Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Dah... kwa structure ya league inakera namna tulivyopoteza ubingwa.
Ila kwa ubora wa city,they deserved.ingeniuma saaana kama ubingwa ungeenda kwa timu yenye ubora wa kawaida.
Kama tunahitaji kuchukua mataji siriaz hakika hatuna namna ya kulikwepa soko.we need kuingia sokoni nakuchukua watu ambao ni chaguo la kwanza.sio kila mahali tukifeli biding war tunageukia plan B.
Ili kuishinda city na kuchukua ubingwa mbele yake you need a tactical genius coach na quality players ambao wanakuja kwa pesa ya maana.
Kwa kweli mchezaji mwenye 'potential' hapana.tunahitaji ready world class players.game ya jana ya los blancos na citizens inafundisha mengi kuhusu dunia ya soka kwa sasa.we have to learn.
Kuna watu watahoji mbona inter yuko fainali kaspend kiasi gani?MUDA ni mwalimu mzuri acha aendelee kutufundisha
World classic players hawawezi kucheza average team hilo pia weka akilini! Arteta hadaiwi chochote kwa jinsi arsenal ilivyokua inacheza kipindi cha msimu wa 2 wa unai emery it was disaster .
Ake, akanji , stones , grealish na wengine unawaona world classic players kwasababu wako kwenye timu ya kibingwa ila wangekua bado wapo aston villa, bournmouth na everton ungewaona wakawaida tu
Nikukumbushe tu martinelli kamzidi grealish goals pamoja assists, anaonekana average player kwasababu yupo loser team!! . Saka odergard na martineli wako loser team thats why wanaonekana kama wachezaji wa kawaida!
ARSENAL NI LOSER IN AND OUTSIDE OF THE PITCH ( kwenye usajili)

halafu jorginho yupo nje alipozingua zaidii mapema kabisa unaona zinchy game ile ilimshinda kabisa kamuacha akala tobo bob akatuweka ndo anamtoa wakati tayari kashachoma. Game na soton akaanza na viera

nililisema hili hapo juu..