Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Acheni ubairi ingieni sokon wakuu nunueni pia na wanaume wa kazi.. Kikosi cha watoto tupu wacheza Ps hakiwez shindana na wanaume wakiwa wanatk kombe.Hapana saliba,ziny, Tomi, Rowe , nelson martineli bado tunawahitaji wanaweza kabisa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Policy yenu ya vijana ni sawa lkn kama mnatk kurud kwny makombe ya maana sajilini watu wa kazi watu ambao wako matured enough to compete na wanaume wenzao sio rojorojo ikifika sehem wanakua weak kisaikolojia.
Na ayo yote mnabid mkubal kutoa hela mwageni pesa.. Jamaa kawaambia hapo mnakuaga na nafas nzr ya kupata players wazr tatz ss mnajikuta wabairi. Hlf mnatk kubeba ubingwa haiwezekan.
Kuna watu humu Walisema wkt Arsenal anaongoza kua mbona hata Leicester alifanya maajab.. Angalieni ile Leicester bad ilikua na watu matured na mentality ya kuweza kuwa push over the line na kubeba ndoo watu hao Arsenal kwa sasa hawapo.