Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah... kwa structure ya league inakera namna tulivyopoteza ubingwa.
Ila kwa ubora wa city,they deserved.ingeniuma saaana kama ubingwa ungeenda kwa timu yenye ubora wa kawaida.

Kama tunahitaji kuchukua mataji siriaz hakika hatuna namna ya kulikwepa soko.we need kuingia sokoni nakuchukua watu ambao ni chaguo la kwanza.sio kila mahali tukifeli biding war tunageukia plan B.
Ili kuishinda city na kuchukua ubingwa mbele yake you need a tactical genius coach na quality players ambao wanakuja kwa pesa ya maana.

Kwa kweli mchezaji mwenye 'potential' hapana.tunahitaji ready world class players.game ya jana ya los blancos na citizens inafundisha mengi kuhusu dunia ya soka kwa sasa.we have to learn.

Kuna watu watahoji mbona inter yuko fainali kaspend kiasi gani?MUDA ni mwalimu mzuri acha aendelee kutufundisha

World classic players hawawezi kucheza average team hilo pia weka akilini! Arteta hadaiwi chochote kwa jinsi arsenal ilivyokua inacheza kipindi cha msimu wa 2 wa unai emery it was disaster .
Ake, akanji , stones , grealish na wengine unawaona world classic players kwasababu wako kwenye timu ya kibingwa ila wangekua bado wapo aston villa, bournmouth na everton ungewaona wakawaida tu
Nikukumbushe tu martinelli kamzidi grealish goals pamoja assists, anaonekana average player kwasababu yupo loser team!! . Saka odergard na martineli wako loser team thats why wanaonekana kama wachezaji wa kawaida!
ARSENAL NI LOSER IN AND OUTSIDE OF THE PITCH ( kwenye usajili)
 
Ubora wa Guardiola msimu huu umechangiwa na tactical masterclass kutoka kwa Mikel Arteta & RDZ. Guardiola alipokuwa Bayern aliwahi kuulizwa kama ni kocha bora duniani kwa wakati huo, alisema anachojua yeye ni mwizi wa idea, akiipenda idea yako ataiiba na kuiboresha.

Binafsi nimeona mambo mawili kwake msimu huu, matumizi ya Centre Backs wanne, 4CBs, hii idea ilianza kwa Mikel Arteta, inawezekana nyuma iliwahi fanyika, ila mimi sikuiona, mpango wa Mikel ulikuwa kutumia CBs wanne kwenye backline i.e White, Saliba, Gabriel & Lisandro Martinez. Ikumbukwe Lisandro alikukwa priority kwenye usajili wa Arsenal kabla ya Zinchenko, na role yake ni ile ile kama Zinny, anakuwa midfielder Arsenal wakiwaa na mpira anakuwa LB bila mpira. Arteta alitumia CBs wanne kwenye mechi ya nyumbani dhidi ya Liverpool (3-2), White, Saliba, Gabriel, Tomiyasu.

Guardiola alikuja na idea hii baada ya kumtoa mkopo Joao Cancelo, anawatumia Akanji, Ruben, Stones, Ake. utofauuti ni kwamba John stones anakuwa midfielder timu ikiwa na mpira, no inverted Full back, ila ni CB anayesogea mbele wakiwa na umiliki na pia kurudi kwenye majukumu yake bila mpira.

Idea ya pili ni kucheza na double pivot timu ikiwa na mpira (Stones & Rodri). RDZ anatumia idea ya double pivot kwenye build up na hajawahi kubadilika. Naelewa Guardiola huwa anatumia idea ya double pivot lakini naamini kwa sasa ameathiriwa na namna Brighton wanavyocheza, deep down kuna mfanano hapa, nilichokiona City & Brighton wanazivuta timu kwenye eneo lao then wana break that pressure thru combination & third man movements na kupelekea direct chance creation from that build up play. Fluidity kwa upande wa City & Brighton hasa kwenye build up is next to none, na mfanano wao mkubwa upo kwenye third man runs & link up. Arsenal nadhani wanahitaji more resources kwenye eneo hili, kwa sasa Brighton & City wapo dunia yao. Pep alikiri hapa juzi kuwa Brighton ni timu bora duniani kwa sasa kwenye kuanza build up. kuna kitu kajifunza hapa.

