Katika hizo timu ulizotajamimi tangia long time nafahamika penye ukweli huwa nanyoosha maelezo ukifananisha Liverpool Chelsea Manchester United na hata City soon atatuacha kwa achievements za makombe(I repeat very soon atatuacha)tunakuwa tunakosea sisi tutabakia kujitamba tu kuwa tuna golden trophysababu ya 2004 au kucheza final ya champions league pekee 2006 otherwise mengineyo tunakaa kimya tu sababu hao wote wana Premier league Trophiesbut je ya Ulaya unayo?hapo unaishia kuondoka zako tu eneo la tukio kwa aibu
3 zishanunua mchezaji kwa 100M
2 zishafanya hivyo zaidi ya mara 1
4 zishauziwa wachezaji kwa 70M+ na wachezaji wakawa vimeo
3 zimekua ni kawaida kwao.
Katika hizo timu 1 haina uwanja, 1 inafikiria kutanua uwanja.
Katika hizo timu 3 zimezalisha faida kuliko Arsenal.
3 zina wamiliki 'Matajiri vichaa'
Katika hizo timu nne 1 ilinunua mchezaji kwa 100M msimu ujao ikamtoa kwa mkopo. Na timu 2 hua zinawaweka benchi wachezaji wao wa 100M
Investment yao na ya Arsenal ndiyo imeleta utofauti. Nimesoma hapo juu kuna jamaa kasema imetengwa 200M kwa ajili ya usajili.
Kwa mpira wa sasa hapo ni unanunua winga mbovu kutoka Ajax, unabakiwa na 100M. Unanunua ST Mbovu kutoka ureno na hela imeisha.