Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,102
- 3,179
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juzi
Kumbuka Mungu sio mwanadamu pamoja na kujidai kama hivi lakini bado wametoka trophilessss
Kama mna jesus na Mohammed na wameshindwa kuwasaidia mwakani mjaribu hata Satan na LuciferView attachment 2629980View attachment 2629981
nakumbuka kauli za kebei za white, znchenko Dunia inewashow, waasema ordeguad his better than KDB alivyo kuja trossard ndo kiburi kikazidi mara mkosi ukaingia Jojihno😂😂😂Kumbuka Mungu sio mwanadamu pamoja na kujidai kama hivi lakini bado wametoka trophilessss
Kama mna jesus na Mohammed na wameshindwa kuwasaidia mwakani mjaribu hata Satan na LuciferView attachment 2629980View attachment 2629981
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juzi
Umetoa maelezo mengi. Liva alikaa kwa siku ngapi? Ule msimu wa Gerrard na wa juzi
Hahahaa kuna kachalii humu kalitoa hoja kwamba wamejitoa FA, Carabao na Europa ili wa-focus kubeba premier league na kakaenda mbali zaidi kusema wao watakuwa wakicheza kila wiki mchezo mmoja ukimlinganisha na City ambaye atacheza michezo miwili kila wiki.Kumbuka Mungu sio mwanadamu pamoja na kujidai kama hivi lakini bado wametoka trophilessss
Kama mna jesus na Mohammed na wameshindwa kuwasaidia mwakani mjaribu hata Satan na LuciferView attachment 2629980View attachment 2629981
Ndio akili za baadhi ya fans wa Arsenal hizi inasikitisha sanaHahahaa kuna kachalii humu kalitoa hoja kwamba wamejitoa FA, Carabao na Europa ili wa-focus kubeba premier league na kakaenda mbali zaidi kusema wao watakuwa wakicheza kila wiki mchezo mmoja ukimlinganisha na City ambaye atacheza michezo miwili kila wiki.
Alf zinawachezaji wazuri. Sana sijui shida ipo wapi tuSo Leicester, Leeds na Everton mbili kati yao wanaweza kushuka daraja.
Timu tatu ambazo misimu miwili nyuma ilikua ukikutana nazo inabidi ujishikilie.