Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ushabiki unawatia upofu. Arsenal hii kwa Chelsea tu haifui dafu wakati wanaendelea kuwaita wenzao plastic fans wenzao wanafukuzia record za Liver na Utd
Ndio mana nikasea kuwa shabiki w Ars88 ni zaid y uzwazwa.
Na msimu ujao watatoka patupu, then watarudi hapa kujipa moyo na usajili, na misimu inayokuja na inayokuja tena hivyo hivyo,yaan km watoto. Wakati wenzie wanendelea kuandika historia.

Hata watoto kuna mahali wanafika wanagoma, wanakwambia baba we kila siku unasema utaninunulia ndege mbona hununui, ila hawa kondoo hawashtuki.
 
Sijui anapata wapi nguvu zakubwata humu

Anajua kabisa ana Sterling na mudrky wanahitaji nafasi 10 wafunge Goli 1, Wana defense Dhaifu ikiongozwa na kepa ,

Cha ajabu anakuja kusumbua humu
Nafasi 10 aje kushinda 1
 
Bora tukuite MBWA kuliko mwajuma Kama ulivyokua unataka
Hamuwez mana uwezo wa kumaliza top 4 hamna, upepo hauji mara mbili mliuchezea upepo wenu msimu uliopita dio basii. Wenzenu Leceister upepo walipita nao, ikaja liva wakapita nao. Nyie sasa timu iliyolaaniwa mkaacha upepo upite, mnafikiri utakuja tena.
 
Nafasi 10 aje kushinda 1
Yule Sterling huwa anahitaj nafasi 10 , Sasa ndio tegemez hao na mudrky , pamoja na mabeki wao tegemez Fofana ,James na chillwell hawa wote hakuna anayeweza kucheza mechi 5 mfululizo asiende mwaisela kwa manesi

Timu Kama hii unakuta shabaki wake anapiga kelele humu
 
1. Arsenal
2. City
3. Newcastle
4.
5
6
7
8.
Spurs, Villa, Liverpool, Brighton, nyumbu,

Watajipanga watakavyojua wao


9.
10.
Crystal palace, Fulham,

11. Kenge chelshit Fc
12
.
.
.
Msimamo naona utaenda hivi, wapi unaona nimekosea?
 
1. Arsenal
2. City
3. Newcastle
4.
5
6
7
8.
Spurs, Villa, Liverpool, Brighton, nyumbu,

Watajipanga watakavyojua wao


9.
10.
Crystal palace, Fulham,

11. Kenge chelshit Fc
12
.
.
.
Msimamo naona utaenda hivi, wapi unaona nimekosea?
Hapo kwenye hao wajalaana hawawez kushika hiyo nafasii, niitwe mbwa nimekaa palee
 
Halafu wanasema wana Loyal Fans kuliko Manchester city.
 
The reason we now have one of the most valuable squads in World Football is due to developing young players to the next level (Ramsdale, Saliba, Gabriel, White, Ø, Martinelli, Saka, ESR etc). Their value has sky-rocketed.

We didn’t buy our way to a £1bn valuation. Nice try.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…