Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna muda kama shabiki unapaniki kwamba kwanini arsenal wamechelewa kukamilisha hili dili mpaka city anaingia kwa miguu miwili.
Je hawakuona biashara ya gundogan kwamba itaharibu na kuingilia mtiririko wa dili la rice? Kweli?
Kwamba shabiki unaweza ona intervention ya city ila arteta na bodi nzima hawakuona.? Really?
Kwa akili ya kawaida hii kitu haipo.kwangu mimi inawezekana arsenal walikuwa wanamsubiri city aje kwenye hii dili.wakati hammers wakichelewesha deal kusubiri city aingie ili kuwe na bidding war arsenal nao walikuwa wanamsubiri man city.swali ni how and for what?

Ngoja nikwambie. Sajili tulizofeli ambazo sisi tunaziita zilikuwa ni A-list inawezekana kabisa ndo zilikuwa B-list au zilikuwa ni technical methodology za kupata preferred targets.
Dili la muddrick liliniachia funzo kubwa sana kuhusu namna arsenal anavyosajili. Mind you kwamba inawezekana hata hatujui clear targets za arsenal tofauti na hizi zinazozunguzwa na media.

Welcome mancity kwenye deal la rice kuna kitu tutaona au tutajifunza

Hapa unataka kufanya watu waone arsenal ipo strategic kumbe hamna lolote, kwamba timu zote zinaangalia arsenal anamtaka nan then ndio zifanye usajili, kwa kipi arsenal alichonacho mpaka uje na theory za kipumbavu!!
Mudryk it was the first target na si trossard na ilimkosa kwasababu ya ubahili na hata rice it will be the same.
Tukisema mashabiki wa arsenal ni vichaa na mna false hope mnaona kama tunawakosea , hii theory yako ni ujinga tu na matumaini hewa
 
Kwan Liverpool mmefungiwa kusajili? Baada ya macAllister mmepotea

Nyie si mmemfatilia Jude mwaka mzima
.
IMG_20230623_031250.jpeg
 
Arsenal set to miss out on Declan Rice as reliable journalist says Man City agreement close
Di marzio ndiye kasema hivo,lakin Media zote za UK zimesema sio kweli

Mpaka Sasa city hajatuma bid yoyote , Last update ya Fabrizio, Ornstein ,n.k zinasema bado hajatuma


Di marzio huwa anakurupuka
IMG_20230623_060047.jpg
 
Arsenal will also push on Jurrien Timber deal in the next hours/days. Understand Timber considers Arsenal as excellent, attractive project for his future. #AFC

More to follow between Arsenal and Ajax in terms of negotiation.


@Fabrizio Romano
 
The feeling at West Ham is that the end is really close in the Declan Rice story. Reports,

@FabrizioRomano.
 
West Ham are leaking everything to get the biggest bid. I can’t blame them. I just hope Arsenal put in a 100mil bid before City put in their official bid
 
| @FabrizioRomano on Arsenal and Declan Rice:




“There is a crucial part of the story to mention. At the moment, the player has been very clear from what I understand. He wants to be open and to see what Arsenal and Manchester City will do in the next hours and days.

“We know one crucial point on this story. Mikel Arteta… Arteta is pushing at the best level to sign Rice and is trying in every single way. Of course, it doesn't depend on him. It depends on the owners and how much they want to spend on the deal.

“But Arteta is trying his best. He's really pushing for Rice to join Arsenal. So Arteta could be crucial. If Rice will be an Arsenal player, trust me, Arteta will be a crucial factor.

“But Manchester City are in it and are in the race. Let's wait and see what happens in terms of bid. But at the moment, in terms of contact. Arsenal’s intention is to bid again, and they remain in the race. So both clubs are still there. Nothing is decided yet.” [via YouTube] #afc
 
Hii kwamba Rice anaipenda Arsenal au Havertz blaa blaa. Ngoja niwaambie
Almost 70 to 80% ya wachezaji inapokuja swala la transfer wana general interests, wanaweza kwenda timu yeyote itakayoweza kuwafanya aidha wakue kisoka hasa kwa wachezaji walio U23 au kubeba mataji kwa wachezaji walio above 23. Sasa hii ya kwamba eti Rice anaitaka tu Arsenal ni longolongo za magazeti ili wauze habari.
Ile 20-30% iliyobaki ndio wanakuwa na mahitaji maalum wakati wa transfer, aidha wanapenda kwenda kucheza na timu yake ya ndotoni na wengi wao ni Barcelona au Real Madrid, wengine wanapenda kuwa chini ya kocha wake kipenzi, wengine wanataka kucheza na mates wake mpenzi, wengine wanavutiwa tu na nchi au mji, na sababu nyingine kadhaa wa kadha

Sasa kuhusu Rice
Anachotaka ni kwenda kwenye timu ambayo itampa fursa ya kugombea mataji na pia kupata kipato cha juu zaidi.
Rice anaweza akaipenda Arsenal sio kwa sababu ya Arsenal bali kwa sababu ya kubakia London
Kwa maana hiyo hiyo, Chelsea wangekuja na nguvu wangeweza kumchukua kwa sababu ataweza kugombea makombe na hapo hapo akabakia London.

Tusishangae pia City wakaja wakamchukua na akabadili mawzo WHY?
Hata kama anapenda kubaki London ila kwenda City itampa fursa kubwa zaidi sio tu kugombe mataji lakini pia kubeba mataji. So Arsenal chonde chonde don't under estimate hii posibility ya Rice kukwapuliwa na Chelsea au City.

Mjifunze kwa case ya Mudryk, City wanampa fursa kubwa Rice kuliko Arsenal iliyofufuka tu msimu uliopita

Rice ataenda Arsenal tu kama City hawatakuwa serious
 
Hapa unataka kufanya watu waone arsenal ipo strategic kumbe hamna lolote, kwamba timu zote zinaangalia arsenal anamtaka nan then ndio zifanye usajili, kwa kipi arsenal alichonacho mpaka uje na theory za kipumbavu!!
Mudryk it was the first target na si trossard na ilimkosa kwasababu ya ubahili na hata rice it will be the same.
Tukisema mashabiki wa arsenal ni vichaa na mna false hope mnaona kama tunawakosea , hii theory yako ni ujinga tu na matumaini hewa
daaaahhh we jamaa hua unanikosha sana na comments zako, hizi kima hua unazipiga mulemule kwenye mshono, zinapozidiwa kwa hoja zinaanza makasiriko na matusi juu.

tapatalk_-1258466040_433x540.jpg
 
Mbona kuna watu kama wameanza kuchukulia kama suala la Arsenal kumkosa Rice nalo ni la kuwazomea?

Personally naona Arsenal wasimsajili RICE, hizi kelele na fee anayowekewa vitamfanya awe another version of pepe...

Lavia awe priority kwakweli
 
Arsenyani na kocha wenu hamjui mnataka nini. Huyu Rice mnayemlilia mtakuja kumkataa: siyo kuwa ana uwezo mdogo ila ni namna kocha wenu anavyotaka kumtumia.

Mpaka sasa mshajiingiza mkenge kwa kumsajili Havertz.
 
Back
Top Bottom