Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ilkay Gundogan has now told Arsenal he wants another week to decide whether he wants to join them.

That is according to a report from Marca, which suggests that the Germany international wants one more week before he chooses where he will be playing next year.
 
Naona kama userious mdogo.. tulileta masihara msimu wa mwaka jana ambao ni city tu alikuwa mpinzani, na bado naona hatutaki kumaliza biashara mapema.

Wacha tuone wana mpango gani.
 
Jifunze kwanza kuandika we nae, kuandika yenyewe hujui afu una niquote, ngoja nakupiga ignore list umbwa computerarsenal
.

Hujui hata typing error na kushindwa kabisa kuandika!! Kwako vyote ni sawa! Halafu unajiona akili kubwa
kila mtu anayewapinga humu ndani ni computerarsenal , akili zako zimeishia hapo!!
As long as utakuwa unaleta viroja humu lazima tukupinge, we are not your kids huwezi kutudanganya unavyotaka !! Arsenal fans since 2004/2005 mnaishi kwa false hope yaani unakuta jitu kama hili linasimama mbele za watu linakuambia arteta ana mafanikio , ukiuliza mafanikio yapi linakosa jibu linahamisha mada “ oooh hujui kuandika mara ignore list” ukitaka usipingwe humu ndani hizi habari unatakiwa unawapa mkeo na wanao tu , maana hao hawawezi kukupinga .
 
Huyu huyu kai ninayomfahamu mimi au mwingine?
 
Naona kama userious mdogo.. tulileta masihara msimu wa mwaka jana ambao ni city tu alikuwa mpinzani, na bado naona hatutaki kumaliza biashara mapema.

Wacha tuone wana mpango gani.
Biashara za Usajili sio rahis hivo, dirisha si ndio limefunguliwa hata wiki halina

Tuwe watulivu , Target za Arsenal Ni Rice ,Kai, Lavia. , Na nyingine zinafata

Rice & Kai Ni deals ambazo zipo advanced

| @FabrizioRomano:

“Arsenal, of course, are busy with Declan Rice, he is the top target in midfield, but they could sign one more midfielder. And it's TRUE that Romeo Lavia is one of the players they have in the list.

“They like him and they consider Romeo Lavia a top talent. Man City have a buyback clause, but only in summer 2024, not this summer, and the clause would not be valued in the future, it’s only valued in 2024 for Man City.

“Arsenal are interested. Chelsea are also interested.” [via YouTube] #afc
 
Huyu huyu kai ninayomfahamu mimi au mwingine?
Pale Chelsea Kuna mfumo gan au uchezaji gani ambao unaweza kuona kipaji Cha mchezaji ?

Ancelot anamtaka ,bajet ndio imemshinda

Tuchel anamtaka pia, bajet yao ndogo

Arsenal wanamtaka Tena wamemuweka kwenye list ya juu

Wewe mla mihogo
huoni chochote alichonacho?
 
Hv Arsenal mnashida gani? Kila mchezaji mpo na Strong interest nae
alafu hamsajili saiv mpo kwa Romeo Lavia
 
Kama kweli Bayern au Madrid wanantaka haswa wangetoa hiyo 75 ila wamemthaminisha wameona hana hiyo thamani ndio maana wamejitoa
 
Hv Arsenal mnashida gani? Kila mchezaji mpo na Strong interest nae
alafu hamsajili saiv mpo kwa Romeo Lavia
Kila mchezaji yupi?

Rice and Kai Arsenal wapo advanced kwenye hizo dili , Bayern kaulizia Kama anaweza kumpata Kai kaambiwa He prefer Arsenal , City Jana ijumaa kaulizia situation ya Rice ,but always Rice prefer kubaki jiji la London .


