utakufa na stress mwaka huu ,team unayoichukia huwezi ,uwanjan ,kiuchawi ,kipesa ,...
Tafuta pesa huko mtaani maisha yanakuchapa mbwa wewe ,
Mambo ya fan base ,fake fans ,sijui man city fan ni watoto sisi hayatuhusu ....
Team umeshindwa kuifunga uwanjan sasa upo unahangaika na fan base
Hayo mambo pelekea huko arsenal ,sisi team yetu inatembeza kichapo huko barani ulaya ,na June 10 utaweka makalio yako kwenye kiti kuona tunavochukua UEFA ....
Kuichukia man city huipunguzii chochote chokolaa wewe uko sumbawanga ndani ndani hata mkuu wa mkoa wako hakujui
Leo upo unakenua meno et unaichukia team kubwa dunia kama man city
Kalio wewe