Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndo nimeona leo comment ya huyo jamaa mpumbav.. Nimeona hata kazi kuMquote maana nimeona ni mjinga.

Hana data anavoviongea ana bwabwaja tu upuuz apuuzwe ni shabik wa Arsenal tunamsamehe bure.
 
Mkuu kwny mpira kuna kupanda na kushuka na process ya kurudi kwenye peak huwa sio ya ujanjaujanja...Sasa kwa msimu wa mwaka jana wengi wetu huku hatukuamini kwmba arsenal angepelekeshana na man City mpk karibu na ligi kuisha ila wengi tuliamini top four ni achievable kutokana na kikosi tulichonacho na sisi tulikuwa tumezoea timu yetu si ya kutoa mahela mengi kupata mafanikio kutokana na financial situation tuliyonayo ila Sasa tumeanza kutoa hela na probably tutaanza kushinda vikombe tena...kwni tukizungumza uhalisia mafanikio ya Chelsea si kutokana kuwa na mmiliki anayetia pesa nyng ku invest na Sasa huko na sisi ndo tumeanza kuja...jumlisha na kocha tuliyenaye ana clear vision ya namna tunavyotaka kucheza...ndo maana nikakwambia kwetu kurudi top four ni achievement maana hatukuwepo mda...ila kwa msimu huu tukikosa kombe itakuwa ni failure...kwa hyo relax na ushuhudie tukibeba kombe plus kama kawa kuwakanda Chelkenge nje ndani kama kawaida yetu...
 
Mlisema Hivyo hivyo kw Havertz na Joghino, haya sasa yapo wapi?!
Uzuri wa mchezaji haupimwi kw kufunga magoli, labda kama ni central foward.
Mkuu nyie na kikundi chenu kile cha wafukuza upepo mjiandae tena kugombea top ten
 
Ivi kumbe nabishana na kijana alipotea baada ya arsenal kupoteza ubingwa
sikujua ngoja nistop hii mada. Wote humu mlipotea baada ya kutoa drow na liverpol alafu leo naanza kubishan na ninyi aisee
Timu imetumia £650m inashika nafasi ya 12

Bado unapata wapi nguvu yakubwabwaja?

Msimu huu Tena mna kikos Dhaifu bado unabwabwaja humu

Rudini kwenye timu zenu
 
EXCL: Arsenal doctor Gary O’Driscoll moving to Manchester United. Expected to remain in current role for transition period before completing switch later this summer. Highly-regarded medic a significant coup for #MUFC after 14+yrs at #AFC @TheAthleticFC
 
HAYA WALE WENYE HUSUDA


It is understood that Arsenal would actually be Mbappe's first preference if he were to ever go to the PL, both because he likes evolution of Mikel Arteta's team & would also enjoy the challenge of delivering the title to AFC again.

(@MiguelDelaney )
 
Shida kwao engagement changamoto, hivyo inawalazimu washinda na kulala hapa
Timu imetumia £650m inashika nafasi ya 12

Bado unapata wapi nguvu yakubwabwaja?

Msimu huu Tena mna kikos Dhaifu bado unabwabwaja humu

Rudini kwenye timu zenu
 
Hiki kirusi...hata kama ni bure wasithubutu kumchukua.... Ataharibu dressing room kabisa..dogo anajiona mkubwa kuliko timu hafai hata bure...yle aende timu kama Madrid huko ndo watawezana naye...
 

Hatutaki faida kwa Partey? Kumuuza Kwa bei tuliyolipa au kidogo yake inatutosha?
 

according to a recent report from the Independent, should Mbappe opt to move to the Premier League, the club he prefers over all others is Mikel Arteta’s Arsenal.
 
Mimi nasema nyie Ni middle table team Kama forest ,Kama unabisha weka kikos unachotarajia kuanza nacho EPL
Ili uache kelele
Daaahhh hizi ni kufuru sasa yaani ndani ya miaka 5 iliyopita Chelsea amebeba haya makombe makubwa yote hapo chini
halafu wewe unawaita middle table team?

FIFA Club World Cup 2021-2022.

UEFA Supercup 2021-2022

Champions League 2020-2021

Europa League 2018-2019

FA Cup 2017-2018

Champions League. 2016-2017

Haya tuonyeshe hio Giant team yenu Arsenyeto ina kombe gani kubwa imebeba ndani ya miaka 20 iliyopita.
 
Wewe hata Forrest ana UCL Tena 2 lakini amerudi alipotoka , Chelkenge kwasasa wanagombea kushuka daraja ,level zao Sasa nikina forest , Luton fc

Kama kikos Cha 650 walitaka kushuka daraja ,vipi kuhusu Hawa kina Jackson na muddy ambaye hata Goli la offside Hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…