Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal intermediaries have spoken to the Grêmio president over a deal for Bitello. Further talks will be held, during which Arsenal will make a formal offer. Arsenal know that Gremio want €10m for 70% & there's still negotiations to be done to close the deal.


[@rafapfeiffer YT]
 
Casemiro hawez kucheza mechi inayokutanisha mafundi angeaibika tu

Ndio maana kwenye zile 6,7 alikuwa kama Jonas mkude tu , Casemiro kwa timu za ku possess Sana usimuhesabie kabisa
Mechi ya kwanza tuliyowagonga 3-1 Casemiro aliaibikaje?
 
Baada ya kukosa kukasikia miaka 8 mtawaliwa hatimae Asenyo msimu huu anaenda kukasikia haka kanyimbo katika hatua za makundi.
Siwatishi ila nawakumbusha tu huko mnaenda kukutana tena na Buyern Munich.

View attachment 2685766
 
Bila yule refa kuwabeba na hapo partey hakuwepo ,

Manjesta bado mnahitaji kocha mzuri na uwekezaji wa akili
Nyie tumewagonga 3-1 mnajitetea kitchen partey hakuwepo, ila sisi mlivyotubahatisha 3-2 tukijitetea kutokuwepo kwa Casemiro hamtaki.
Ila msimu huu tutawagonga nje ndani halafu mbaya zaidi yuleyule mbaya wenu mnaembeza kila siku Fundi Antony Matheus dos Santos ndie atakaewashona, na kama kawaida yake ushangiliaji wake baada ya kuwafunga Arsenyau hua ni hivi.
Screenshot_20230103_113831.jpg
 
Nyie tumewagonga 3-1 mnajitetea kitchen partey hakuwepo, ila sisi mlivyotubahatisha 3-2 tukijitetea kutokuwepo kwa Casemiro hamtaki.
Ila msimu huu tutawagonga nje ndani halafu mbaya zaidi yuleyule mbaya wenu mnaembeza kila siku Fundi Antony Matheus dos Santos ndie atakaewashona, na kama kawaida yake ushangiliaji wake baada ya kuwafunga Arsenyau hua ni hivi. View attachment 2685784
Hiyo mech uliangalia ? Bila refa kuwabeba mngechomoka?

Tulimkosa partey Cha ajabu muda wote mlikuwa mnakaa nyuma

Ndio mech ambayo niligundua 7hag ni kocha wakawaida Sana ,ndio mechi niliyoamini Anthony masebene mmepigwa

Tulimuweka kiungo lokonga Cha ajabu timu yake ya €250m ilikuwa hata kukaa na mpira haiwez ,

Mlipopigwa goli zuri Refa akagoma ,na ndipo mlipochomokea


Safari hii tupo kamili Tena mnaanzia Emirates , tuna viungo wa kila aina


DEGEA anayewaokoaga na kupunguza idadi ya magoli hayupo

Mtachagua mpigwe palesupalesu au sugunyo

IMG_20230628_182144.jpg
 
Arsenal’s Def issues started after Saliba & Tomi got injured.

the last 11 games are lack of squad depth and adaptation had us conceded 18 goals form are 43 goals conceded all season

We only conceded 25 goals in 27 games before the injury’s
20230712_142609.jpg
 
Watu walishona mpaka vijora vya kusherehekea ubingwa wa Epl halafu sasa hivi wanajikausha kama vile sio wao.
Kuna kima humu utazisikia zinasema malengo yetu hayakua ubingwa sasa unajiuliza hivi vijora walimshonea nani?
Screenshot_20230712-163610.jpg
 
Moyo unaenda mbio nikiona game za April zinazokuja kuanzia next week, Manchester City ana experience sana na game hizi ,kipara hajawahi kuanguka kwa marathon za namna hii anaweza akaboronga mwanzoni ila kwa game hizi za marathonje tutatoboa?Mungu atusaidie
computerarsenal kwenye game za April aliona mbali sana akaishia kubezwa.
Hii picha ya chini ni verifaidi yuza mzee wa Arsenyo ndoo baada kupigwa comeback kwenye gemu za April.
Screenshot_20230712-163639.jpg
 
Unajikana boss hamis full migebuka
View attachment 2685945
halafu hio suti yake inaonyesha kabisa ni Mc, ndio maana ana porojo nyingi sana humu.
Ila mwanangu hamis77 wewe una kipaji kikubwa sana aiseeee, yaani hii Arsenyo unavyoipamba utafikiri wale wazee wa fursa wanaohamasisha kilimo cha matikiti maji, yaani unavyowapea mchangunuo kima wa humu wanajiona tayari kabisa wameshachukua ubingwa kabla hata ligi haijaanza.
 
Back
Top Bottom