Chelsea walimsajili kwa 75M hivyo 65M ya Arsenal ni karibu na kurudisha pesa yao hivyo 10M ilopotea si mbaya.Sibishi
Tatizo price tag
Chelsea walimsajili kwa 75M hivyo 65M ya Arsenal ni karibu na kurudisha pesa yao hivyo 10M ilopotea si mbaya.
Why Lavia over Caicedo au kwakua ofa yake ni kubwa zaid ndo maana unamkubali sana Lavia kuliko Caicedo?Arteta asajili ajuavyo ila aniletee Lavia
Yule dogo kwa miaka 19 , nimemshuhudia akicheza kikubwa Sana, akiwapoteza vzr viungo pinzani
katika tetesi zoote na sajili zote nachosubili kwa hamu ni kuona huyu jamaa atatumika vipi na Arteta.Kai na forwards za Chelsea za sasa ziko vizuri kwenye kutengeneza chances ila siyo kuscore. Finishing iko chini kidogo, kwa maoni yangu Chelsea wanahitaji ST mkali na biashara itaanzia hapo.
Kai ni same, been saying it for a season, Arsenal magoli yanagawanywa hashindi ST pekee Jesus utamuona LM anatafuta mpira anayeenda kuscore Saka au Martinelli.
This means with Kai tumeongeza mtengeneza nafasi mwingine na mmaliziaji ni ama Jesus au Nketiah, usimuwaze Balogun. So ili aperform tunahitaji ST ambaye atakua mzengeaji.
60M kwa Kai na stats zake za hii misimu 3 ni nyingi ila ukifikiris soko la sasa hakuna namna ni kumpa sapoti kwakua anavaa uzi wa Arsenal.
Licha ya yote haya bado tunaitaji RWHavertz khasa nafasi yake uwanjani ni namba 8 au 10 na Chelsea walikuwa wakimtumia kama namba 9 CF ambayo si nafasi yake na akawa hawezi kufunga magoli. Amecheza mechi 139 na kafunga magoli 32 tu!
Havertz ni mzuri pale anapofunga goli akitokea nyuma ya attackes wengine na huwa huru zaidi.
Kwahiyo Arteta atamtumia kama force 9 ambae hupenda kwenda kwenye box akiwa late na pia huweza kucheza kama mshambuliaji wa pembeni iwe badala ya Martinelli au Saka ila atakuwa na uwezo wa kupanua safu ya ulinzi ya adui.
Hivyo ni mchezaji mzuri kwa Arsenal.
Angalia hapoChelsea walimsajili kwa 75M hivyo 65M ya Arsenal ni karibu na kurudisha pesa yao hivyo 10M ilopotea si mbaya.
Lavia nilimwona vizuri Ile game yetu na wao. Kwa aina ya timu Yao na uchezaji ule. Kwa maoni yangu, Lavia ana potential kubwa kuliko CaecedoWhy Lavia over Caicedo au kwakua ofa yake ni kubwa zaid ndo maana unamkubali sana Lavia kuliko Caicedo?
Eti kai anajua kukaba ushabiki mmbaya sanaKai jamani ni mchezaji wa level ya juu sana.utaona uzuri wake zaidi akiwa hapo arsenal,au man city au madrid sio aina ya mchezaji wa chelsea.very very technical player arafu anajua na kukaba na kutoa pasi.kwangu mimi huu ni usajili bora zaidi ya RICE.achana na number za magoli lakin ni ongezeko la mchezaji bora zaidi.kiachofurahisha tunakuwa na wachezaji watano mbele ambao wako very comfortable na mpira dhidi ya audui.hapo unamzungumzia ,martinel,saka,Jesus,odergard na huyu Kai.
Nimegundua wengi hawaangalii mechi ,Bali wapiga kelele tu,Lavia nilimwona vizuri Ile game yetu na wao. Kwa aina ya timu Yao na uchezaji ule. Kwa maoni yangu, Lavia ana potential kubwa kuliko Caecedo
kUna mwingine anakwambia anajua kufunga, yaani hawa Arse88 huwa wanachekesha. halafu wana akili sawa, kasoro wawili humu ndio naona wanajielewa.Eti kai anajua kukaba mshabiki mmbaya sana
nikama umenishawishi kaka,naona ananyumbulika zaidiLavia nilimwona vizuri Ile game yetu na wao. Kwa aina ya timu Yao na uchezaji ule. Kwa maoni yangu, Lavia ana potential kubwa kuliko Caecedo
Hizo ni Euro 80M kwa wakati ule ilikuwa ni sawa na pauni 75M.Angalia hapoView attachment 2664675
Kai jamani ni mchezaji wa level ya juu sana.utaona uzuri wake zaidi akiwa hapo arsenal,au man city au madrid sio aina ya mchezaji wa chelsea.very very technical player arafu anajua na kukaba na kutoa pasi.kwangu mimi huu ni usajili bora zaidi ya RICE.achana na number za magoli lakin ni ongezeko la mchezaji bora zaidi.kiachofurahisha tunakuwa na wachezaji watano mbele ambao wako very comfortable na mpira dhidi ya audui.hapo unamzungumzia ,martinel,saka,Jesus,odergard na huyu Kai.