Guardiola alipokuwa bayern alikuja na idea ya sole midfielder( Organising midfielder) baada ya mtangulizi wake Jupp heynckes kuwin treble akiwa na double pivot( Javi Martinez & schweinsteiger). Guardiola aliwahi kukiri si mpenzi wa double pivot, Why? anasema akiwa mchezaji alichukia kuwa na msaidizi pembeni, why? it limited his space & his ability to anticipate the next pass. lakini kwa sasa amebadilika, anatumia double pivot.

Kama shabiki wa Arsenal naamini kwamba with the right signings( ambazo tunahusiswa nazo), next season we will be there with the best in the World.

arteta msimu mzima kakomaa na formation ile ile hata sub zenyewe anabahatisha sometimes .
Refer gemu ya liver anamuingiza kiwior anamtoa odergard halafu jorginho yupo nje alipozingua zaidii mapema kabisa unaona zinchy game ile ilimshinda kabisa kamuacha akala tobo bob akatuweka ndo anamtoa wakati tayari kashachoma. Game na soton akaanza na viera. Huo u masterclass wa arteta sijuiii ukwapii??? Angalia approach ya genius Pep game yetu ya kwanza silva alicheza namba ngap angalia game ya bayern pep anabadilikabadilika!!
 
Hii City ndiyo wanafiki walikua wanatuchonganisha nayo.

Aliishindwa Ferguson, Wenger, Klopp, Mourinho wanakuja kumsakizia Arteta hata kudeal na pressure hajamaster na kikosi kipo nusu.

Kwa position aliyekua arsenal ingekuwa newcastle,brighton, man utd, hata brentford saivii wangekua wanajiandaa na sherehe za ubingwa lakini uliza arsenal na mashabiki wake saivi sio arteta sio hamis sio aroon wote wameshika tama wako kama vituko hata mbele ya relegated soton. Wanajiuliza hivi hawa arsenal ndo timu iliyochaguliwa kua kituko cha epl ama
 
Kwa position aliyekua arsenal ingekuwa newcastle,brighton, man utd, hata brentford saivii wangekua wanajiandaa na sherehe za ubingwa lakini uliza arsenal na mashabiki wake saivi sio arteta sio hamis sio aroon wote wameshika tama wako kama vituko hata mbele ya relegated soton. Wanajiuliza hivi hawa arsenal ndo timu iliyochaguliwa kua kituko cha epl ama
Labyrinth 84 endelea kupiga spana hizi Kima zisizojielewa.
Tunavyowaambia kila siku humu kua Arsenyani sio timu, hii ni Academy ya kukuza watoto, halafu wakishaanza kukomaa wanaenda zao sasa kutafuta timu za kucheza hawataki kuelewa.
 
arteta msimu mzima kakomaa na formation ile ile hata sub zenyewe anabahatisha sometimes .
Refer gemu ya liver anamuingiza kiwior anamtoa odergard halafu jorginho yupo nje alipozingua zaidii mapema kabisa unaona zinchy game ile ilimshinda kabisa kamuacha akala tobo bob akatuweka ndo anamtoa wakati tayari kashachoma. Game na soton akaanza na viera. Huo u masterclass wa arteta sijuiii ukwapii??? Angalia approach ya genius Pep game yetu ya kwanza silva alicheza namba ngap angalia game ya bayern pep anabadilikabadilika!!
Go back to school brother, watoto km nyie huwa napiga block tu.
 
Go back to school brother, watoto km nyie huwa napiga block tu.

arsenal is for boys only!! Hakuna mtu mzima anashabikia arsenal.. kumuita arteta genius ni kulikosea heshima neno lenyewe though so far kwa timu ilipokuepo mpaka hapo ilipo! Arteta hadaiwii chochote!
Block za nini lete facts nitajie game 4 arteta alizokuja na approach tofauti mimi nikutajie game 10 pep alizokuja na different approach!! … i have been an arsenal fan for 20 years dont call me a child! Lete hoja na si viroja
 
Nyie wenye mmejipata msimu mzima mmetoka patupu kweli fans wa arsenyani mmedata sio bure.

