Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nauliza tena

Kwanini tukiongelea wachezaji wetu wa msimu ujao hua tunamsahau mno Trossard? Mfano tuliamini tunahitaji ST, viungo wawili na backup ya Saka. Trossard hashindwi kua ST na hashindwi kukaa RW

Moto upo kwenye kiungo
Hata Smith Rowe wanamsahau , Trossard alicheza mech za mwisho vibaya , kumbe alikuwa majeruhi, kafanyiwa surgery ndogo
 
Mwanzo United walimuambia De Gea ashushe mshahara kama anataka mkataba mpya.

Jamaa kakubali akasaini.

United wamerudi wamemuambia ashushe tena mshahara kama anataka kubaki
 
Ni maoni tu. Cha muhimu Arsenal wamepata mtu wao.
 
ARSENAL WIN UEFA FOOTBALL AWARD

Hii tuzo ya kutambua mchango wetu katika kupinga baguzi mbali mbali na kufanya mpira wa miguu kuwa rafiki kwa wanadamu wote tutapewa kesho.

Tumeipata hii kwa kampeni yetu ya 'NO MORE RED' inayopinga violence, hasa uchomaji visu kwa vijana wa mitaani London ili kufanya viwanja vya michezo kuwa sehemu salama kwa vijana kutembelea na kufanya mazoezi.

Pia tumekuwa timu ya kwanza kuweka mkalimani wa lugha ya alama kwene mechi za Emirates ili wenye ulemavu wa kusikia nao waweze kuenjoy zaidi mbwembwe za Saka na Martinelli na wenzao

Hongera kwetu
 
Top 5 Journalists/ITKs for Arsenal news this transfer window.

Power Rankings

1 - @SamiMokbel81_DM
2 - @Teamnewsandtix
3 - @David_Ornstein
4 - @FabrizioRomano
5 - @AlexGoldberg_ (who is CFC but has been spot on with his takes)
 
Dahhh simu yangu haifungi picha za JF inaniuma sana kukosa fursa kama hizi

Anyway unaongelea katimi gani mkuu
Arsenal hao kwenye Twitter profile picture wameweka bendera ya LGBTQ ku-support Pride month halafu wame-post tweet ya "Eid Al-Adha Mubarak".
 
Nauliza tena

Kwanini tukiongelea wachezaji wetu wa msimu ujao hua tunamsahau mno Trossard? Mfano tuliamini tunahitaji ST, viungo wawili na backup ya Saka. Trossard hashindwi kua ST na hashindwi kukaa RW

Moto upo kwenye kiungo
Me mwenyewe nawashangaa wanaomchukulia poa. Alipokuwa Brighton alikuwa anafunga magoli mengi kwenye tight spaces. Hii system ya center forward kuungana na viungo, sometimes inawakoseshaga sana magoli
 
Za Ndani kabisa ,kumbe Arteta kapewa £300m

Anataka amalize usajili mapema aende nao wote pre season, asiowataka atakuwa anawaondoa akiwa Pre season

Bado anataka Kiungo mmoja ambaye ni Lavia ,personal term ameshakubaliana na Arsenal wiki 2 zilizopita ,


Pia anahitaji Winga mmoja wa kulia
 
Me mwenyewe nawashangaa wanaomchukulia poa. Alipokuwa Brighton alikuwa anafunga magoli mengi kwenye tight spaces. Hii system ya center forward kuungana na viungo, sometimes inawakoseshaga sana magoli
Trossard mwishon kacheza na majeruhi ,kwahiyo wanamchukulia poa , Sasa hivi kafanyiwa surgery ndogo

Smith Rowe majeruhi yalimfanya asiwe fit ,baada ya surgery nae amerejea fit

Fabio Vieira pia injury zinamsumbua Sana , juz karudishwa na timu ya taifa U21 atibiwe , anahitaji muda mrefu atulie awe fit , sijawahi ku doubt Uwezo wake ,muda wake utafika tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…