Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Ndo nimeona leo comment ya huyo jamaa mpumbav.. Nimeona hata kazi kuMquote maana nimeona ni mjinga.Waarabu hawalipi mishahara mbuzi kama hio wanayolipa Kroenke's.
Mshahara wa Ronaldo peke yake huko Uarabuni inaweza fikia nusu ya mishahara ya kikosi kizima cha Arsenyo.
Pesa ya kulipa mshahara wa Mbappe timu masikini kama Arsenyo haina, labda timu iuzwe halafu pesa yote itayopatikana kwenye mauzo ndio inaweza tosha kulipa mshahara wa Mbappe.
Achaneni na kelele za Mbappe humu mnajichosha bure, nyie nendeni mkatafute mafungu ya kina Sambi Lokonga wengine ndio size yenu.
Hana data anavoviongea ana bwabwaja tu upuuz apuuzwe ni shabik wa Arsenal tunamsamehe bure.