Mafanikio yenu mwaka huu ni kwenda uefa tu nako mnaenda kutia aibu mnataishia makundi kwa wachezaji wenu wa mafungu mafungu.
Hii ni project brother, ndio kwanza tupo phase 3/ 5. Sisi kazi yetu kuwafunza Mpira nyie manyumbu. as long as Mikel Arteta yupo hapa basi Mtaujua tu.
 
Kwa position aliyekua arsenal ingekuwa newcastle,brighton, man utd, hata brentford saivii wangekua wanajiandaa na sherehe za ubingwa lakini uliza arsenal na mashabiki wake saivi sio arteta sio hamis sio aroon wote wameshika tama wako kama vituko hata mbele ya relegated soton. Wanajiuliza hivi hawa arsenal ndo timu iliyochaguliwa kua kituko cha epl ama
Unaangalia mechi ya brighton muda huu au unajifurahisha?

Nitarudia tena.

Jitahidini kuangalia mechi.
 
Nilikua nawaambia juzi kwamba Brighton anaonyesha classic symptoms za mid table team

Angalia mechi yake kuanzia Notingham mpaka leo.

Anafungwa na Nottingham.

Anaenda kumfunga nyumbu.

Anaenda kufungwa 5 na Everton.

Anaenda kumfunga Arsenal.

Sasa hivi anaongozwa nne na Newcastle.
 
Kwa asiyeelewa anaweza niuliza kwanini nasemea sana hii mid table attitude ya Brighton. Ni kwakua timu za hivi zikiwa zinashuka daraja unakua haujui it takes just one wrong step for all else to fail

Soton wanashuka daraja msimu huu, timu ambayo ilikua inaweza shtua kwa matokeo na wrong step kwao ilikua nini? Waliacha aggressive defending. Just that imetosha kuwashusha.

Timu za hivi hua hazina firm footing in the league. Angalia Leicester. So Brighton itauza wachezaji na ikilemaa mpaka kocha ataondoka ishu itakuja pesa watakazopata zitawafanya wawe giants? No.

So misimu miwili mbele Brighton akiwa anashika mkia haitakiwi kukushtua. Dalili ni hizi unazoona hapa.
 
Kwa asiyeelewa anaweza niuliza kwanini nasemea sana hii mid table attitude ya Brighton. Ni kwakua timu za hivi zikiwa zinashuka daraja unakua haujui it takes just one wrong step for all else to fail

Soton wanashuka daraja msimu huu, timu ambayo ilikua inaweza shtua kwa matokeo na wrong step kwao ilikua nini? Waliacha aggressive defending. Just that imetosha kuwashusha.

Timu za hivi hua hazina firm footing in the league. Angalia Leicester. So Brighton itauza wachezaji na ikilemaa mpaka kocha ataondoka ishu itakuja pesa watakazopata zitawafanya wawe giants? No.

So misimu miwili mbele Brighton akiwa anashika mkia haitakiwi kukushtua. Dalili ni hizi unazoona hapa.
Arsenyani na Brighton zote zinaonyesha classic symptoms za mid table teams.
Brighton yeye anakomaa na timu kubwa anaishia kugongwa na timu ndogo, Arsenyau nae misimu yote ukiacha huu anaenda vice-versa anakomaa na timu ndogo halafu anagongwa na timu kubwa, miaka zaidi ya 8 akashindwa hata kunusa top4.
Arsenyo na Brighton zote ni dugu moja (mid table teams) tofauti yao ni vile Arsenyeto msimu huu amebahatika kuingia kwenye top 4.
 
arsenal is for boys only!! Hakuna mtu mzima anashabikia arsenal.. kumuita arteta genius ni kulikosea heshima neno lenyewe though so far kwa timu ilipokuepo mpaka hapo ilipo! Arteta hadaiwii chochote!
Block za nini lete facts nitajie game 4 arteta alizokuja na approach tofauti mimi nikutajie game 10 pep alizokuja na different approach!! … i have been an arsenal fan for 20 years dont call me a child! Lete hoja na si viroja
Kawa nominated coach of the season kukosa ubingwa kwanini iwe maneno mengi kwa arteta kikosi kimoja pep hata akibadilika ana watu wa kucheza kila formation anayotaka kwa quality ile ile..
Na mpendea arteta anajifunza na kubadilika na kutafuta solution hivyo naimani nae bado na Wala Mimi hanidai namsubiri tu nione apraoch yake ya usajili kwendea champions ligi ndio ntaanza pia kumjaji nategemea robo au nusu ya champions ligi kwetu itakua achieve kubwa msimu ujao then misimu unaofuata kufuta kila kombe mbele yetu tutakua na timu ya maana na kikosi imara after next season