Lavia ,Arsenal wanafanya mazungumzo coz ,Kuna hati hati wamejitoa kwa Caicedo


Hiyo ndio Hali ya transfer kwa Arsenal Hadi Sasa

Timu ambayo ipo interested kila mchezaji Ni manjesta ,Kim Jae- to Bayern
 
Kama kweli Bayern au Madrid wanantaka haswa wangetoa hiyo 75 ila wamemthaminisha wameona hana hiyo thamani ndio maana wamejitoa
Madrid pesa kubwa watatumia kwa CF maana tayari wameshatumia €100m kwa Jude, Ni swala la vipaumbele tu , Madrid alitaka atoe mwisho £50m , hata Arsenal tunatoa mwisho £60m(ikiwa na add ons ndani) Coz Ni kipaumbele eneo la Attacking

Bayern pesa hawana ,ila Tuchel anawataka Rice na Kai , Bayern kajitoa na mpaka Jana wameulizia situation ipoje wameambiwa mchezaji anataka Kwenda Arsenal ,na wapo more advanced ,kumbuka Arsenal wamemwambia watampa na mshahara Kama anaopewa Chelsea


Bayern kwenye usajiri mwepes kwa timu za EPL
 
Maisha yanaenda kasi Sana

Ruben Neves on the verge of moving to Saudi Arabia. Wolves would get €55m,

according to @relevo.


Insane.
 
Hua sina tabia za kike kukimbia comments kama wewe
 
Wala hawatakuelewa!.. Kuna watu Wana Gubu la soka!.. wanashabikia mpira Kwa kulalamika!.. na wanataka kocha asajili kama wanavyotaka wao!.. hawajiulizi kama Kuna pesa ya usajili ama hakuna!.. kama Arteta angekuwa anaingia humu na akachukua ushauri wa Mashabiki hakika tungeshuka daraja.. msimu uliopita tumecheza 4:3:3 karibu msimu mzima na kocha alishindwa kubadili mfumo kutokana na wachezaji tulikuwa nao.. Watu hawajui kuwa Rice atatusaidia kubadili formation na pia kuimarisha safu ya ulinzi. Watu wsnalaumu Kwa Nini Arsenal wamejitoa Dili la Caicedo lakini hawajui kuwa Bei ya Caicedo imepanda maradufu Baada ya sisi kuonyesha interest.. ni kweli Caicedo ni chuma hasa, lakini Brighton wanauza Kwa nyodo sana.. Tumuache kocha afanye kazi, usikute hata Pesa ya kusajili hajapewa.. aisee watu Wana Gubu!...
 
Kwa munufaa yako jifunze kwanza kuandika, jifunze matumizi ya alama za uandishi na mpangilio mzuri wa maandishi, labda naweza kuelewa unachoandika, mwandiko mbaya kama bata yaani paka unaboa. This is serious issue.
 
Hapana Mimi na wenzangu tulisema sana humu kuwa depth itatuua kwenye defence nikazodolewa kwamba haiwezekani wachezaji wote wakaumia wakati mmoja na kwamba tuna wachezaji versatile wengi.

Ndio maana man City inaweza pambania makombe yote maana Ina kikosi kipana yaani benchi lake tu linaweza beba EPL.
Kumbuka Tomiyasu, Saliba wanarudi pre season pia Kuna Kiwior ambaye kiwango chake Ni kizuri
Tomi hachezi mpaka January kwa taarifa zilizopo. Muda wa pre season labda recovery tu sio kucheza maana ni long term injury.
Nimesikia Arteta anataka kumtumia Kai pia Kama false 9 Kama alivyotumika Leverkusen
Hakuna anayepinga uwezo wa Kai ila sio priority kabisa kwa Sasa. Huyu Arteta anaenda kutuzamisha kabisa msimu huu kama usajili huu utafanyika.
 
Nyie si ndio mlipinga ujio wa Jorginho, Ode ,n.k?

Na Kai hamumtaki ?

Ngoja tuone ,But Kai anakaribia Sana kujiunga Arsenal ,

Lavia pia mazungumzo yapo maana wakala wake ndiye kashughulikia Saka aongeze mkataba mpya
Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.

Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…