Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukiwa mtu wa mpira hili lazima ulione, mkuu agiza wine hapo
Na kitu ambacho wengi hamjakijua tupo phase ya 4 ya trust the process. Phase zipi 5 na mbili za bonus

Arteta is going to dominate EPL for 10 consecutive seasons

Mathematical we are ahead of time

.
Kuna watu wameamua kujitoa tu ufaham ndio wanatupigia kelele hasa hasa hawa nyumbu

Tatizo lenu moja tu mkianza kupelekewa moto mnapoteana humu hatari . Ila nao mnaongelea phases sijui phase ya nne ya tano ngoja nisubiri phase 10 nimekaa pale
 
Katika combo za midfielders yenu odegard ni masterpiece

Huyo odegard ni hatari sana kwenye penetration passes ambayo ndio key factor ku-unlock defense ya timu pinzani

Kai na odegard
Hawa watashirikiana kupiga hizo penetration passes na mikimbio kitu ambacho msimu uliopita alikua anafanya odegard peke yake, xhaka hakuwa vizuri kwenye hili eneo

Kai na odegard
Nyuma yao Kuna rice/partey kuwahakikishia usalama

Zinchenko na timber wanakuja kuungana na rice/partey ku-solid midfielders

Saka na martinel kazi yao kuu itakua kuwatoa ulimi watu
I feel sorry kwa nyumbu na chelkenge for what gonna happen very soon
Kama ni mgeni hapa duniani, na timu yako inacheza na Arse88, kwa maneno haya unaweza kuogopa kwenda kuangalia mpira. Kumbe ni kikundi kimoja ch waimba taarabu pale wingereza wasio na hata historia.

Huwa mnafurahisha sana mnavyoikubali timu yenu kupitiliza kuliko uhalisia.
 
Man City, Chelsea na Newcastle hazina history Wala identity but Liverpool, Man utd na Arsenal ndio Wana history and more trophies and fans kuliko hizo plastic teams.
Never include Man U, Liverpool in the same sentence with Arsenal. Arsenal mkijikongoja sana mjifananishe na Chelsea angalau.✍️
 
Funny fact: Only Arsenal fans sees themselves as giants tryna comparing themselves to the likes of Giants (ManU/Liverpool) while in reality they are just another mid table team among many from London.
Wewe zurula humu ,manjesta vipigo msimu huu vinawahusu

Tunategemea kauli za

ANGEKUWA DEGEA ASINGEFUNGWA PALE
 
Funny fact: Only Arsenal fans sees themselves as giants tryna comparing themselves to the likes of Giants (ManU/Liverpool) while in reality they are just another mid table team among many from London.
Klabu ambayo squad yake. ..thaman yake ni over £1B+ unaichukuliaje
 
Man City, Chelsea na Newcastle hazina history Wala identity but Liverpool, Man utd na Arsenal ndio Wana history and more trophies and fans kuliko hizo plastic teams.

Hapo ni kwa Newcastle tu ila kwa man city na chelsea wako mbali zaidiii ya arsenal. Historia ipi unaongelea wewe? Kwa miaka 15 iliyopita hii ndo historia ya epl
Man city 7
Man utd 3
Chelsea 3
Leicester 1
Liverpool 1
Hii ndo history inayoleta maana , historia inaundwa na trophies tu na si kingine chochote
 
Never include Man U, Liverpool in the same sentence with Arsenal. Arsenal mkijikongoja sana mjifananishe na Chelsea angalau.✍️
Nimezitaja maana Zina EPL na FA nyingi kuliko hizo plastic clubs zako. Have some respect for FA Cup record winners and the only team to have an invisible season in the highly competitive EPL.
 
Hapo ni kwa Newcastle tu ila kwa man city na chelsea wako mbali zaidiii ya arsenal. Historia ipi unaongelea wewe? Kwa miaka 15 iliyopita hii ndo historia ya epl
Man city 7
Man utd 3
Chelsea 3
Leicester 1
Liverpool 1
Hii ndo history inayoleta maana , historia inaundwa na trophies tu na si kingine chochote
Acha utoto 15 years ndio sample? Sample ni zaidi ya 100 years timu zilizojijenga bila kutetereka ni hizo tatu nyingine zote mpaka zilishuka daraja kama Leeds, Nottingham forest zimepotea kabisa wakati Zina ndoo za kutosha.

Ukubwa wa timu ni history, legacy, fan base, merchandise, trophies and so on sio component Moja tu otherwise tuseme Leicester ni timu kubwa kisa Ina ligi nyingi kuliko Arsenal ndani ya miaka 15 uliyochagua?? But Leo hii wako daraja la pili!!
 