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Kwa asiyeelewa anaweza niuliza kwanini nasemea sana hii mid table attitude ya Brighton. Ni kwakua timu za hivi zikiwa zinashuka daraja unakua haujui it takes just one wrong step for all else to fail

Soton wanashuka daraja msimu huu, timu ambayo ilikua inaweza shtua kwa matokeo na wrong step kwao ilikua nini? Waliacha aggressive defending. Just that imetosha kuwashusha.

Timu za hivi hua hazina firm footing in the league. Angalia Leicester. So Brighton itauza wachezaji na ikilemaa mpaka kocha ataondoka ishu itakuja pesa watakazopata zitawafanya wawe giants? No.

So misimu miwili mbele Brighton akiwa anashika mkia haitakiwi kukushtua. Dalili ni hizi unazoona hapa.
Naiombea kushuka kabisa daraja Kama kilichowakuta soton hawa bright misimu miwili wanavuruga matokeo yetu muhim sijui kwann

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Arsenyani na Brighton zote zinaonyesha classic symptoms za mid table teams.
Brighton yeye anakomaa na timu kubwa anaishia kugongwa na timu ndogo, Arsenyau nae misimu yote ukiacha huu anaenda vice-versa anakomaa na timu ndogo halafu anagongwa na timu kubwa, miaka zaidi ya 8 akashindwa hata kunusa top4.
Arsenyo na Brighton zote ni dugu moja (mid table teams) tofauti yao ni vile Arsenyeto msimu huu amebahatika kuingia kwenye top 4.
Nyie mpira haumjui nakwambia arseml kua pale sio bahati subiri next step step uone saivi Ni clearance ya kikosi inafanyika kinasukwa kitu cha CL nusu fainali hii hapa Kama sio kuchukua kabisa pl tunafunga na point 97 ,98 ataemaliza juu yetu bingwa maana kila msimu ndio zitakua point zetu hizo Kama saivi tumepiga 80+ hivyo endelea kula mtori...

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Nyie mpira haumjui nakwambia arseml kua pale sio bahati subiri next step step uone saivi Ni clearance ya kikosi inafanyika kinasukwa kitu cha CL nusu fainali hii hapa Kama sio kuchukua kabisa pl tunafunga na point 97 ,98 ataemaliza juu yetu bingwa maana kila msimu ndio zitakua point zetu hizo Kama saivi tumepiga 80+ hivyo endelea kula mtori...

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Msitegemee kabisa msimu ujao mambo yatawaendea vizuri kama msimu huu.
Ilikua ni one season wonder, Ucl mnaenda kuchomolewa kwenye makundi kisha mnarudi tena Europa halafu msimu ujao kama kawaida yenu hio top 4 mtaishia kuisikia tu.
 
Xhaka anaweza kuondoka mwisho wa msimu huu. Nimependa jinsi safari yake na Arsenal imepita milima na mabonde na Sasa anaondoka Kwa amani na upendo mwingi kutoka Kwa mashabiki
arteta now atakuwa anakuna kichwa kumpata mchezaji atakaye timiza majukumu walau nusu
tu ya alivokuwa xhaka..

kwa wacheza waliopo ni ama abadili namna ya uchezaji eneo la kati la uwanja ama akubali tu
kuingia sokoni tna.. mana fabio sio wa kumtegmea kucheza eneo la xhaka.
 
Hii ni project brother, ndio kwanza tupo phase 3/ 5. Sisi kazi yetu kuwafunza Mpira nyie manyumbu. as long as Mikel Arteta yupo hapa basi Mtaujua tu.
Mnatufunza mpira gani mlikula OT chuma 3_1 kwa moja tukisema mmeishiwa akili mnaona tumewakashifu.
20230128_070608.jpg
 
Back
Top Bottom