Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta Talent ID

Gabriel Jesus
Transfer fee: £45million
Current value: £71million
IMG_20230711_104856.jpg
 
Gabriel Jesus alifunga goals 11 EPL na alikosa miez mitatu akiwa nje

Mathematically huyu jamaa angepiga goals 15+ Kama angecheza msimu mzima

Muda mwingi alicheza na maumivu ya Goti , baada ya upasuaji yupo fit

Msimu huu namuona akitupia Goals 15
IMG_20230708_194245.jpg
 
We are blessed kabisa winga wa kulia Saka halafu winga wa kushoto Martinelli, Kuna timu winga wao wote masharobaroo tattoo nyingi kuliko magoli View attachment 2684598

Ukiwacheki kwenye wings Wana Antony Masebene na yule bonge Sanchoka. Mbele yule Goliati ajiiate ghost, nyuma Halima gwaya. Sema huyu magwaya wanakosea kumpanga beki, wanatakiwa wamueke golini adake maana kichwa tu kile kinacover zaidi ya robo ya goli. Kwa mastrikers kama kina Darwin jamaa Hana hata haja ya kusogea, kila shot wakipiga ni nje au ikiwa on target basi inamgonga magwaya kichwa
 
Ukiwacheki kwenye wings Wana Antony Masebene na yule bonge Sanchoka. Mbele yule Goliati ajiiate ghost, nyuma Halima gwaya. Sema huyu magwaya wanakosea kumpanga beki, wanatakiwa wamueke golini adake maana kichwa tu kile kinacover zaidi ya robo ya goli. Kwa mastrikers kama kina Darwin jamaa Hana hata haja ya kusogea, kila shot wakipiga ni nje au ikiwa on target basi inamgonga magwaya kichwa
Halimagwaya msimu uliopita ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kufumania nyavu, msimu huu 7hag anamchezesha CF asipofunga zaidi ya goli 20+ aulizwe hamis77
 
Huyu ndiye Arteta ninayemjua ,kamuacha Pepe London ,kaambiwa atafute timu akikosa anavunjiwa mkataba

Nicolas Pepe is not part of Mikel Arteta's plans this season & the club are willing to terminate his contract if they're unable to receive a fee for him (@Football_LDN). #afc

IMG_20230711_134519.jpg
 
HII DUNIA HAITAISHA KWA UTAPELI

Mmoja Winga mwingine Kiungo mkabaji kwenye timu inayokaa nyuma zaidi
IMG_20230709_194700.jpg
 
️ | TRANSFERS: SIX players who should leave Arsenal this summer.

According to former Arsenal striker Alan Smith (via @Metro_Sport), the Gunners should sell the following six players this summer.

Folarin Balogun
Nicolas Pepe
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Rob Holding
Nuno Tavares
Sambi Lokonga
󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Kieran Tierney
 
I can't wait to see Kai havertz LHS #8

Uwezo wake wakutafuta half space

Aerial duel yake kwenye mipira ya juu

Control yake ya mpira akipokea pass mpenyezo za Captain mtoto Odegaard

Kai havertz atafunga G/A 15+ ,asipofikisha niulizwe mimi
IMG_20230708_192957.jpg
 
Gabriel Jesus ana goal 20+ asipofikisha niulizwe Mimi
Huyu jamaa angepiga goals 20 , Safari hii atulie tu

Alicheza muda mrefu na maumivu ya goti

Alikosa miezi 3

Kuna Kipind alipitia ukame

Still ana goals 11 EPL

Akiminimize hizo factors juu ana goals 20+
 
UTAPELI HAUTAISHA DUNIANI

One season wonder Wanataka £100m

Yupo wapi YVES BISSOUMA


| Brighton value Moisés Caicedo in the same bracket that West Ham value Declan Rice (£100m).

Chelsea are pushing to sign the midfielder but Brighton will demand HUGE money.

[via @skysports news].
 
Katika combo za midfielders yenu odegard ni masterpiece

Huyo odegard ni hatari sana kwenye penetration passes ambayo ndio key factor ku-unlock defense ya timu pinzani

Kai na odegard
Hawa watashirikiana kupiga hizo penetration passes na mikimbio kitu ambacho msimu uliopita alikua anafanya odegard peke yake, xhaka hakuwa vizuri kwenye hili eneo

Kai na odegard
Nyuma yao Kuna rice/partey kuwahakikishia usalama

Zinchenko na timber wanakuja kuungana na rice/partey ku-solid midfielders

Saka na martinel kazi yao kuu itakua kuwatoa ulimi watu
I feel sorry kwa nyumbu na chelkenge for what gonna happen very soon

Hapa niwapongeze tena kwa mara ya pili tena. Kati ya Usajili kutoka Chelsea mtakao uona wa mafanikio ni hiyo ya Kai. Kama mtamchezesha kai namba kumi au nane mtaona yule kai wa Liverkusen Og.

Hongereni sana
 
Ukiwacheki kwenye wings Wana Antony Masebene na yule bonge Sanchoka. Mbele yule Goliati ajiiate ghost, nyuma Halima gwaya. Sema huyu magwaya wanakosea kumpanga beki, wanatakiwa wamueke golini adake maana kichwa tu kile kinacover zaidi ya robo ya goli. Kwa mastrikers kama kina Darwin jamaa Hana hata haja ya kusogea, kila shot wakipiga ni nje au ikiwa on target basi inamgonga magwaya kichwa

 
Hapa niwapongeze tena kwa mara ya pili tena. Kati ya Usajili kutoka Chelsea mtakao uona wa mafanikio ni hiyo ya Kai. Kama mtamchezesha kai namba kumi au nane mtaona yule kai wa Liverkusen Og.

Hongereni sana
Ukiwa mtu wa mpira hili lazima ulione, mkuu agiza wine hapo
Na kitu ambacho wengi hamjakijua tupo phase ya 4 ya trust the process. Phase zipi 5 na mbili za bonus

Arteta is going to dominate EPL for 10 consecutive seasons

Mathematical we are ahead of time

.
Kuna watu wameamua kujitoa tu ufaham ndio wanatupigia kelele hasa hasa hawa nyumbu
 
Ukiwa mtu wa mpira hili lazima ulione, mkuu agiza wine hapo
Na kitu ambacho wengi hamjakijua tupo phase ya 4 ya trust the process. Phase zipi 5 na mbili za bonus

Arteta is going to dominate EPL for 10 consecutive seasons

Mathematical we are ahead of time

.
Kuna watu wameamua kujitoa tu ufaham ndio wanatupigia kelele hasa hasa hawa nyumbu

For ten Years ni Uongo tena Uongo mkubwa kweli kweli.
 
Back
Top Bottom