Acha utoto 15 years ndio sample? Sample ni zaidi ya 100 years timu zilizojijenga bila kutetereka ni hizo tatu nyingine zote mpaka zilishuka daraja kama Leeds, Nottingham forest zimepotea kabisa wakati Zina ndoo za kutosha.

Ukubwa wa timu ni history, legacy, fan base, merchandise, trophies and so on sio component Moja tu otherwise tuseme Leicester ni timu kubwa kisa Ina ligi nyingi kuliko Arsenal ndani ya miaka 15 uliyochagua?? But Leo hii wako daraja la pili!!

Sample ya miaka 100 real??? yani karne moja nzima, nchi yetu yenyewe bado haijafika miaka 70 tu ya uhuru then wewe unataka tuhesabu miaka ambayo babu zetu walikua utumwani mpira wa vichupi.

Yaani ujisifie ukoo wenu ulikua tajiri na mali nyingi mwaka 1907 then tuangalie ukoo wenu kwa sasa uko hoi taabuni hata buku hamna lakini still uko proud na mali za mwaka 1907 si ndo ukichaa huo.

We are more here and now type brother!!!! Wewe as arsenal fan na dogo mwingine as man city fan tunawaweka head to head , umeanza kushabikia arsenal mwaka gani na una makombe mangap ya epl & uefa na huyu dogo wa man city ana makombe mangap ya uefa na epl hicho ndo cha muhimu zaidii!!’

Ivi unajua anachofanya man city kwa sasa ndo anatengeneza historia itakayodumu vizazi na vizazi. Wewe unafurahia historia uliyoikuta tayariii tofauti na dogo ambae 20 years later atakuwa anajivunia kuwa city fan si tu kwa kukuta historia bali kwa kuwa part ya kutengeneza hio historia . Man city kabakiza epl 4 tu akuache kwenye kila kitu fans na trophies
 
Klabu ambayo squad yake. ..thaman yake ni over £1B+ unaichukuliaje
So do City they also have an expensive squad. My point is that comparing Arsenal with ManU/Liverpool is a disgrace. Arsenal should be compared with Aston Villa, Everton, West Ham or Chelsea/Man City if only they(Arsenal) manages to clinch a UCL trophy (which is unlikely).
 
Acha utoto 15 years ndio sample? Sample ni zaidi ya 100 years timu zilizojijenga bila kutetereka ni hizo tatu nyingine zote mpaka zilishuka daraja kama Leeds, Nottingham forest zimepotea kabisa wakati Zina ndoo za kutosha.

Ukubwa wa timu ni history, legacy, fan base, merchandise, trophies and so on sio component Moja tu otherwise tuseme Leicester ni timu kubwa kisa Ina ligi nyingi kuliko Arsenal ndani ya miaka 15 uliyochagua?? But Leo hii wako daraja la pili!!
Naona mnaforce ukubwa. Sisi kama Man U mtu pekee ambaye tunamchukulia kama mkubwa/mpinzani wetu ni Liverpool. Na pengine Chelsea/ ManCity kwa mbali (based on their recent achievements). Nyie Arsenal jitahidini kwanza mkue ili muweze kufananishwa na Chelsea na sio kulazimisha ukubwa ambao hamna.
 
Never include Man U, Liverpool in the same sentence with Arsenal. Arsenal mkijikongoja sana mjifananishe na Chelsea angalau.
Huyo Chelsea ana makombe makubwa yote kuanzia Uefa, Europa, world club, Epl halafu ndio umfananishe na hawa wazee wa kombe la mwanaFA?
Asenyau level zao ni kina Spurs, Brighton, Aston Villa n.k
Mimi binasfi Asenyau siwezi kumuweka level moja hata na Westham alietoka kuchukua conference juzi tu hapo.
Asenyo ni kama yai viza tu huwezi kulishtukia kama ni bovu mpaka mwisho wa msimu pale litavyoanza kutoa harufu mbaya baada ya kupasuliwa.
2023-05-14T170209Z_624262063_UP1EJ5E1BBKYL_RTRMADP_3_SOCCER-ENGLAND-ARS-BRH-REPORT.JPG
 

Attachments

  • 2023-05-14T170209Z_624262063_UP1EJ5E1BBKYL_RTRMADP_3_SOCCER-ENGLAND-ARS-BRH-REPORT.JPG
    2023-05-14T170209Z_624262063_UP1EJ5E1BBKYL_RTRMADP_3_SOCCER-ENGLAND-ARS-BRH-REPORT.JPG
    18.1 KB · Views: 7
Back
Top Bottom