenye hili eneo

Kai na odegard
Nyuma yao Kuna rice/partey kuwahakikishia usalama

Zinchenko na timber wanakuja kuungana na rice/partey ku-solid midfielders

Saka na martinel kazi yao kuu itakua kuwatoa ulimi watu
I feel sorry kwa nyumbu na chelkenge for what gonna happen very soon
Ukiwa unasikiliza huu uchambuz wa watu wa Gunners.

Hata sisi wnyw City hatuwez leta team uwanjan
 
Kuna kila dalili deal la Rice likayeyuka.
Jamaa wa West Ham walitoa masharti magumu sana kiasi naona Gunners wanaanza kusita kutoa dau.
Kuna mahali wanaona wapo wenye uwezo kama wa Rice na wanauzwa kwa nusu bei.
 
Kuna kila dalili deal la Rice likayeyuka.
Jamaa wa West Ham walitoa masharti magumu sana kiasi naona Gunners wanaanza kusita kutoa dau.
Kuna mahali wanaona wapo wenye uwezo kama wa Rice na wanauzwa kwa nusu bei.
Acha uzushi,weka dau na Mimi niweke hapa kama likiyeyuka

Arsenal hawajatangaza sajili zote mbili za timber na rice


| @FabrizioRomano: “I said ‘Here We Go’ for Declan Rice and Jurrien Timber and I don't change my position. I saw some rumors again today, but guys, I'm told that it is just a matter of an announcement. This remains very clear. Arsenal have everything ready for those two deals. So let's wait and see when Arsenal will unveil their new signings.” [via YouTube] #afc
 
The Arsenal are back for the 2023/24 campaign as they take on FC Nurnberg in Germany in their first friendly match to begin pre-season…

️ FC Nurnberg v Arsenal
Max-Morlock Stadion
18:00 GMT kick-off
Friendly Match

Time to begin pre-season with a win!
 
Kuna kila dalili deal la Rice likayeyuka.
Jamaa wa West Ham walitoa masharti magumu sana kiasi naona Gunners wanaanza kusita kutoa dau.
Kuna mahali wanaona wapo wenye uwezo kama wa Rice na wanauzwa kwa nusu bei.
Uzushi ,uongo unawasaidia Nini ?


ExWh -Tier 1 for Westham

"There is no change in the Declan Rice situation. He is expected to release a goodbye video to West Ham and be officially announced either Friday or Saturday by Arsenal before joining up with their squad for the tour of the USA"
 
Kuna kila dalili deal la Rice likayeyuka.
Jamaa wa West Ham walitoa masharti magumu sana kiasi naona Gunners wanaanza kusita kutoa dau.
Kuna mahali wanaona wapo wenye uwezo kama wa Rice na wanauzwa kwa nusu bei.
Uzushi ,uongo unawasaidia Nini ?


ExWh -Tier 1 for Westham

"There is no change in the Declan Rice situation. He is expected to release a goodbye video to West Ham and be officially announced either Friday or Saturday by Arsenal before joining up with their squad for the tour of the USA"
 
Arsenal have sparked an interest in Gremio star Bitello.

He was in action on Sunday, with representatives from Arsenal in attendance.

The club want at least £8.5m for the attacking midfielder, who could be a versatile addition at Arsenal.


Edu is cooking on Brazilian gas
20230713_114419.jpg
 
Acha uzushi,weka dau na Mimi niweke hapa kama likiyeyuka

Arsenal hawajatangaza sajili zote mbili za timber na rice


| @FabrizioRomano: “I said ‘Here We Go’ for Declan Rice and Jurrien Timber and I don't change my position. I saw some rumors again today, but guys, I'm told that it is just a matter of an announcement. This remains very clear. Arsenal have everything ready for those two deals. So let's wait and see when Arsenal will unveil their new signings.” [via YouTube] #afc
Mkuu ungewaambia ni kweli limeyeyuka wafurahi...hyu Declan Rice ana nn hasa mbona kama watu wanapiga kelele sana msela kusajiliwa na arsenal....walitegemea achague Man City au inakuwaje
 
Mkuu ungewaambia ni kweli limeyeyuka wafurahi...hyu Declan Rice ana nn hasa mbona kama watu wanapiga kelele sana msela kusajiliwa na arsenal....walitegemea achague Man City au inakuwaje
Walianza haji Arsenal anaenda city wakashangilia Sana

Wakasema hatuna hela

Mwisho wanasema dili limeyeyuka

Wanataka Arsenal watangaze wanavyotaka wao,
 
Arsenal hoping to announce Declan Rice transfer before they travel to USA for pre-season tour. Media duties yet to be done.

Full piece w/@kayakaynak97
 
Back
Top Bottom