Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwanangu partey hapo ndio kunamtoa CV

Maji wataita mma
Hahaha! team Partey naona mnatafuta namna ya kumtetea, tuliwaambia mkampamba eti "bila Partey hakuna Arsenal", mmesahau Jorginho kachukua namba yake sababu ya Control, ikafika hatua Arteta anamchezesha inverted RB lakini najua mtu ukipenda huoni.
 
COMPARED

Jurriën Timber vs Josko Gvardiol (2022/23)

Arsenal really going for it


Radar : datamb.footballView attachment 2671957

Hapo kwenye defensive actions....je amezoea kuwa kwenye team inayotawala sana na hapokei mashambilizi sana? Maana nilisema nimecheki YouTube videos zake jamaa unaweza usijue kuwa ni beki maana wanamuoyesha akishambulia zaidi kuliko kukaba. Kumbe kitakwimu haonekani akikaba sana pia
 
Hahaha! team Partey naona mnatafuta namna ya kumtetea, tuliwaambia mkampamba eti "bila Partey hakuna Arsenal", mmesahau Jorginho kachukua namba yake sababu ya Control, ikafika hatua Arteta anamchezesha inverted RB lakini najua mtu ukipenda huoni.
Partey aliweza kutuheshimisha pale dimbani
Changamoto kubwa ni majerui na kumaliza ligi ameshindwa
Maybe hii inatokana na kuwa yeye tu kila game, akipumzika Hadi aumie

Timu Kama Newcastle, Spurs, Liverpool,
Inabidi uwe na mtu wa kuingia uvungua, nginja nginja kwa Sana

All in all tunahitaji kuiona arsenal ikiwasha moto,
 

Hopefully teams zitakuwa zimemzoea yule jini Haaland na kuweza kumdhibiti zaidi.

Nategemea msimu huu Nyumbu, Chelkenge, Nyukesto na Livakuku kuimarika mara dufu na kuleta usumbufu mkali
 
Hopefully teams zitakuwa zimemzoea yule jini Haaland na kuweza kumdhibiti zaidi.

Nategemea msimu huu Nyumbu, Chelkenge, Nyukesto na Livakuku kuimarika mara dufu na kuleta usumbufu mkali
1.Arsenal
2. City
3. Newcastle
4. ?

Liverpool, nyumbu, Spurs, Brighton,

Chelkenge ata kwa bahati mbaya haingii top4
 
Sio Majeruhi tu, kuna technical limitation, hanaga Consistence na hiki kitu tumeongea sana. kuna mwana mmoja niliwahi kumsoma anasema Partey is a momentum player, nakubaliana naye kwa 100%.
 
Sio Majeruhi tu, kuna technical limitation, hanaga Consistence na hiki kitu tumeongea sana. kuna mwana mmoja niliwahi kumsoma anasema Partey is a momentum player, nakubaliana naye kwa 100%.
Sawa lakini still ni among building block ya mid yetu
kama tukiwa na depth naamini hata tumika sana so atakuwa fit muda mrefu
 
Lavia na Timber.
 
1. Kai
2. Rice
3. Timber
4.
5.

Kutoka vyanzo vyangu vya ndani kabisa

#Arsenal NDOO msimu huu itaanza ile game ya ufunguzi hadi NDOO
Naona safari hii meamua kujipanga tena kuongoza Ligi msimu ujao, halafu kombe wachukue wengine.
Arsenyani bhana



#Arsenyo Kondoo
#Haaland Kiatu
#mliMancity Champions
 
Sawa lakini still ni among building block ya mid yetu
kama tukiwa na depth naamini hata tumika sana so atakuwa fit muda mrefu
Anunuliwe Lavia na winger wa kulia mmoja preferably Diaby yule wa Leverkusen...Partey auzwe sababu ni mtu ambaye hana uhakika wa kucheza gemu nyng kwa msimu kutokana na history ya majeruhi...xhaka abaki kwa msimu mmoja zaidi....then msimu unaokuja...chances za kushinda ubingwa ni kubwa maana squad depth itakuwa nzuri sana
 
auzwe joginho
 
Naona safari hii meamua kujipanga tena kuongoza Ligi msimu ujao, halafu kombe wachukue wengine.
Arsenyani bhana



#Arsenyo Kondoo
#Haaland Kiatu
#mliMancity Champions
Mambo vipi mkuu
Nasikia nyumbuz hawauziki kabisa.
Mkatangaza kabisa mmewaweka sokoni, lakini wateja hawaonekani

Bora utumie muda mwingi huku kupoteza machungu

Magwaya price tag yake ni ngapi vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…